Quantcast
Channel: Rogers Linky - Sports Home
Viewing all 12768 articles
Browse latest View live

NCHAMBI ATAKA MAWAZIRI MIZIGO WATOSWE

$
0
0
MBUNGE wa Kishapu, Suleiman Nchambi, ameungana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, kumtaka Rais Jakaya Kikwete awatimue mawaziri mizigo ambao wameshindwa kutimiza majukumu yao.

Nchambi (CCM), alisema anakusudia kwenda kumuona Rais Jakaya Kikwete kulalamikia uzembe wa Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza, kwa jinsi alivyoshindwa kutatua kero ya wakulima katika jimbo  la Kishapu.

Mawaziri wengine wanaolalamikiwa na kupendekezwa watimuliwe, wamo Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Adam Malima, Waziri wa Fedha na Uchumi, William Mgimwa, na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa.

“Mimi naungana na Nape na Kinana kwamba Chiza hafai, hajatembelea maeneo ya kilimo, wizara haitendi haki na kama ni mzalendo anapaswa kujiuzulu mwenyewe maana kama nguo hazikutoshi, vua mwenyewe,” alisema Nchambi.

Alisema amewahi kumuomba Waziri Chiza aende Kishapu akashuhudie na kuyatafutia ufumbuzi matatizo ya wakulima, lakini hadi leo hajafika.

Alisema katani na pamba inayozalishwa Kishapu ni bora zaidi kuliko sehemu yoyote nchini, lakini wakulima hao hawajafikiwa na wizara katika kuwajengea uwezo wa kuzalisha zaidi ili wanufaike na kilimo chao.

“Baadhi ya kata za jimbo la Kishapu   zina maji ya kutosha na unahitaji utaalamu; huhitaji kuchimba ni kuzuia tu, waziri hayupo! Ni bora mawaziri hao watoke wenyewe,” alisema.

Mbunge huyo alimshambulia Waziri Chiza na Naibu wake kwa tabia zao za kutaka kukaa ofisini Dodoma na Dar es Salaam badala yake waende mikoani kuonana na wakulima.
Mbunge huyo alimpongeza Waziri John Magufuri kwamba anapaswa kuwa mfano wa kuigwa na mawaziri wengine kutokana na staili yake ya uchapaji kazi.

WASTARA: MTAMUONA MPENZI WANGU SOON

$
0
0
Akizungumza na mwandishi wetu kwa njia ya simu hivi karibuni, Wastara alisema hayuko tayari kuona watu wakimsingizia kutoka na wanaume tofauti akiwemo Bon Bin Salim ambaye ni muigizaji mwenzake hivyo atamuweka wazi ‘mtu’ wake.
“Nachukia sana kuona watu wanafuatilia maisha yangu binafsi badala ya kazi, nitamuanika mpenzi wangu soon kuliko kueneza habari za uongo zinazohusu mapenzi, iwe ni Bond wanayemsema au mwingine,” alisema Wastara.

SAKATA LA RAY SASA MAKUBWA, MAINDA ATUMA UJUMBE KWA JOHARI NI MAKAVU LIVE

$
0
0
Hapo majuzi kupitia mtandao mmoja wa kijamii mwanadada Mainda aliamua kuvunja ukimya baada ya kuamua kuwachana live ‘wabaya’ waka Chuchu hans, na Johari kuhusu sakata linaloendelea la wao kumgombania mwigizaji Vicent kigosi ambaye anadaiwa alikuwa mpenzi wa mrembo huyo. Bila kupoteza muda soma hapo chini alivyofunguka mwanadada huyu…

"...Hizi salamu zako Johari, ni hivi naomba usinitaje kwenye huo upumbavu wenu, Huyo mwanaume mnae mzungumzia mimi kwangu namuona mtu wa kawaida tu ndio maana nikatupa kule. Nadhani umenipata alafu sitaki kumpandisha mtu jina sawa?. 

Ni hivi mimi si mpinzani wako, nadhani mpinzani wako unamjua mliopiganana (Sakata la Johari na Chuchu hans kupigana)  mkataka kutoana roho kisa shingo ya kuku mlivyokuwa wajinga na malimbukeni wa mapenzi wanaume hapawiganiwi. 

Nimewakalia kimya naona wewe mwenye kilanga umejitoa kimasomaso ukaenda kiu ukasema Mainda amebip wewe unataka kumpigia, ni hivi usiniweke kwenye upumbavu wenu, mimi huyo mwanaume wenu kwangu ni kuku kama kumtafuna nimemtafuna mpaka mifupa alafu nikatupa kwenye shimo la taka, sasa nyiyni mbwa koko mlio kosa wafugaji ndio mnaruka ovyo hamjui mle nini, pumbavu kabisa wewe na mke mwenzio sindio amkauki kunisema me mgonjwa, sasa kama me mgonjwa huyo bwana wenu ni hivi wewe mwenye shape kama ubao usiejielewa nakushauri achaha na mimi nenda sinza…..(Itaendelea) 
CREDIT: BONGO MOVIE

MZEE MANDELA AFARIKI DUNIA

$
0
0
Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela amefariki dunia muda mfupi uliopita akiwa na umri wa miaka 95 jijini Johannesburg, Afrika Kusini. Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma amethibitisha taarifa hizo!

Rais Zuma amesema "taifa limepoteza mtu muhimu" na kuongeza "kwa sasa amepumzika. Yupo mahala pema"

Mzee Mandela aliyekuwa akisumbuliwa na homa ya mapafu amefariki akiwa amezungukwa na familia yake nyumbani kwake Johannesburg.

Mandela atazikwa kitaifa na bendera zitapepea nusu mlingoti alisema Rais Zuma.

Alikuwa akipatiwa matibabu kwa takribani miaka mitatu iliyopita na hali yake ilibadilika zaidi katika miezi sita ya mwisho kabla ya kifo chake.

Mpiganaji huyo wa ubaguzi wa rangi, aliingia Ikulu ya Afrika Kusini akiwa mtu mweusi wa kwanza kuiongoza nchi hiyo mwaka 1994 mpaka 1999 baada ya kutumikia kifungo cha miaka 27 gerezani.

Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron amesema: "taa kubwa imezimika duniani
"Nelson Mandela alikuwa shujaa"

NELSON MANDELA: HISTORIA YA KUSISIMUA YA MAISHA YAKE

$
0
0

JINA KAMILI: Nelson Rolihlahla Mandela
A.K.A: Mandela
MAJINA YA UTANI: Madiba, Black Pimpernel
MAHALI ALIKOZALIWA: Mveso, Transkei, South Africa
KAZI: Mwanaharakati, Kiongozi wa dunia
TAREHE YA KUZALIWA: Julai 18, 1918
TAREHE YA KUFA: DESEMBA 05, 2013
MAHALI ALIKOFIA: Johannesburg, South Africa
ELIMU: Taasisi ya Clarkebury, Chuo cha Wesleyan, Chuo Kikuu Kishiriki cha Fort Hare, Chuo Kikuu cha London, Chuo Kikuu cha Witwatersrand, Johannesburg.
 
ASILI YAKE
Nelson Mandela, Mwanasiasa maarufu nchini Afrika Kusini na duniani kwa ujumla ambaye alikuwa mtu muhimu katika kuutokomeza ubaguzi wa rangi nchini mwake, ni mtoto wa Chifu wa kabila la Tembu, Chifu Henry Mandela. Mandela alizaliwa katika mji mdogo wa Transkei.
CHAMA CHA ANC
Mandela alisoma katika Chuo Kikuu cha Fort Hare na Chuo Kikuu cha Witwatersrand. Akawa mwanasheria mwaka 1942. Mwaka 1944, alijiunga na Chama cha ANC, chama kilichodhamiria kuutokomeza utawala wa makaburu weupe pekee. Mwaka 1960, Chama tawala cha makaburu kilikipiga marufuku cha cha ANC na kuwashitaki viongozi wake kwa kosa la uhaini, lakini Mandela aliachiwa huru.
 
Rais Barack Obama akiwa ndani ya chumba cha gereza alimokuwa akiishi Mandela akitumikia kifungo chake cha maisha.
KUFUNGWA GEREZANI
Akiendeleza harakati zake za kupambana na makaburu, Mandela alikamatwa, akatiwa hatiani na kuhukumiwa kifungo cha maisha gerezani kuanzia mwaka 1964 hadi 1990, ambapo maisha yake kama kiongozi wa harakati za kupambana na ubaguzi wa rangi yakajulikana dunia nzima. Kama mfungwa wa dhamiri, Mandela mara kwa mara alikataa kuachiwa kwa masharti.
 
Mandela akiwa ndani ya chumba cha gereza alimokaa kwa miaka 26, hapa alikwenda kutembea baada ya kuwa rais
KUACHIWA HURU

Mwaka 1990, akiwa amekaa jela kwa miaka 26 na akiwa na umri wa miaka 71, iliachiwa huru bila masharti yoyote baada ya utawala wa kibaguzi kushinikizwa na jumuiya ya kimataifa. Mwaka 1993, Nelson Mandela alishinda Tuzo ya Nobel kwa harakati zake za kisiasa.
Nelson Mandela akiwa na binti yake Princess Zenani Dlamini (kati) wengine ni wajukuu zake Zaziwe Manaway,(kushoto aliyembeba kitukuu chake Ziphokazi Manaway) na Zamaswazi Dlamini (kulia, mwenye kitukuu  Zamakhosi Obiri)
MAISHA YA URAIANI
Mwaka 1994 akiwa katika umri huo, Mandela aligombea kiti cha uraisi na kushinda akiwa raisi wa kwanza mweusi.

ANGALIA PICHA MBALIMBALI ZA KUOMBOLEZA MSIBA WA NELSON MANDELA 1918 - 2013, MATUKIO YA DUNIA NZIMA LEO

$
0
0
Icon: Prime Minister David Cameron signs the book of condolence at the South African Embassy in central London this morning, and called him the 'hero of our time'
Icon: Prime Minister David Cameron signs the book of condolence at the South African Embassy in central London this morning, and called him the 'hero of our time'

  • Mourners have gathered outside his home and national landmarks to dance and sing in his memory
  • Former president passed away home in Johannesburg. He'd spent three months in hospital with lung infection
  • His body has been taken to a military hospital in Pretoria and he will later lie in state for three days
  • The icon will be accorded full state funeral, the like of which has never been seen before in South Africa
  • His country has started an expected eight days of mourning culminating in his burial in the village he grew up in
  • South African President Jacob Zuma confirmed Mandela’s death before 9pm local time (7pm GMT) in TV address
  • 'Our nation has lost its greatest son. Our people have lost a father. We saw in him what we seek in ourselves’
  • President Obama paid emotional tribute, saying: 'I cannot fully imagine my life without example Mandela set'
  • David Cameron said a 'great light has gone out in the world. Nelson Mandela was a hero of our time...'
  • He was discharged in September and had been receiving home-based medical attention since then
  • Death came as Duke and Duchess of Cambridge attended te London premiere of biopic Long Walk To Freedom


Nelson Mandela started his final journey today as his body was taken from his home in a coffin draped in the South African flag he loved so ardently.
Mourners have gathered to dance and sing songs of freedom outside his home as the world celebrated the life of the adored statesman who brought peace and equality to his country and died last night aged 95.

He passed away at home in Johannesburg at 8.50pm yesterday and his body was moved to a military hospital in Pretoria this morning, where he is under armed guard.
His beloved country has started an expected ten days of mourning, with flags flying at half mast before 'Madiba' or 'Tata' as he was devotedly called, is taken to lie in state for three days in the capital Pretoria.

Imprisoned for 27 years before becoming South Africa's first black president, his courage in the face of persecution made him the most potent symbol of the struggle against apartheid, and an inspiration to millions in his country and billions beyond.
Next Saturday a state funeral will be held and he will be buried in the Eastern Cape village of Quino, where he grew up, which is expected to be attended by world leaders including U.S. President Barack Obama and will be the biggest funeral Africa, and perhaps the world will have ever seen.
Journey: The Flag covered coffin carrying the body of former South African President Nelson Mandela is taken from his home in Johannesburg, South Africa, this morning as his beloved country began eight days of mourning
Journey: The Flag covered coffin carrying the body of former South African President Nelson Mandela is taken from his home in Johannesburg, South Africa, this morning as his beloved country began eight days of mourning
A world mourns his passing: Nelson Mandela whose courage in the face of persecution made him the most potent symbol of the struggle against apartheid - died last night
A world mourns his passing: Nelson Mandela, whose courage in the face of persecution made him the most potent symbol of the struggle against apartheid and inspired millions in his own country and around the world, died last night aged 95
Mr Mandela passed away at home after a long battle against illness. He was 95. He is pictured here accompanied by his wife Winnie walking out of Victor Verster Prison near Cape Town, a free man after 26 years of imprisonment
Mr Mandela passed away at home after a long battle against illness. He was 95. He is pictured here accompanied by his wife Winnie walking out of Victor Verster Prison near Cape Town, a free man after 27 years of imprisonment
Final picture: Nelson Mandela seated next to current South African president Jacob Zuma at his home in April this year as he struggled with ill health
Final picture: Nelson Mandela seated next to current South African president Jacob Zuma at his home in April this year as he struggled with ill health
The Queen has said this morning she is 'deeply saddened' to learn of Nelson Mandela's death, saying the former South African president 'worked tirelessly for the good of his country'.
Buckingham Palace will fly the Union Flag at half staff today in his honour when Her Majesty leaves for Windsor Castle later.
'The Queen was deeply saddened to learn of the death of Nelson Mandela last night. His legacy is the peaceful South Africa we see today,' Buckingham Palace said this morning.
'Her Majesty remembers with great warmth her meetings with Mr Mandela and sends her sincere condolences to his family and the people of South Africa at this very sad time.'
Last night Mandela's death was announced in South Africa as the Duke and Duchess of Cambridge sat down to watch the screening of Long Walk To Freedom, the movie based on his autobiography. They were told in the auditorium in Leicester Square.
Nelson Mandela's daughter Zindzi Mandela also learnt of her father's death while watching the royal premiere.
Screams rang out in the auditorium as the news was broken to her, although the majority of fellow audience members were not informed until after the film.
The Duke of Cambridge, with Kate beside him, said: 'It was extremely sad and tragic news. We were just reminded of what an extraordinary and inspiring man Nelson Mandela was and my thoughts and prayers are with him and his family right now.'
Outpouring of emotion: People gather to pay their last respects outside former President Mandela, singing songs of freedom and celebrating the life that changed the course of their country and inspired change around the planet
Outpouring of emotion: People gather to pay their last respects outside former President Mandela, singing songs of freedom and celebrating the life that changed the course of their country and inspired change around the planet
Paying tribute: Mourners gather to sing and dance around a huge painting of Nelson Mandela outside the house of the late South African president Nelson Mandela as the world digests life without Nelson Mandela
Paying tribute: Mourners gather to sing and dance around a huge painting of Nelson Mandela outside the house of the late South African president Nelson Mandela as the world digests life without Nelson Mandela
A mourner touches a photograph of the late South African president outside his Johannesburg home
A life that touched so many: A mourner touches a photograph of the late South African president outside his Johannesburg home this morning
Crowds: A woman, surrounded by children, outside the house of Nelson Mandela in Johannesburg sings a song celebrating the life of one of the world's great leaders
Crowds: A woman, surrounded by children, outside the house of Nelson Mandela in Johannesburg sings a song celebrating the life of one of the world's great leaders
Sad: A mother gathers her children in her arms as they pray for the Nobel Peace Prize winner who died last night
Sad: A mother gathers her children in her arms as they pray for the Nobel Peace Prize winner who died last night
Nation grieving: After months of illness Mandela passed away on Thursday night and families moved by what he did for their country have flocked to his homes and national monuments
Nation grieving: After months of illness Mandela passed away on Thursday night and families moved by what he did for their country have flocked to his homes and national monuments

First light: Through the darkness and through the night mourners have gathered to pay their respects to the statesman by leaving flowers, flags and lit candles
First light: Through the darkness and through the night mourners have gathered to pay their respects to the statesman by leaving flowers, flags and lit candles
The Prince of Wales also paid tribute to the former South African leader.
He said: 'Mr Mandela was the embodiment of courage and reconciliation. He was also a man of great humour and had a real zest for life.
'With his passing, there will be an immense void not only in his family's lives, but also in those of all South Africans and the many others whose lives have been changed through his fight for peace, justice and freedom.
'The world has lost an inspired leader and a great man. My family and I are profoundly saddened and our thoughts and prayers are with his family.' 
Mr Mandela's efforts to heal his country after its long history of division made him one of the world¿s most loved leaders, viewed by millions of Africans as a secular saint
Mr Mandela's efforts to heal his country after its long history of division made him one of the world¿s most loved leaders, viewed by millions of Africans as a secular saint
Despite being allowed to return home three months ago, South Africa's first black president has not been able to move from a bedroom described as being a 'virtual 24 hour intensive care unit'
Despite being allowed to return home three months ago, South Africa's first black president has not been able to move from a bedroom described as being a 'virtual 24 hour intensive care unit'
Nelson Mandela whose courage in the face of persecution made him the most potent symbol of the struggle against apartheid - died last night
Nelson Mandela whose courage in the face of persecution made him the most potent symbol of the struggle against apartheid - died last night
Magical moment: On May 10 1994, in the nation's capital Pretoria, Nelson Mandela was sworn in as the first democratically elected President and gave the nation hope
Magical moment: On May 10 1994, in the nation's capital Pretoria, Nelson Mandela was sworn in as the first democratically elected President and gave the nation hope
His death was announced in a televised address broadcast as the Mail was going to press, South African president Jacob Zuma said: ‘Our nation has lost its greatest son. Our people have lost a father.
‘What made Nelson Mandela great was precisely what made him human. We saw in him what we seek in ourselves.’
Mr Mandela passed away at home after a long battle against illness. He was 95.
Mr Zuma said the former president would be accorded a State funeral and flags throughout South Africa would fly at half-mast until it was over.
Mr Mandela’s efforts to heal his country after its long history of division made him one of the world’s most loved leaders, viewed by millions of Africans as a secular saint. He was known in South Africa as ‘Madiba’, his clan name, which means ‘grandfather’.
Moving: Prince William paid tribute to Nelson Mandela alongside the Duchess of Cambridge following last night's film premiere of Mandela: The Long Walk to Freedom, where the couple were told as they watched it
Moving: Prince William paid tribute to Nelson Mandela alongside the Duchess of Cambridge following last night's film premiere of Mandela: The Long Walk to Freedom, where the couple were told as they watched it
A man lays flowers by the statue of Nelson Mandela the former President of South Africa, at the side of the Royal Festival Hall on the south bank of London
People view and place tributes at a statue of former South African President Nelson Mandela in Parliament Square
Outpouring: Monuments to 'Mandiba' in London are being surrounded by flowers and candles by those inspired by his example to the world
Piled high: A woman places flowers and reads the notes resting outside the South African embassy near Trafalgar Square
Piled high: A woman places flowers and reads the notes resting outside the South African embassy near Trafalgar Square
Embrace: A man with a South African scarf comforts a woman as they mourn the death 'Tata' Mandela in London
Embrace: A man with a South African scarf comforts a woman as they mourn the death 'Tata' Mandela in London
David Cameron said: ‘A great light has gone out in the world. Nelson Mandela was a hero of our time. I have asked for the flag at No 10 to be flown at half-mast.’
The Prime Minister has signed a book of condolence at South Africa House in London this morning.
In a message, he said Mr Mandela 'will inspire generations to come'.
He wrote: 'Your cause of fighting for freedom and against discrimination, your struggle for justice, your triumph against adversity - these things will inspire generations to come.
'And through all of this, your generosity, compassion and profound sense of forgiveness have given us all lessons to learn and live by.'
He ended his message with a quote - 'Blessed are the peacemakers for they shall be called the children of God.'
It is understood that Mr Cameron is likely to fly out to South Africa early next week to take part in a formal memorial service.
Details of how tributes will be paid to Mr Mandela in the House of Commons on Monday are expected later today.
Today Tony Blair told BBC Radio 4's Today programme that Mr Mandela had a good relationship with Britain, despite the opposition to him from parts of the establishment.
'He literally never used to let that bother him at all in terms of his regard for the country and, by the way, he was always perfectly gracious about Mrs Thatcher as well. I think he had a tremendous affection for Britain, he admired it as a country, he liked the people and I know he always used to enjoy coming.'
The former prime minister added: 'He came to represent something that was much more than just about the resolution of the issues of apartheid and of South Africa, he came to represent something quite inspirational for the future of the world and for peace and reconciliation in the 21st century.'
Former prime minister Sir John Major said Mr Mandela 'left an indelible mark on his time that few have ever equalled'.
People wishing to pay their last respects gather outside Nelson Mandela's home in Johannesburg
People wishing to pay their last respects gather outside Nelson Mandela's home in Johannesburg
Crowds at Mandela's home paying their respects to the former president, who died on Thursday aged 95 and left a nation in mourning
Crowds at Mandela's home paying their respects to the former president, who died on Thursday aged 95 and left a nation in mourning
Mourners outside Mandela's home film the occasion on their mobile phones
Mourners outside Mandela's home film the occasion on their mobile phones
Dozens of journalists gathered outside Mandela's home
Dozens of journalists gathered outside Mandela's home
A woman adds a candle to a shrine outside Mandela's home
Tribute: As news of Mandela's death filtered out late last night, residents of Johannesburg came to the suburb where he lived to light candles in his honour
A mourner holds a newspaper during the all-night vigil outside Mandela's home
Mourners who joined the all-night vigil outside Mandela's home brought tributes with them - this man brought the front page of a newspaper commemorating his life
A man lights a candle outside the home of the former president
As dawn broke on the leafy suburb where Mandela died last night, mourners lit candles and laid flowers, flags and soft toys in a shrine for the former president
A framed portrait of the former president and flowers are placed outside Mandela's home on Friday
A framed portrait of the former president and flowers are placed outside Mandela's home on Friday
The vigil outside Manela's home included groups of people singing and dancing in celebration of his life
The vigil outside Manela's home included groups of people singing and dancing in celebration of his life
The freedom fighter passed away on Thursday night after a long illness - these mourners are pictured celebrating his remarkable life
Patriotic celebration: The mood of those outside Mandela's house turned from one of grief to one of joy as mourners danced and sang songs in his honour
Rumors of Mr Mandela's increasing discomfort started circulating in the early afternoon Wednesday as increasing numbers of Mandela family members arrived at the former president's large Johannesburg home.
South Africa's president Jacob Zuma announced the long-expected death in a special television broadcast last night.
Mr Zuma said: 'Our nation has lost its greatest son.'
'What made Nelson Mandela great was precisely what made him human. We saw in him what we seek in ourselves.
'Fellow South Africans, Nelson Mandela brought us together and it is together that we will bid him farewell.'
Heartfelt: David Cameron used the message from Matthew 5:9 - 'Blessed are the peacemakers, for they shall be called the Children of God'
Heartfelt: David Cameron used the message from Matthew 5:9 - 'Blessed are the peacemakers, for they shall be called the Children of God'
Tribute: The Union and South African flags fly at half mast in Downing Street today while the Queen has also asked for the same to happen at Buckingham Palace
Tribute: The Union and South African flags fly at half mast in Downing Street today while the Queen has also asked for the same to happen at Buckingham Palace
The White House said tonight that the president is expected to travel to South Africa for Mandela's state funeral along with other world leaders.
'He achieved more than could be expected for any man and today he's gone home,’ Obama said at a news conference. 'Madiba transformed South Africa and moved all of us- his journey from a prisoner to a president embodied the promise that humans can transform for the better.'
Mr Obama visited South Africa in June and met with the former president's family but did not personally meet with the ailing leader because his health was so poor at the time.
Hillary Clinton, former US secretary of state, said Mr Mandela was 'a champion for justice and human dignity, with unmatched grace'.
A mother and daughter being interviewed by media outside President Nelson Mandela's home
Tears: Many of those who came to pay tribute to the man who gave them their freedom brought their children with them
South African people hold hands and mourn outside Mandela's house
Brought together by grief: South African people hold hands outside Mandela's house after learning of his death at the age of 95
People gather on Vilakazi Street in Soweto, where Mandela resided when he lived in the township
Tribute for our brother: People gather on Vilakazi Street in the black township of Soweto, where Mandela lived during the 1940s and 1950s
The Nobel Peace Prize winner was 95 when he passed away
The Nobel Peace Prize winner was 95 when he passed away
People read a newspaper on Vilakazi Street in Soweto, where Mandela once lived
People read a newspaper on Vilakazi Street in Soweto, where Mandela once lived - mourners marched around the block chanting his name
Two women console each other on Vilakazi Street in Soweto
Two women console each other on Vilakazi Street in Soweto - police officers watched as mourners sang songs, held hands and swayed outside Mandela's early home
Soldiers guard the moral giant's home in Qunu
In the village of Qunu, where Mandela grew up, soldiers with armoured vehicles guarded his childhood home, but again the feeling was one of peaceful remembrance
People showing their respects to Nelson Mandela in London at South Africa House and at the Nelson Mandela statue on Parliament square
People showing their respects to Nelson Mandela in London at South Africa House and at the Nelson Mandela statue on Parliament square
A makeshift memorial at South Africa House in London
A makeshift memorial at South Africa House in London
Members of the First AME Church Freedom Mass Choir pray in honour of the late anti-apartheid leader, whose image appears on the left, during choir rehearsal on Thursday in Los Angeles, California
Members of the First AME Church Freedom Mass Choir pray in honour of the late anti-apartheid leader, whose image appears on the left, during choir rehearsal on Thursday in Los Angeles, California

Mr Obama previously had a personal meeting when he was just a Senator.
He said that the very first political action in his life, let alone his career, was his participation in an anti-apartheid rally held in Mandela's honor.
'We will not likely see the likes of Nelson Mandela again, so it falls to us' to live by his example and 'make decisions not by hate but by love,' Mr Obama said in the press conference.
He said that the thoughts and prayers of the first family and the American people were with Mr Mandela's family.
'His life's work meant long days away from those who loved him most,' saying that he hoped they were able to value the last few months together.
Westminster Abbey will hold a national service of thanksgiving for the life of Mr Mandela after the state funeral in South Africa.
A book of condolence will be opened at St Margaret's Church at the Abbey from 9.30am today.
Far-reaching grief: Lungi Morrison, the granddaughter of Archbishop Desmond Tutu, sings after lighting a candle for Nelson Mandela outside the South African High Commission in London
Far-reaching grief: Lungi Morrison, the granddaughter of Archbishop Desmond Tutu, sings after lighting a candle for Nelson Mandela outside the South African High Commission in London
Taking to the streets: South Africans stand outside the Mandela family home after the death of Nelson Mandela. Citizens of the African nation took to the streets after their revered leader's death
Taking to the streets: South Africans stand outside the Mandela family home after the death of Nelson Mandela. Citizens of the African nation took to the streets after their revered leader's death
Mementos: Flowers, candles and tributes are left in memory of Nelson Mandela outside the South African High Commission across from Trafalgar Square in London
Mementos: Flowers, candles and tributes are left in memory of Nelson Mandela outside the South African High Commission across from Trafalgar Square in London, including a poster from the film about the leader that premiered in the UK the night of his death
Grateful nation: People sit behind burning candles for former president Nelson Mandela on hearing of his passing outside his Johannesburg home
Grateful nation: People sit behind burning candles for former president Nelson Mandela on hearing of his passing outside his Johannesburg home
Sad but celebratory: While many people looked sombre and visibly emotional following news of Mandela's death, others celebrated his achievements by dancing and singing
Sad but celebratory: While many people looked sombre and visibly emotional following news of Mandela's death, others celebrated his achievements by dancing and singing
Rapt: People listen to a radio outside Mr Mandela's house as news of his death was announced by South African president Jacob Zuma
Rapt: People listen to a radio outside Mr Mandela's house as news of his death was announced by South African president Jacob Zuma
A world indebted: Press gather outside Mandela's home. World leaders across the globe learned the somber news from South Africa's President Zuma
A world indebted: Press gather outside Mandela's home. World leaders across the globe learned the somber news from South Africa's President Zuma. Many of them, notably US President Barack Obama, expressed their indebtedness to the late freedom fighter
'Nelson Mandela showed us the true meaning of courage, hope, and reconciliation,' Cameron said. 'My heart goes out to his family - and to all in South Africa and around the world whose lives were changed through his courage.'
Cameron tweeted that the flag at No 10 Downing Street would be flown at half-mast.
'A great light has gone out in the world,' Cameron said. 'Nelson Mandela was a hero of out time.
Although increasingly frail, Mandela had been in an out of the hospital over the past five years, he was last rushed to hospital on June 8th this year.
A nation mourns: South African president Jacob Zuma tells the world of Mandela's passing in this screen grab of his Thursday address
A nation mourns: South African president Jacob Zuma tells the world of Mandela's passing in this screen grab of his Thursday address
'I cannot fully imagine my life without the example that Nelson Mandela set,' said President Obama at a news conference. The White House said the US president will travel to South Africa to attend Mandela's fuenral
'I cannot fully imagine my life without the example that Nelson Mandela set,' said President Obama at a news conference. The White House said the US president will travel to South Africa to attend Mandela's fuenral
Just before his death: Duke and Duchess of Cambridge as they arrived Thursday night to the UK premier of Mandela: Long Walk to Freedom just before the film's inspiration and subject died at 95
Just before his death: Duke and Duchess of Cambridge as they arrived Thursday night to the UK premier of Mandela: Long Walk to Freedom just before the film's inspiration and subject died at 95
Just before his death: Duke and Duchess of Cambridge as they arrived Thursday night to the UK premier of Mandela: Long Walk to Freedom just before the film's inspiration and subject died at 95
The Duke and Duchess of Cambridge, Prince William and
The Duke and Duchess were in high spirits upon their arrival (left) to the Nelson Mandela film, unaware the great freedom fighter had died just hours before. They were discreetly told of his passing near the end of the film and left in a somber mood

Ominous timing: Britain's Prince William, Duke of Cambridge, greets Zindzi Mandela, right, and her sister Zenani, the daughters of former Nelson Mandela at the UK premier
Ominous timing: Britain's Prince William, Duke of Cambridge, greets Zindzi Mandela, right, and her sister Zenani, the daughters of former Nelson Mandela at the UK premier. The sisters reportedly only learned of their father's death as they watched the movie about his life

First family emerges: An unidentified granddaughter of former South African president Nelson Mandela leaves his house following his death in Johannesburg on Thursday
family begins to emerge: An unidentified granddaughter of former South African president Nelson Mandela leaves his house following his death in Johannesburg on Thursday

Global leader: The United Nations Security Council observes a minute of silence upon the news of the noted peacemaker's deathGlobal leader: The United Nations Security Council observes a minute of silence upon the news of the noted peacemaker's death
Nelson Mandela timeline

He was initially treated for a lung infection, but with three weeks his condition, it was announced, had turned 'critical'. The South African government has never disclosed the full extent of his illness, but reputable news sources revealed that his liver and kidneys were functioning at just 50 percent. South African media reported that he was on ventilation and undergoing regular renal dialysis. Nelson Mandela was one of the world's most admired and beloved political leaders, an icon of the redemptive power of reconciliation.
Mandela in London. South Africans took to the streets of Johannesburg in their droves to mourn former president Nelson Mandela after news of his death broke
Mandela in London. South Africans took to the streets of Johannesburg in their droves to mourn former president Nelson Mandela after news of his death broke

He was initially treated for a lung infection, but with three weeks his condition, it was announced, had turned 'critical'
he South African government has never disclosed the full extent of his illness, but reputable news sources revealed that his liver and kidneys were functioning at just 50 percent
The South African government has never disclosed the full extent of his illness, but reputable news sources revealed that his liver and kidneys were functioning at just 50 percent. South Africans took to the streets of Johannesburg in their droves to mourn former president Nelson Mandela after news of his death broke
Mourners converged on Mandela's home in the capital to light candles and pay tribute to the man who ended apartheid and gave them their freedom.
While some looked sombre and quietly said prayers following Mandela's passing, others celebrated his achievements in a loud show of patriotism and pride.
Crowds, made up of all creeds, races and religions, sang loudly together, danced and waved candles just yards from where the former president died.
Many chanted 'it's in our hands now', referring to the legacy that Mandela has left and that many of the crowd now feel is their responsibility to continue.
Hundreds of people waved South Africa flags, embraced, clapped and chanted Mr Mandela's name as they remembered their first democratically elected president.

Here UK Prime Minister David Cameron, meets with Mandela in 2006 in Johannesburg
Here UK Prime Minister David Cameron, meets with Mandela in 2006 in Johannesburg. Cameron led the UK tributes to the South African leader Thursday. 'Nelson Mandela showed us the true meaning of courage, hope, and reconciliation,' said the PM

'I STUDIED HIS WORDS AND WRITINGS': PRESIDENT OBAMA EXPRESSES GRATITUDE TO MANDELA AS HE PAYS TRIBUTE TO THE LATE LEADER

Alamy Live News. DKGHWX Washington, Washington DC. 5th Dec, 2013. U.S. President Barack Obama de

OBAMA'S ENTIRE SPEECH AS FOLLOWS...
At his trial in 1964, Nelson Mandela closed his statement from the dock saying: “I have fought against white domination, and I have fought against black domination. I have cherished the ideal of a democratic and free society in which all persons live together in harmony and with equal opportunities. It is an ideal which I hope to live for and to achieve. But if needs be, it is an ideal for which I am prepared to die.”
And Nelson Mandela lived for that ideal, and he made it real. He achieved more than could be expected of any man. Today, he has gone home. And we have lost one of the most influential, courageous, and profoundly good human beings that any of us will share time with on this Earth. He no longer belongs to us – he belongs to the ages.
Through his fierce dignity and unbending will to sacrifice his own freedom for the freedom of others, Madiba transformed South Africa – and moved all of us. His journey from a prisoner to a president embodied the promise that human beings – and countries – can change for the better.
His commitment to transfer power and reconcile with those who jailed him set an example that all humanity should aspire to, whether in the lives of nations or our own personal lives. And the fact that he did it all with grace and good humour, and an ability to acknowledge his own imperfections, only makes the man that much more remarkable. As he once said, “I am not a saint, unless you think of a saint as a sinner who keeps on trying.”
I am one of the countless millions who drew inspiration from Nelson Mandela’s life. My very first political action, the first thing I ever did that involved an issue or a policy or politics, was a protest against apartheid. I studied his words and his writings. The day that he was released from prison gave me a sense of what human beings can do when they’re guided by their hopes and not by their fears. And like so many around the globe, I cannot fully imagine my own life without the example that Nelson Mandela set, and so long as I live I will do what I can to learn from him.
To Graca Machel and his family, Michelle and I extend our deepest sympathy and gratitude for sharing this extraordinary man with us. His life’s work meant long days away from those who loved him the most. And I only hope that the time spent with him these last few weeks brought peace and comfort to his family.
To the people of South Africa, we draw strength from the example of renewal, and reconciliation, and resilience that you made real. A free South Africa at peace with itself – that’s an example to the world, and that’s Madiba’s legacy to the nation he loved.
We will not likely see the likes of Nelson Mandela again. So it falls to us as best we can to forward the example that he set: to make decisions guided not by hate, but by love; to never discount the difference that one person can make; to strive for a future that is worthy of his sacrifice.
For now, let us pause and give thanks for the fact that Nelson Mandela lived – a man who took history in his hands, and bent the arc of the moral universe toward justice. May God bless his memory and keep him in peace.

PARTING WORDS TO AN HISTORIC LEADER: SOUTH AFRICAN PRESIDENT JACOB ZUMA'S GOODBYE SPEECH TO NELSON MANDELA


An image grab shows South African President Jacob Zuma holding a press briefing to announce the

'My fellow South Africans, our beloved Nelson Rolihlahla Mandela, the founding president of our democratic nation has departed.
'He passed on peacefully in the company of his family around 20.50 on December 5 2013.
'He is now resting. He is now at peace.
'Our nation has lost its greatest son. Our people have lost a father.
'Although we knew that this day would come, nothing can diminish our sense of a profound and enduring loss.
'His tireless struggle for freedom earned him the respect of the world.
'His humility, his compassion, and his humanity earned him their love. Our thoughts and prayers are with the Mandela family. To them we owe a debt of gratitude.
'They have sacrificed much and endured much so that our people could be free.
'Our thoughts are with his wife Mrs Graca Machel, his former wife Ms Winnie Madikizela-Mandela, with his children, his grandchildren, his great grandchildren and the entire family.
'Our thoughts are with his friends, comrades and colleagues who fought alongside Madiba over the course of a lifetime of struggle.
'Our thoughts are with the South African people who today mourn the loss of the one person who, more than any other, came to embody their sense of a common nationhood.
'Our thoughts are with the millions of people across the world who embraced Madiba as their own, and who saw his cause as their cause.
'This is the moment of our deepest sorrow.
'Our nation has lost its greatest son.
'Yet, what made Nelson Mandela great was precisely what made him human. We saw in him what we seek in ourselves.
'And in him we saw so much of ourselves.
'Fellow South Africans, Nelson Mandela brought us together, and it is together that we will bid him farewell.
'Our beloved Madiba will be accorded a state funeral.
'I have ordered that all flags of the Republic of South Africa be lowered to half-mast from tomorrow, December 6, and to remain at half-mast until after the funeral.
'As we gather to pay our last respects, let us conduct ourselves with the dignity and respect that Madiba personified.
'Let us be mindful of his wishes and the wishes of his family.
'As we gather, wherever we are in the country and wherever we are in the world, let us recall the values for which Madiba fought.
'Let us reaffirm his vision of a society in which none is exploited, oppressed or dispossessed by another.
'Let us commit ourselves to strive together - sparing neither strength nor courage - to build a united, non-racial, non-sexist, democratic and prosperous South Africa.
'Let us express, each in our own way, the deep gratitude we feel for a life spent in service of the people of this country and in the cause of humanity.
'This is indeed the moment of our deepest sorrow.
'Yet it must also be the moment of our greatest determination.
'A determination to live as Madiba has lived, to strive as Madiba has strived and to not rest until we have realised his vision of a truly united South Africa, a peaceful and prosperous Africa, and a better world.
'We will always love you, Madiba!
'May your soul rest in peace.
'God Bless Africa.
'Nkosi Sikelel' iAfrika.'
In London, royals, celebrities and members of Nelson Mandela's family--including his two daughters--attended the UK premiere of the biographical film of his life and were oblivious to the fact that he'd died just hours earlier.
Speaking from the Odeon cinema, Prince William said: 'I just wanted to say it's extremely sad and tragic news.
'We were just reminded what an extraordinary and inspiring man Nelson Mandela was. My thoughts and prayers are with him and his family. It's very sad.'
It was not clear what had happened to Mandela's daughter, including Zindzi, who appeared jovial and relaxed walking the red carpet before the premiere but seemed overcome when she got inside.
In this 2011 meeting, the first daughters Malia (left) and Sasha (right) join their mother Michelle Obama for a meeting with Mandela
In this 2011 meeting, the first daughters Malia (left) and Sasha (right) join their mother Michelle Obama for a sit down with Mandela
Unforgettable pose: Prime Minister David Cameron meets with Mandela 2008, as the South African leader shoots his famously endearing grin
Unforgettable pose: Prime Minister David Cameron meets with Mandela in 2008, as the South African leader shoots his famously endearing grin
Nelson Mandela is pictured during a visit by former U.S. president Bill Clinton on July 17, 2012 at his home in Qunu, Eastern Cape, on the eve of his 94th birthday
Nelson Mandela is pictured during a visit by former U.S. president Bill Clinton on July 17, 2012 at his home in Qunu, Eastern Cape, on the eve of his 94th birthday
The former lawyer spent 27 years in apartheid prisons for his political beliefs before becoming South Africa's first black president.
His critical role in both achieving full democracy in South Africa and then keeping the peace when it arrived in 1994 earned him a Nobel Peace Prize.
But it was the magnanimity he showed his former oppressors - coupled with an intense personal charm - that has earned him admirers all over the globe.
A huge state funeral, attended by most world leaders, is expected to be held in the coming days.
Having served just one term as president of South Africa, Mr Mandela retired from public life in 2004 and has only rarely been glimpsed in public since then.
Pope John Paul II with Mandela in 1995. The former lawyer spent 27 years in apartheid prisons for his political beliefs before becoming South Africa's first black president
Pope John Paul II with Mandela in 1995. The former lawyer spent 27 years in apartheid prisons for his political beliefs before becoming South Africa's first black president

Mandela and Princess Diana speak with the press after meeting in the Mandela's home, Genadendal, in Cape Town, South Africa
Mandela and Princess Diana speak with the press after meeting in the Mandela's home, Genadendal, in Cape Town, South Africa

Late singer Whitney Houston cuddles up to Pres Nelson Mandela at the Union Buildings in Pretoria
Late singer Whitney Houston cuddles up to Pres Nelson Mandela at the Union Buildings in Pretoria
His last public appearance was at football's 2010 World Cup final when his wife had to support his arm to allow him to wave to the crowd.
As well as receiving treatment for prostate cancer, stomach pain and problems with his eyes, Mandela's most persistent medical problems have been respiratory.
He damaged his lungs and contracted tuberculosis while digging in a lime quarry during the 18 years he spent imprisoned on the notorious Robben Island, outside Cape Town.
He has been admitted to hospital numerous times over past decade - and five times since December last year.
He underwent treatment for, among other things, a respiratory disorder, a 'long-standing abdominal complaint', gallstones and, in April this year, for the removal of fluid from his lungs.
Such is Mandela's popularity in South Africa - where he is lionised for his role in healing the country's racial divides - that many public figures have tried to attach themselves to the former African National Congress (ANC) leader's legacy.
Jacob Zuma's decision, last April, to allow himself to be filmed standing next to an unsmiling, expressionless Mandela in hospital drew much adverse comment, including from Mandela's family.
The ANC's main political opposition, the Democratic Alliance, has also been accused of trying to 'hijack' his legacy by highlighting its historical connection to the man most South African refer to by his clan name Madiba.
Upcoming release: A still from The Weinstein Company shows Idris Elba as Nelson Mandela in the upcoming film Mandela: Long Walk to Freedom
Upcoming release: A still from The Weinstein Company shows Idris Elba as Nelson Mandela in the upcoming film Mandela: Long Walk to Freedom
A still Idris Elba, left, as Nelson Mandela, and Riaad Moosa, as Mandela's fellow political prisoner Ahmed Kathrada, in the biographical film. The film premier in the UK the night Mandela died
A still Idris Elba, left, as Nelson Mandela, and Riaad Moosa, as Mandela's fellow political prisoner Ahmed Kathrada, in the biographical film. The film premier in the UK the night Mandela died
On conviction, he and his fellow defendants escaped the gallows, but were sentenced to life imprisonment.
He spent the next 27 years behind bars, 18 of them on the notorious Robben Island, near Cape Town.
The film documenting parts of this struggle, Mandela: Long Walk To Freedom, stars Idris Elba as Mandela and Naomie Harris as his former wife Winnie.
In recent years various family members and friends have argued about how best to maintain his legacy. The disputes are now likely to worsen.
His marriage to Winnie had fallen apart after his release and he was now married to Graca Machel, the widowed former first lady of neighboring Mozambique.
He is survived by Machel; his daughter Makaziwe by his first marriage, and daughters Zindzi and Zenani by his second.
While some political commentators have expressed a fear that Mandela's death could destabilise South Africa by re-opening racial wounds, most South Africans are well used to the idea of his passing.

NELSON MANDELA: THE ANTI-APARTHEID FIGHTER WHO WENT TO PRISON FOR THE CAUSE

1960 69 peaceful protesters are killed by police in the Sharpeville Massacre; in the aftermath the ANC is banned, prompting Mandela to go into hiding. While in hiding he forms an underground military group with armed resistance
1962 After living on the run for seventeen months he is arrested on August 5 and imprisoned in the Johannesburg Fort. On October 25 he is sentenced to five years in prison but again goes on the run
1964 On June 12 Mandela is captured and convicted of sabotage and treason. He is sentenced to life imprisonment at the age of 46, initially on Robben island where he would be kept for 18 years
1968 His mother dies and his eldest son is killed in a car crash but he is not allowed to attend either of the funerals
1980 The exiled Oliver Tambo launches an international campaign for the release of his friend
1986 Sanctions against South Africa are tightened, costing millions in revenue
1990 On February 11, Nelson Mandela is released from prison after 27 years. He had served the last part of his sentence in Victor Verster Prison in Paarl.
President De Klerk lifts the ban on the African National Congress (ANC). The ANC and the white National Party begin talks on forming a multi-racial democracy for South Africa.
1991 Mandela becomes President of the ANC. The International Olympic Committee lift a 21-year ban on South African athletes competing in the Olympic Games.
1992 He separates from Winnie Mandela after she is convicted of kidnapping and being an accessory to assault. The following March they divorce.
1993 Nelson Mandela and Mr de Klerk are awarded the Nobel Peace Prize
1994 April 26 Free Elections where black South Africans are allowed to vote for the first time. Nelson Mandela runs for President and the ANC win 252 of the 400 seats in the national assembly
May Mandela is inaugurated as the first black president of South Africa. He appoints de Klerk as deputy president and forms the racially mixed Government of National Unity.
1995 South Africa hosts the 1995 Rugby World Cup and South Africa wins. Nelson Mandela wears a Springbok shirt when he presents the trophy to Afrikaner captain Francois Pienaar. This gesture was seen as a major step in the reconciliation of white and black South Africans.
1998 Marries Graca Machel, the widow of the former president of Mozambique, on his 80th birthday.
1999 Relinquishes presidency in favour of Thabo Mbeki, who was nominated ANC president in 1997.
2001 Nelson Mandela was diagnosed and treated for prostate cancer
2004 June: Nelson Mandela announced that he would be retiring from public life at the age of 85
2005 His son, Makgatho Mandela died of AIDS
2010 Mandela makes a rare public appearance at the football World Cup in South Africa
2012 An increasingly frail Mandela is admitted to hospital twice in February and December
Source: www.history-timelines.org.uk

Indeed, most serious political analysts in the country recognise that Mr Mandela's death is unlikely to create a political shockwave.
More significant, they say, may be the fact that without Mandela's immense moral authority, the ruling ANC party may be more vulnerable to charges of corruption and incompetence.
Mandela, who is generally considered to be 'the father' of modern South Africa, has said that his greatest regret has been his failure to have raised his own children.
He married three times. Two wives remain alive: his ex wife Winnie and Graca Machel. He has three remaining children, another four step children, 17 grandchildren and 12 great grandchildren.
He was born into African aristocracy, a descendant of kings of the Thembu people, in Transkeiin 1918.
His father had four wives, among whom his mother ranked third.
He was the first of his family to attend school, and it was his teacher who gave him the English name Nelson in place of his given name, Rolihlahla.
At 19, he attended Fort Hare University, where he soon became involved in student politics - or rather, in organising a boycott of them.
Rejecting a marriage arranged for him by his tribal elders, he became briefly a mine guard, then was articled to a Johannesburg law firm.
He began living in the Alexandra black township, and started law studies at Witwatersrand University, where he met fellow students and future political activists Ruth First, Joe Slovo and Harry Schwarz.
In the early 1950s, Mandela became deeply involved in radical resistance to apartheid, while he and fellow-activist Oliver Tambo ran a law firm, offering cheap advice to township residents.
Mandela was initially an admirer of India’s Mahatma Gandhi, committed to non-violent resistance. Yet in 1956, he and 150 others were arrested and charged with treason.

QUOTES FROM A GREAT MAN: UNFORGETTABLE WORDS SPOKEN BY NELSON MANDELA THAT HELPED TO SHAPE THE CONTEMPORARY WORLD

image014.jpg

‘What counts in life is not the mere fact that we have lived. It is what difference we have made to the lives of others that will determine the significance of the life we lead.’
‘If people can learn to hate, they can be taught to love, for love comes more naturally to the human heart than its opposite’.
‘I learned that courage was not the absence of fear, but the triumph over it. The brave man is not he who does not feel afraid, but he who conquers that fear’.
‘Never, never and never again shall it be that this beautiful land will again experience the oppression of one by another’.
‘The greatest glory in living lies not in never falling, but in rising every time we fall.’
‘Do not judge me by my successes, judge me by how many times I fell down and got back up again.’
‘If I had my time over I would do the same again. So would any man who dares call himself a man.’
‘There is no passion to be found playing small – in settling for a life that is less than the one you are capable of living.’
‘It always seems impossible until it is done.’
‘It is what we make out of what we have, not what we are given, that separates one person from another.’
‘For to be free is not merely to cast off one's chains, but to live in a way that respects and enhances the freedom of others.’

NELSON MANDELA'S LIFE STORY

$
0
0

NELSON MANDELA ENZI ZA UHAI WAKE

WEMA YAMKUTA YA KAJALA

$
0
0

KICHEKO! Ile kesi ya kumpiga na kumtukana matusi ya nguoni Meneja wa Hoteli ya Mediteranian iliyopo Kawe Beach, Dar, Godlucky Kayombo iliyokuwa ikimkabili Wema Isaac Sepetu imetolewa hukumu yake kama ilivyokuwa ile ya shosti’ake, Kajala Masanja.
Wema Sepetu akitingaMahakama ya Mwanzo ya Kawe, Dar.
Habari kutoka kwa chanzo makini cha gazeti hili kilieleza kuwa Wema alihukumiwa kifungo cha miezi mitatu au faini ya shilingi laki moja kwa maana ya elfu hamsini kwa kila kosa baada ya kukutwa na hatia ya kutenda makosa hayo mawili ya kupiga na kutukana.
WEMA AOMBA IHARAKISHWE
Habari za ndani kutoka kwa mtu wa karibu wa Wema au Madam zilieleza kuwa hukumu ya kesi hiyo ilikuwa iahirishwe lakini staa huyo akaomba itolewe kwa kuwa alitaka kusafiri.
Ilisemekana kuwa mbali na kuwa na safari pia aliomba itolewe kwa sababu yupo ‘bize’ na maandalizi ya arobaini ya baba yake, Isaac Sepetu aliyeaga dunia hivi karibuni.
Hukumu hiyo ilitolewa katika Mahakama ya Mwanzo ya Kawe, Dar ambako ndiko kesi hiyo ilipokuwa ikirindima tangu mwezi Agosti, mwaka huu.
Wema Sepetu na rafiki zake wakijadiliana jambo eneo la Mahakama ya Mwanzo ya Kawe, Dar.
ASUBIRIWA KUPELEKWA GEREZANI, ACHOMOA ‘MADOLARI’
Ilielezwa kuwa katika hukumu hiyo iliyosomwa kwa takriban saa mbili, Wema alikuwa akisubiriwa nje tayari kupelekwa gerezani lakini kama kawaida yake fedha iliongea ambapo alizamisha mkono laini kwenye ule mkoba wake na kuchomoa ‘madolari’.
Chanzo kilidai kuwa zilihitajika fedha za Kibongo hivyo Wema alichambua mkoba wake na kutoa ‘wekundu’ kumi huku akirejesha zile dola za Kimarekani.
“Wema alifanya kama alivyomfanyia Kajala siku ile pale Kisutu. Kwa Wema ishu ya fedha siyo tatizo sana. Kuliko kumpotezea muda, Wema yupo tayari kutoa kiasi chochote cha fedha.
“Kwa Wema muda ni kitu cha muhimu zaidi kuliko hata hiyo fedha ndiyo maana alitoa tu hiyo faini mara moja,” kilisema chanzo hicho.
Baada ya kupokea maelezo hayo, gazeti hili lilimsaka Wema ili kupata mzani wa habari hiyo lakini simu yake iliita bila kupokelewa.
Wema na shosti wake Kajala wakitoka mahakamani hapo.
Hata hivyo, alipotafutwa meneja wake, Martin Kadinda na kuulizwa juu ya suala hilo alifunguka:
“Ile kesi iliisha tangu Ijumaa iliyopita, watu hawakujua tu. Wema alihukumiwa kifungo cha miezi mitatu au faini ya shilingi laki moja.
“Alichokifanya Wema alilipa faini hiyo na sasa yupo freshi na mishe zinaendelea. Unajua haruhusiwi kufanya mahojiano hadi amalize arobaini ya baba yake.”
Chanzo kilisema kuwa kabla ya hukumu hiyo, Wema alikuwa katika hali kama ile iliyomkuta Kajala wakati wa hukumu yake miezi kadhaa iliyopita kwani alikuwa akilia, kujuta na kumuomba Mola amuepushe na balaa hilo lililosababishwa na kuwa ‘tilalila’.
Hata hivyo, hukumu hiyo iliwashangaza watu kwani iliendeshwa kwa muda mrefu na kwa mbwembwe nyingi lakini hokumu yake ikawa ya kawaida tofauti na matarajio ya wengi.
Wema Sepetu na kampani yake wakiondoka eneo la mahakama.
KAJALA NAYE KICHEKO TENA
Wakati Wema akikenua, wiki hii Kajala naye ilikuwa chereko chereko baada ya  Mahakama ya Rufaa Kanda ya Dar kuridhika na hukumu yake iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mapema mwaka huu kufuatia rufaa iliyokatwa na mume wa staa huyo Faraji Chambo.
Katika kesi ya awali, Kajala alihukumiwa kifungo cha miaka mitano au faini ya Sh. milioni 13 baada ya kupatikana na hatia ya kushirikiana na mumewe kwenye msala wa kutakatisha fedha haramu wakati mwanaume huyo akifanya kazi Benki ya NBC, Dar.
Hata hivyo, Wema alimlipia faini hiyo kama alivyofanya kwenye kesi yake.
Katika hukumu ya rufaa hiyo, majaji walijiridhisha kwamba kesi hiyo iliendeshwa ipasavyo na Kajala alitimiza taratibu za kuwa huru kwa kulipa faini lakini mumewe aliyehukumiwa miaka saba alishindwa kulipa faini ya Sh. milioni 213.
MAOMBI YAO YASIKIKA
Wema na Kajala wamekuwa kwenye maombi ya kufunga wakisali na kufanya dua ili kuwaepusha na kifungo hivyo kwa sasa wote ni vicheko.
CREDIT: Global Publishers

MTOTO WA KWANZA WA MWENYEKITI WA SIMBA, ISMAIL ADEN RAGE AMELAZWA MAHUTUTI KATIKA HOSPITALI ATLANTA NCHINI MAREKANI.

$
0
0
MTOTO wa kwanza wa Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage amelazwa mahututi katika hospitali iliyoelezwa kuwa katika Mji wa Atlanta nchini Marekani.
Taarifa za kulazwa kwa mtoto huyo wa kwanza wa Rage ambaye jina lake halikupatikana mara moja zilianza kuenea juzi na baadaye jana, ambapo watoa habari walieleza kwamba mtoto huyo wa kwanza wa Rage amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) baada ya kugundulika mwilini mwake kulikuwa na sumu.
“Tumesikia kuwa mtoto wa mwenyekiti amenyweshwa sumu, lakini tumekuwa hatuna uhakika kwa kuwa taarifa tuliyoipata klabuni imeeleza kwamba mtoto wake yuko ICU ingawa hatujui ukweli wa mambo,” alisema mmoja wa wanachama wa Simba.
Taarifa hizo zilienea haraka jana na juhudi za Championi Ijumaa kupata uhakika wa jambo hilo ziliyumba baada ya kila aliyeulizwa wakiwemo viongozi wa Simba kusema pia walikuwa wakilisikia juujuu.
Lakini mmoja wa viongozi wa Simba alisema: “Ukweli ni hivi, mwenyekiti amewatumia email baadhi ya viongozi na kusema mtoto wake huyo yupo ICU, lakini sasa hakuna mwenye uhakika kama ni sumu ingawa wote tumesikia kwamba mwanaye kanyweshwa sumu.”
Alipoulizwa Mjumbe la Baraza la Wadhamini la Simba, Hamis Kilomoni alisema: “Ni kweli nimesikia taarifa hizo lakini sijafanikiwa kuzungumza na Rage mwenyewe.”
Baada ya hapo gazeti hili zikafanyika juhudi kumpata mkewe ambaye yuko jijini Dar es Salaam baada ya simu zote za Rage kutopatikana hewani, simu ilipokelewa na kitinda mimba wa Rage ambaye alisema mama yake ameiacha simu hiyo.
Alipoulizwa kuhusiana na suala hilo, kidogo alionekana kujichanganya ingawa alikiri kuwa kweli kaka yake alikuwa amelazwa nchini Marekani katika chumba hicho cha wagonjwa mahututi.
“Kweli alikuwa amelazwa, lakini leo ametoka na anaendelea vizuri,” alisema na alipoulizwa kuwa kama sumu ilihusika, alijibu:
“Anaumwa pneumonia (rimonia) tu, ingawa sumu imeisha mwilini.” Alipotakiwa kufafanua kuhusiana na sumu iliyoisha mwilini, akaongeza: “Mama akija anaweza kuzungumzia hili.”
Taarifa nyingine zimeeleza kuwa suala hilo limekuwa likifanywa siri kubwa na familia ya Rage ndiyo maana imekuwa vigumu kuliweka wazi. Huku ikidaiwa kuwa kiongozi huyo akitarajiwa kurejea leo Ijumaa.
Rage ana watoto wanne, wa kwanza ni huyo ambaye ni mgonjwa na amekuwa akiishi nchini Marekani wakati wa pili ni wa kike ambaye anaishi nchini Australia. Mtoto wake wa tatu pia anasoma chuo mwaka wa kwanza huko Australia.
Aliyezungumza na Championi Ijumaa ni mwanaye wa mwisho ambaye anasoma sekondari moja maarufu hapa jijini Dar.
CREDIT; CHAMPIONI IJUMAA

AZAMTV YAPATA LESENI YA KUWA HEWANI RASMI‏

$
0
0
TCRA yaipa Azam Media leseni kuiwezesha kuendesha shughuli zake.
 Azam Media Ltd  leo imepata leseni kutoka Mamlaka ya Mawasilino Tanzania (TCRA) na hivyo kuwa na uwezo wa kuanza rasmi shughuli zake hapa Tanzania.
Hatua hii muhimu sasa inaiwezesha AzamTV kuanza kutoa huduma zake kwa wateja wake kote Tanzania kuanzia tarehe16 Desemba. Huduma hii itwapa fursa wateja kuangalia zaidi ya chaneli 50 za kitaifa na kimataifa ziliozosheheni burudani kwa ajili ya familia kwa bei nafuu ya shilingi 12,500/= kwa mwezi. Kutakuwepo wigo mpana wa kuchagua kifaacho kuangalia vikiwemo vipindi vya michezo, makala, watoto na tamthilia kutoka Tanzania, barani  Afrika na sehemu mbalimbali za dunia. Baadhi ya vipindi hivyo tajwa vitapatikana katika chaneli maarufu  kama vile National Geographic Gold na Nickelodeon, na pia matangazo yetu yatakuwa na chaneli za bila malipo zikiwemo TBC1, Channel 10, Clouds, ZBC na K24.
Jambo la kusisimu zaidi  ni kwamba  AzamTV itakuwa na matangazo katika chaneli zake tatu:
 
AzamOne - Itakuwa na vipindi vya kiafrika, ambapo kwa asilimia kubwa vitahusu masuala ya Afrika Mashariki kwa lugha ya Kiswahili. Hii ndiyo chaneli ambayo itakuwa ikirusha matangazo ya Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara;
 
AzamTwo – Hapa vitapatikana vipindi vya burudani kwa familia amabavyo ni vya kimataifa na baadahi ya hiovyo vitakuwa katika lugha ya kiswahili;
SinemaZetu – Chaneli maalum kwa ajili ya tamthilia za kitanzania.
Mtendaji Mkuu wa Azam Media, Rhys Torrington, alisema: “Huu ni  wakati wa kujivunia  kwa Tanzania kwani sasa ina huduma za luninga zinazopatikana kwa  bei ambayo wengi wanaweza kuimudu.  Miezi michache ijayo tutaivusha huduma hii mipaka hadi katika nchi zingine za Afrika Mashariki na hata mbali zaidi. Nimefarijika kwamba tumewekeza vilivyo katika chombo hiki cha kitanzania na tutaendelea kufanya hivyo”.

Torrington pia alibainisha kuwa kwa wateja ambao hawatapenda kungojea kuzinduliwa rasimi wa huduma za Azam TV, milango ya ofisi zake za Dar es Salaam itakuwa wazi kuanzia  leo (Ijumaa Desemba 6, 2013).  Wateja wataweza kununua  vifaa muhimu kutoka duka la AzamTV na kwa mawakala walioidhinishwa  na hivyuo kuweza kujionea vipindi mbalimbali kuanznia sasa – japo malipo yao kwa mwezi yatahesabiwa kuanzia Desember 16.

RIPOTI MAALUM: BURIANI NELSON MANDELA

$
0
0


Na. M. M. Mwanakijiji
Mpigania haki za weusi na alama kuu ya udhalimu wa mfumo wa Ubaguzi wa Rangi nchini Afrika ya Kusini Mzee Nelson ‘Madiba’ Mandela amefariki dunia baada yakuugua kwa muda mrefu kufuatia maambukizi ya mapafu kushindwa kutengemaa kwa muda sasa. Mzee Mandela ambaye kwa miezi kadhaa sasa amekuwa akisumbuliwa na matatizo ya maambukizi kwenye mapafu yake amefariki dunia nyumbani kwake ambako alipelekewa toka hospitali ya Moyo ya Mediclinic mjini Pretoria, chini Afrika ya Kusini baada ya familia yake kuomba kufanya hivyo.
Nelson Mandela akiwa na Walter Sisulu gerezeni katika Kisiwa cha Robben, Cape Town.
Mzee Mandela alipelekwa hospitali hiyo Jumamosi ya tarehe 8 Juni ikiwa ni baada ya kuanza tena kusumbuliwa na mapafu; miaka ya themanini akiwa kifungoni Mandela alipata ugonjwa wa Kifua Kifuu (TB) kutokana na kazi ngumu ya kupasua mawe kama sehemu ya adhabu ya kifungo chake. Aliondoka hospitali hapo Septemba 1, 2012 baada ya familia kuomba hivyo na kuahidiwa huduma nzuri ya kitabibu nyumbani. Wakati anaondoka hospitali hali yake bado ilikuwa ya utulivu kidogo lakini isiyo na mabadiliko makubwa. Mipango ya mazishi ambayo inatarajiwa kuvuta maelfu ya watu na mamia ya viongozi wa kimataifa inatarajiwa kutangazwa punde.
Bw. Mandela (95) alikuwa Rais wa kwanza mweusi wa Afrika ya Kusini kufuatia kutokomezwa kwa utawala wa ubaguzi wa rangi uliofanywa na Makaburu kwa karibu miaka 400 ambapo watu weupe walijipa haki ya kuwatawala na kuwabagua watu weusi. Kabla ya kuwa Rais wa Afrika ya Kusini Mzee Mandela alitumikia kifungo cha miaka 27 jela ambako pamoja na kazi ngumu aliendelea kuongoza kundi la wapigania haki wengine kudai usawa, utu, na umoja wa Waafrika ya Kusini. Mandela alikuwa ni mfungwa maarufu zaidi wa kisiasa duniani ambapo harakati za kutaka afunguliwe zilipiganwa na wanaharakati sehemu mbalimbali duniani licha ya upinzani wa Serikali ya Afrika ya Kusini na Baadhi ya Nchi za Kimagharibi ambazo zilimuona Mandela kama Ghaidi na mchochezi.
Maisha yake ya awali
Mzee Mandela alizaliwa Julai 18, 1918 katika kijiji cha Mvezo mji mdogo wa Umtatu Jimbo la Cape. Akiwa ni mmoja wa watoto wa Mzee Gadla Henry Mphakanyiswa Nelson Mandela alikulia kwa mamake – mke wa tatu wa Mzee Gadla – katika kijiji cha Qunu ambako pamoja na shughuli nyingine za nyumbani alikuwa mvulana mchunga ng’ombe.
Baadaye alianza masomo ya shule ya msingi na baadaye Sekondari ambapo aliamini kuwa alikuwa anaandaliwa kwa ajili ya utumishi katika nyumba ya Chifu wa Kabila lake la Xhosa kama mshauri. Hata hivyo baada ya kurudi nyumbani kutoka masomoni mwaka 1940 alikuta kuwa Chifu Jongintaba ameandaa ndoa Nelson Mandela pamoja mtoto wa kiume wa Chifu huyo aitwaye Justice walitoroka nyumbani na kwenda kwenye Jiji la Johannesburg. Alifanya kazi kama mlinzi katika Kampuni ya Madini ya Crown lakini alifukuzwa kazi na msimamizi wa pale baada ya kugunduliwa kuwa alikuwa ametoroka kwao.

Mandela akiwa amevaa mavazi ya kabila lake la Xhosa; alitoka katika familia ya kichifu.
Kuingia Katika Siasa
Alipokuwa akiishi kwa muda na mmoja wa binamu zake Nelson Mandela alitambulishwa kwa mwanaharakati wa chama cha ANC Bw. Walter Sisulu ambaye baadaye walifungwa pamoja – Sisulu akitumikia miaka 25 jela. Walter Sisulu alimtafutia kazi ya ukarani katika kampuni ya Wanasheria ya Witkin, Sidelsky and Edelman. Akiwa hapo alifanya masomo ya elimu kwa njia ya Posta ambapo alikuwa anatafuta shahada yake ya kwanza. Mwaka 1943 alihitimu masomo yake ya sheria na kuanza kazi kama Mwanasheria badala ya kurudi kijijini kutumika kwa Chifu. Akiwa ameanza kazi kama Mwanasheria Mandela aliendelea kuwa chini ya uangalizi wa Walter Sisulu ambaye alikuwa anaendeleza harakati za kudai haki za weusi. Akikutana mara kwa mara na wanaharakati wengine nyumbani kwa Sisulu Mandela alikutana tena na rafiki yake Oliver Tambo. Ilikuwa ni katika mikutano hiyo alikutana na mwanamama Evelyn Mase ambaye walianza uhusiano wa mapenzi na baadaye kufunga ndoa yake ya kwanza Oktoba , 1944. Walijaliwa watoto wawili wa kiume na wa kike; wa kiume Madiba “Thembi” Thembikile alizaliwa Februari 1946 na wa kike Makaziwe alizaliwa mwaka uliofuatia lakini alifariki miezi tisa baadaye baada ya kupata maambukizi ya ugonjwa uti wa mgongo.
Mandela na mtoto wake wa kwanza wa kiume Themi.
Baada ya uchaguzi wa 1948 ambapo watu weupe peke yao walishirikia vyama vya Herenigle Nacionale Party na Afrikaner Party viliungana na kuunda chama cha National Party ambacho kilikuwa na sera ya wazi ya ubaguzi na kikapisha na kupanua ukali wa sera ya ubaguzi kupitia sheria mbalimbali za ubaguzi wa rangi. Serikali ya Kikaburu ikaja na mojawapo ya Sheria kali kabisa za kupambana na wanaharakati ambayo inajulikana kama Ukandamizaji wa Ukomunisti ya 1950. Sheria hii ilikuwa inashughulikia karibu mambo yote yanayohusiana na kuipinga serikali na ikiwahusu watu wote. Migongano kati ya ANC na Serikali ya Kikaburu ilianza kupamba moto.

Mwaka 1952 Nelson Mandela alikamatwa na utawala wa Makaburu kwa kile kilichodaiwa kujihusisha na vitendo vya Kikomunisti chini ya ile sheria iliyopitishwa miaka michache nyume. Alihukumiwa miezi tisa jela na “kazi ngumu” lakini utekelezaji wa hukumu hiyo ulisitishwa kwa miaka miwili. Lakini mwezi Disemba mwaka huo huo Mandela alipigwa marufuku kuzungumza na zaidi ya mtu mmoja kwa miezi sita. Akiwa kiongozi wa ANC hii ilimaanisha kuwa asingeweza kufanya mikutano na wanachama wake. Mwaka 1953 Mandela na rafiki yake Oliver Tambo walifungua kampuni yao ya Wanasheria katika Jiji la Johannesburg na kuifanya kuwa kampuni ya kwanza ya Wanasheria Weusi katika Afrika ya Kusini.
Walijishughulisha na malalamiko mbalimbali ya wananchi hasa yanayohusiana na ukatili wa kisiasa. Hata hivyo serikali ikitumia sheria nyingine ikalazimisha kufungwa kwa ofisi hiyo iliyokuwa na wateja wengi na kuihamisha sehemu nyingine ambapo ilikuwa ni vigumu kwa wateja kuifikia. Mwaka 1955 Mandela na wenzake walishirikiana kuandaa kongamano kubwa la watu wa Afrika Kusini ambao wanaamini katika taifa moja la watu wamoja japo wanatoka katika makabila na rangi mbalimbali. Katika kongamano hili kulisainiwa kile kinachoaminika kama mojawapo ya nyaraka muhimu kabisa za kutetea usawa na utu wa watu wote ambayo ilijulikana kama Freedom Charter. Kufananisha hii ni sawasawa na Azimio la Uhuru la Marekani au ile nyaraka ya Waingereza ya Magna Carta. Kwa Tanzania tunaweza kufananisha kabisa na Azimio la Arusha. Freedom Charter ilitengeneza ramani ya kujenga taifa la watu walio huru na sawa katika Afrika Kusini.
Nelson Mandela na Oliver Tambo – wanasheria.
Marafiki wawili – miaka mingi toka Kisiwa cha Robben.
Hata hivyo kwa upande wa familia ndoa yake kwa Evelyn ilianza kuwa matatani. Kulikuwa na tuhuma za kukosa uaminifu ambapo alidaiwa kuwa na mahusiano ya mapenzi na baadhi ya kina dada wa ANC. Evelyn alijaribu watengane lakini pamoja na jitihahada mbalimbali za kupatana Nelson Mandela aliamua kupeana talaka na mke wake wa kwanza mwezi Machi 1958. Walikuwa wamejaliwa mtoto mwingine wa kike. Wakati huo wa mchakato wa talaka Nelson Mandela alikuwa ameanza mahusiano na Winnie Madikizela mmoja wa wafanyakazi wa mambo ya kijamii. Walifunga ndoa Mwezi Juni 1958.
Ndoa ya Madiba na Winnie.
Migogoro na utawala wa kikaburu haikukoma. Na Mandela alizidi kuwa na siasa za mrengo wa kushoto. Njia za amani za kupata mabadiliko ya kisiasa zilionekana kutozaa matunda; Mandela na wenzake walianza kuamini katika njia za kimapinduzi na za kutumia silaha. Hili lilimletea matatizo zaidi na watawala wa Kikaburu. Hatimaye Augusti 2, 1962 Nelson Mandela alikamatwa na utawala wa Makaburu na kushtakiwa kwa kuchochea mgomo wa wafanyakazi na kuondoka nchini bila kibali. Mandela alijiwakilishi mwenyewe mbele ya mahakama huku akitumia nafasi hiyo kutoa hutuba motomoto za kisiasa dhidi ya utawala wa kibaguzi wa makaburu. Alikutwa na hatia na kuamuriwa kufungwa miaka mitano jela; wakati anatoka mahakamani mashabiki wake walisimama pembeni na kuimba wimbo wa Mungu Ibariki Afrika (Nkosi Sikeleli Afrika).
Kesi ya Rivonia
Matatizo yake hayakufikia mwisho. Julai 11, 1963 polisi walivamia shamba la Lilliesleaf – mji mdogo wa Rivonia nje ya Johannesburg) ambapo pamoja na vitu mbalimbali waliamini walikuta ushahidi wa kutosha kumhusisha Mandela na mipango ya kuipindua serikali. Mandela na wenzake walitumia shamba hili kama sehemu yao ya kujificha huku Mandela akijifanya ni mtunza bustani. Kesi hii ilikuwa motomoto kwani Mandela na wenzake walishtakiwa kwa makosa manne yakiwa ni ya uhujumu wa miundo mbinu ya nchi (vitendo zaidi ya 200) pamoja na kutaka kupindua serikali; serikali ilikuwa inapendekeza kuwa wakikutwa na hatia basi wahukumiwe kifo. Mashahidi wengi wa serikali waliitwa pamoja na lundo la ushahidi wa picha na nyaraka kuthibitisha mashtaka ya serikali dhidi ya Mandela na
wenzake tisa.
Mara baada ya kuachiliwa mwaka 1990 Mandela alihakikisha anamtembelea rafiki yake mpenzi Oliver Tambo aliyekuwa anapata matibabu Sweden.
Wengine ambao walikuwa pamoja na Mandela ni pamoja na Walter Sisulu na Govan Mbeki (baba yake na Thabo Mbeki aliyemrithi Mandela kama Rais wa Afrika ya Kusini). Ilikuwa ni katika kesi hii ambapo Mandela alitoa mojawapo ya hotuba zinazosifiwa zaidi duniani na ambayo inasomwa na wanafunzi wa siasa sehemu mbalimbali duniani kwani ilielezea falsafa ya kupinga ubaguzi wa rangi. Inafanana sana kimaudhui na barua ya Martin Luther King Jr akiwa katika jela ya Birmingham huko Alabama ambapo alielezea kwanini alikuwa anapinga kubaguliwa na kwanini kila mpenda haki duniani anapaswa kufanya hivyo hivyo. Katika hotuba hii inayojulikana kama “I’m Prepared to Die Speech” Mandela alisema kuwa alikuwa anapigania haki ya watu weusi kuheshimiwa kutokana na utu wao na kuwa wao ni sawa kama binadamu wengine.

Alisema kuwa hapiganii haki ya weusi kuwabagua weupe bali haki ya watu wote kuishi kwa pamoja kama watu wa jamii moja. Mandela alisema “This is the struggle of the African people, inspired by their own suffering and experience. It is a struggle for the right to live. I have cherished the ideal of a democratic and free society, in which all persons live together in harmony and with equal opportunity. It is an ideal which I hope to live for and achieve. But, if needs be, my Lord, it is an ideal for which I am prepared to die”. Yaani, “Haya ni mapambano ya watu wa Afrika yaliyotokana na mateso na mang’amuzi yao wenyewe. Haya ni mapambano ya kupigania haki ya kuishi. Nimelifurahia wazo la jamii ya kidemokrasia na huru, ambapo watu wote wanaishi katika amani na haki sawa. Ni wazo ambalo ninatumaini kuishi kwa ajili yake na kulitimiza. Lakini, ikibidi, mheshimiwa, ni wazo ambalo nimejiandaa kufa kwa ajili yake”.
Baada ya kuhukumiwa kifungo cha maisha Mandela na wenzake wakitoka Mahakamani.
Pamoja na utetezi wake wote timu ya Mandela ilishindwa kesi hii na wote wakakutwa na hatia isipokuwa mmoja. Kwa vile tayari kulikuwa na mwamko sehemu mbalimbali duniani kupinga adhabu ya kifo Mahakama ikawaamuru Mandela na wenzake kutumikia kifungo cha maisha na huo ndio ukawa mwanzo wa kifungo cha karibu miaka 30 jela (ikumbukwe kesi hii ilipoanza Mandela tayari alikuwa anatumikia ile hukumu ya miaka 5 jela). Mandela na wenzake walipelekwa katika jela ya Kisiwa cha Robben ambako pale peke yake alitumikia miaka 18. Maisha kifungoni Kisiwa cha Robben na kwingine.Kisiwa cha Robben ambako Mandela alifungwa kwa miaka 18.
Mandela na wenzake walihukumiwa kazi ngumu vile vile na kweli ilikuwa ni kazi ngumu kwani pamoja na kuponda mawe walipewa baadaye kazi ya kuponda mawe ya chokaa. Kwa muda alikatazwa kuvaa miwani ya jua kitua mbacho kilimsababishia ubovu wa macho ambao hakuweza kupona kabisa. Akiwa kifungoni mamake alimtembelea mwaka 1968 na siku chache baadaye alifariki dunia, mwaka uliofuata mtoto wake wa kwanza Thembi alifariki katika ajali ya gari – Mandela hakuruhiswa kuhudhuria mazishi yao wote hao. Maisha kifungoni yalikuwa magumu kwa kila kipimo licha ya maisha baada ya miaka kuanza kuboreshwa kidogo kufuatia maandamano na harakati za kutaka Mandela afunguliwe. Utawala wa makaburu hawakusikia la mtu yeyote hasa kwa vile walikuwa wanaushirika wa karibu na serikali ya Marekani na Uingereza ambazo zote zilimuona Mandela kama Mkomunisti na Ghaidi.
Mwaka 1966 gerezani Mandela anaonekana akiitia viraka nguo yake ya jela.
Mandela alitumikia pia katika magereza ya Pollsmoor huko Cape Town na Gereza kati ya 1982 hadi 1988 na baadaye gereza la Victor Verster 1988-1990 ambako kwa kiasi kikubwa alikuwa amepewa maisha ya unafuu (hapa chini akiwa na mpishi na huduma mbalimbali) kulinganisha na alivyoishi katika gereza la Kisiwa cha Robben.
Akiwa gereza la Victor Verster alipewa nyumba na mtumishi. Hapa pichani na aliyekuwa mpishi wake kwenye gereza hilo.
Ikumbukwe miaka aliyokuwa Robben ndiyo ilikuwa migumu zaidi kwani hakuruhusiwa kutembelewa na watu wengi na alipewa nafasi ya kutembelewa na kuandikwa barua moja tu kila baada ya miezi sita. Katika magereza hayo mengine Mandela alipata unafuu kidogo.
Kuingia kwa F. W. de Clerk na kuachiliwa kwa Mandela
Chini ya utawala wa Pieter Botha Afrika ya Kusini ilizama katika siasa na sera za ubaguzi wa rangi. Botha aliwachukia weusi na aliamini kabisa kuwa utawala wa kikaburu utadumu kwa muda mrefu. Botha anaweza kabisa kufananishwa na aliyekuwa Gavana wa Alabama George Wallace ambaye aliapa kuwa “ubaguzi sasa, ubaguzi kesho, ubaguzi milele”; japo aliishi na kuona Ubaguzi ukifumuliwa katika jimbo lake na katika Marekani sera hizo zikitupwa katika mifumo ya utawala. Hata hivyo alikuwa ni F. W. de Clerk mwanasiasa mwingine mzungu ambaye licha ya kutoka katika chama kilichoamini katika ubaguzi wa rangi yeye mwenyewe alijikuta akiukataa kifikra kwani aliona hauwezi kudumu.
Kwa muda hivi tangu 1988 Mandela alikuwa na mazungumzo ya siri na baadhi ya viongozi wa serikali juu ya masharti ya yeye na wenzake kuachiwa huru na mwelekeo wa siasa za Afrika ya Kusini. Mazungumzo hayo yalikumbana na vikwazo vingi sana ikiwemo kutokukubaliana kwa masharti – kwa mfano serikali ilitaka Mandela asijiingize kwenye siasa na kuwa wasilazimishwe kuwa na utawala wa wengi (majority rule) masharti ambaye Mandela aliyakataa.
Baada ya Mdahalo mzito ambao de Klerk alionekana kushinda; Mandela alipompa mkono alionekana kushangaza umati wa watu na kujenga daraja kati yake na de Klerk kwa maisha.
Matokeo yake ni kuwa Mandela na wenzake waliachiliwa huru na utawala lwa De Clerk Februari 2, 1990 na kuleta furaha wanaharakati pote duniani. Ikumbukwe kwa Tanzania wimbo maarufu wa “Kilicho cha Wapenda Haki Duniani Kote” ulivuma sana wakati huo katika kuhamasisha Mandela na wenzake waachiliwe huru. Baada ya kuachiliwa huru muda mrefu ulitumika kufanya mazungumzo na utawala wa kikaburu kuhusiana na mwelekeo wa siasa za Afrika ya Kusini na hata kuelekea uchaguzi mkuu. Hata hivyo kutokana na matukio mbalimbali ya vurugu na mauaji ya kisiasa yaliyokuwa yanaendelea na hata migongano ya chama cha Inkatha cha Chifu Buthelezi Mandela aliona hana jinsi isipokuwa kufikia makubaliano ya msingi. Baadhi ya makubaliano hayo yalihusisha kufunguliwa kwa wafungwa wa kisiasa, kuitishwa kwa uchaguzi mkuu, kuwa na Katiba ya Mpito na kuhakikishia kuwa kazi za weupe hazitafukuzwa kama ukiingia utawala wa weusi.Mandela na de Klerk walitunukiwa tuzo ya Nishani ya Amani ya Nobel mwaka 1993 Mandela na de Klerk wakionesha nishani ya Nobel
Uchaguzi Mkuu wa 1994
Hatimaye Afrika ya Kusini ikaingia katika uchaguzi mkuu wa kwanza huru na wawananchi wote mwaka 1994, Aprili 27. Kampeni ilikuwa na vurugu za hapa na pale lakini kwa ujumla wananchi wa Afrika ya Kusini hasa weusi walijikuta kwa mara ya kwanza wanapiga kura kumchagua kiongozi wanayemtaka. Mandela akiongoza ANC walishinda asilimia 62 ya kura na kushindwa kupata theluthi mbili ambayo ingewawezesha kuweza kubadili Katiba. Serikali yake ilikuwa ni ya umoja wa kitaifa ikitegemea kwa kiasi kikubwa baadhi ya maofis waliokuwa katika utawala wa kikaburu. De Clerk alikuwa Makamu wa kwanza wa Rais na Thabo Mbeki akiwa Makamu wa Pili wa Rais. Mandela (katikati) akiwa na Makamu wake wawili
Mandela alishaeleza toka awali kuwa atagombea kipindi kimoja tu na ndivyo alivyofanya na baadaye kumwachia Thabo Mbeki kama Rais wa Afrika ya Kusini. Baada ya kustaafu siasa Mandela aliamua kujishughulisha na program mbalimbali za ndani ya Afrika ya Kusini na kutembelea baadhi ya nchi. Hata hivyo udhaifu wa mwili uliotokana na magonjwa na uzee ulimzidia na kumfanya apunguze safari za nje. Kwa mara ya mwisho alionekana katika shughuli za hadhara katika mashindano ya Kombe la Dunia mwaka 2010 ambayo yalifanyika Nchini Afrika ya Kusini.
Mandela na Tanzania
Tanzania kama nchi imehusika kwa kiasi kikubwa sana katika kuuvunja vunja utawala wa kikaburu na katiak kuongoza harakati za kutaka Mandela aachiliwe huru. Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na utawala wake mara baada ya Uhuru 1961 aliazimia kutoa msaada wote unaohitajika kwa wapigania uhuru wa Afrika ya Kusini. Kama ilivyodokezwa hapo juu kuwa mojawapo ya mashtaka dhidi ya Mandela ni lile la kwenda nje ya Afrika ya Kusini bila kibali. Mwaka 1962 Mandela akitumia njia za panya alitoroka Afrika ya Kusini na hatimaye kuingia Tanganyika na kukutana na Mwalimu Nyerere ambaye aliwapa ahadi ya ushirikiano mkubwa. Mandela mwenyewe akizungumza katika dhifa aliyomwandaliwa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere mwaka 1997 Oktoba 17; alisema “Inanyenyekesha kukumbuka mchango wa Mwalimu Nyerere katika ukombozi wa bara letu na Uhuru wa Afrika ya Kusini”.
Aliendelea na kumsifia Nyerere kwa kusema kuwa wakati watu wengine walikuja baadaye kuona ubaya wa utawala kikaburu Nyerere aliliona hili mwaka 1959 ambapo akishirikiana na Fr. Huddleston walianzisha harakati za kupinga ubaguzi wa rangi (anti-apartheid movement) ambao zilikuja kuwa maarufu sana baadaye – hasa baada ya kesi ya Rivonia. Mandela alisema kukutana na Mwalimu mwaka 1962 kulimuonesha jinsi Nyerere alivyokuwa anataka haki sehemu zote duniani na jinsi alivyojitoa yeye na taifa lake changa kuona kuwa Afrika yote inakuwa huru.
Wanaharakati – wakisherehekea miaka 80 ya Askofu Trevol Huddleston, Nyerere, Askofu Mkuu Desmond Tutu na aliyekuwa Katibu wa Jumuiya ya Madola Shirdath Ramphal.
Katika kuonesha hili Mandela alichagua Tanzania miongoni mwa nchi za kwanza kutembelea mara baada ya kuachiliwa huru mwaka 1990. Aliingia nchini Machi 7, 1990 na kupokelewa na maelfu ya watu wakiongozwa na baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere pamoja na Rais Ali Hassan Mwinyi. Wakati anatembelea nchini kama mtu huru Tanzania ilikuwa na wapiganaji karibu 10,000 wa Afrika ya Kusini waliokuwa wanaishi Tanzania na kujihusisha na mambo mbalimbali. Ikumbukwe ANC ilifungua ofisi yake ya kwanza nje ya Afrika ya Kusini Jijini Dar-es-Saalam mwaka 1961 na hii ilichangia baadaye pia kwa ofisi za vyama vingine vya ukombozi kuchagua Dar kama makao yao makuu.
Yote haya yalisaidia kuifanya Tanzania kuwa makao makuu ya Kamati ya Ukombozi ya Nchi Zilizo Mstari wa Mbele ambayo kwa muda mrefu iliongozwa na Brig. Hashim Mbita. Uhusiano huu wa karibu wa Tanzania na Wapigania Uhuru ulithibitika zaidi baada ya Tanzania kuwapatia wapigania uhuru hao maeneo ya mafunzo ya kijeshi na taaluma mbalimbali huko Morogoro eneo la Mazimbu na maeneo mengine Mtwara na sehemu nyingine nchini. Pamoja na vyuo wapigania uhuru hao walipewa maeneo ya shule za msingi na sekondari vile vile.
Wakufunzi wa chuo cha ANC Mazimbu Morogoro enzi hizo.
Uhusiano huu wa karibu wa Tanzania na wapigania uhuru wa Afrika ya Kusini ulionekana pia wakati wa Mkutano wa Mawaziri Wakuu wa Nchi za Jumuiya za Madola uliofanyika London, Uingereza . Katika makala yake aliyoandika kwenye gazeti la The Observer Machi 7, 1961 Nyerere aliweka msimamo wa Tanganyika mapema kabisa kuhusiana na uanachama wa Afrika ya Kusini kwenye Jumuiya hiyo (Afrika ya Kusini iliomba kuwa mwanachama na mawaziri wakuu walitakiwa kuchukua uamuzi). Katika makala hiyo Nyerere alisema mojawapo ya mistari inayokumbukwa sana kuwa “kuipigia kura Afrika Kusini ijiunge ni kutupigia kura sisi kujitoa (To vote South Africa in, is to vote us out) na inaaminikuwa kuwa hoja aliyoijenga ilichangia sana kubadili upepo na kusababisha Afrika ya Kusini kutoa ombi lake la kujiunga. Uhusiano wa karibu wa Nyerere na Mandela haukushia wakati huo tu; hata baada ya kifo cha Mwalimu alikuwa ni Nelson Mandela aliyechukua jukumu la kusaidia kuleta amani Rwanda kama Mpatanishi.
Buriani.
Mandela ametutoka baada ya maisha ambayo ametumikia nchi yake, bara lake na dunia kwa namna ambayo ameacha alama ya kudumu ya kukumbukwa. Kwa mtu ambaye utawala wa kikaburu ulimnyima haki nyingi za msingi na kumchukulia miaka ishirini na saba ya maisha yake angeweza kuwa mtu mwenye kisasi pale aliposhika madaraka kama Rais wa nchi yake. Mtu ambaye alinyanyaswa, kuteswa, na kushindwa hata kuhudhuria mazishi ya mamake kwa namna ya kawaida angekuwa ni mtu mwenye kinyongo sana.

Hata hivyo Mandela alionesha huruma na msamaha wa hali ya juu sana. Aliposhika madaraka alihakikisha kuwa watu weupe wanajihisi salama na kuondoa kabisa roho ya kulipiza kisasi hasa kwa watu weusi ambao waliumia sana mikononi mwa weupe kwa karibu miaka 400. Anapoitwa “Baba wa Taifa” la Afrika ya Kusini haitwi hivyo kirahisi. Mchango wake wa pekee kwa nchi yake unamuweka katika nafasi ya pekee kukumbukwa na vizazi vingi vijavyo. Hali hii ya msamaha iligusa hata maisha yake binafsi. Pamoja na kupata habari za mkewe Winnie Mandela kukosa uaminifu Mandela bado alihakikishia kuwa anapatiwa uwakilishi wa kutosha kujitetea kwenye kesi iliyomkabili ya utekaji na mauaji. Hata baada ya kuachana naye Mandela na mkewe mpya Graca Machel – aliyekuwa mke wa marehemu Samora Machel (Rais wa Msumbiji aliyeuawa kwa njama za makaburu) – Mandelea amekuwa na mahusiano mazuri na ya utulivu na Winnie ambaye ameshiriki vilivyo katika kumuuguza Madiba.

Dunia kwa hakika imepoteza shujaa wa haki za binadamu, nyota ya Afrika na mfano wa viongozi ambao waliweka maslahi ya watu wao mbele zaidi kuliko furaha zao binafsi na za familia zao. Wananchi wa Afrika ya Kusini wanapomlilia wanaungana na mamilioni zaidi katika bara la Afrika na Dunia ambao wanakumbuka nafasi ya Mandela katika maisha yao.

Kwa Watanzania wengi hasa waliokua miaka ya sabini na themanini harakati za kutaka Mandela afunguliwe na kukomeshwa kwa utawala wa kikaburu zilikuwa ni sehemu ya maisha yao. Hawa pia wanamshukuru Mungu kwa maisha ya Mandela na wanaungana kutoa rambirambi na pole kwa familia ya Mandela na kumwombea pumziko la amani baada ya maisha ya uchovu na kazi ngumu. Watanzania wanaungana na ndugu zao wa Afrika ya Kusini katika maombolezo haya; wao wenyewe wanakumbuka vile vile jinsi walivyoondokewa na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na jinsi akili ya jumla ya Taifa ilivyoguswa lakini pia kuonekana kwa kubadilika kwa taifa kwa kutokuwepo Mwalimu. Ni wazi kuwa hata Afrika ya Kusini nayo itapita huku ambapo ile Dhamira ya Taifa (Consciousness of a Nation) yaani Mandela atakuwa hayupo. Njia pekee ya kuhakikisha kuwa Afrika ya Kusini inazidi kujijenga katika maisha ya kisasa na kuinua watu wake kuelekea maendeleo ni lazima kukumbuka umoja na udugu ambao Mandela alipigania.
MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALA PEMA PEPONI

KUVUNJIKA KWA NDOA YA THEA, USHIRIKINA WATAJWA

$
0
0
SIKU chache baada ya ndoa ya mastaa wawili wa filamu Bongo, Salome Ndumbagwe Misayo ‘Thea’ na Michael Sangu ‘Mike’ kuvunjika, imedaiwa mambo ya kishirikina yanahusika kwani mauzauza yalianza siku nyingi zilizopita.
Thea na Mike siku ya ndoa yao.
Mtu wa karibu wa mastaa hao aliyeomba jina lake liwekwe kapuni alidai kuwa mara kadhaa wasanii hao wamekuwa wakikumbwa na mambo ya ajabu yaliyoashiria kuwa ndoa yao haina uhai.
“Unajua kwa nyakati tofauti pete za ndoa za Thea na Mike ziliwahi kuwatoka kiajabu vidoleni wakiwa chooni. Haikuwa jambo la kawaida na wenyewe walishituka na kukosa amani,” alisema mtoa habari huyo.

Hata hivyo, wahusika wamekuwa wakiamini kuvunjika kwa ndoa yao ni mipango ya Mungu licha ya Mike kuhisi kuwepo kwa nguvu za giza katika kuachana kwao.

“Mimi naamini kila linalotokea ni mipango ya Mungu lakini katika hili mmh, napata mashaka,” alisema Mike.
 
Naye The alisema: Mungu hakupanga tu tuendelee kuwa kwenye ndoa, kwa hiyo limetokea na maisha yanaendelea.”

MTOTO: NIMECHOKA KUBAKWA NA BABA TUKIO LA ARUSHA

$
0
0
Stori: JOSEPH NGILISHO, Arusha
AMA kweli dunia sasa inaserereka! Katika hali ya kusikitisha, baba mzazi mwenye familia ya watoto watatu, mkazi wa Kambi ya Fisi jijini hapa, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumbaka binti yake wa kumzaa hadi mtoto akafungua kinywa na kusema: “Nimechoka kubakwa na baba.”
 Mtoto awekwa kinyumba na baba yake.
Tukio hilo lililobumburuka hivi karibuni limewaacha watu vinywa wazi kwa sababu mtoto huyo ana umri wa miaka minane na kwamba alianza kufanyiwa ukatili huo mwaka jana akiwa na umri wa miaka saba alipokuwa darasa la pili katika shule moja ya msingi jijini hapa (jina tunalo).

AFUMWA LAIVU!
Inadaiwa kwamba mtuhumiwa huyo aliyetajwa kwa jina moja la Pelejai (34) ambaye ni mfanyabiashara wa mkaa, amemwingilia mwanaye huyo kwa mwaka mmoja.
Taarifa zinasema, mwaka jana baba huyo aliwahi kufumwa laivu na mkewe akimtendea ubaya huo binti yake huyo.
Hata hivyo, inasemekana kuwa baada ya kunaswa chumbani kwake na mtoto, alimuomba msamaha mkewe ambaye alimsamehe kwa sharti la kutorudia tena kufanya tendo hilo la aibu na jambo hilo likawa siri kati yao.
Akizungumza kwa uchungu na gazeti hili akiwa katika Hospitali ya Mkoa ya Mount Meru anakopatiwa matibabu, mtoto huyo alisema chanzo cha baba yake kumbaka ni baada ya mzazi huyo kugombana na mama yake ambaye aliondoka nyumbani na kwenda kwao.
                                     Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba.
MARA YA KWANZA
Alisema mara ya kwanza kuingiliwa na baba yake alisikia maumivu makali mno huku akitokwa na damu nyingi.
Alieleza kuwa alijaribu kulia na kupiga kelele usiku huo lakini baba yake alimziba mdomo ili asitoe sauti.
Alisema alipomaliza kumfanyia ‘unyambilisi’ huo alimtishia kuwa endapo atasema popote, yeye atakamatwa na kufungwa na wao watabaki bila baba, hivyo watateseka kwa njaa.
Baada ya muda mtoto huyo alieleza kwamba baba yake huyo aliendelea kumwingilia mara kwa mara wakati kaka yake mkubwa wanayeishi naye akishindwa kusema baada ya kupewa fedha na baba yake.

MY GOD! KITANDA KIMOJA!
Alisimulia zaidi mtoto huyo alisema kwamba alikuwa akilala na baba yake kitanda kimoja kila siku kama mke na mume katika kipindi ambacho mama yake alipokwenda kijijini kwao Nduruma wilayani Arumeru kujifungua na kukaa kwa zaidi ya miezi mitatu.
“Ukweli nilichoka kubakwa na baba yangu lakini chanzo cha yote ni mama kutokuwepo nyumbani,” alisema mwanafunzi huyo.
Kwa upande wake, mama mzazi wa mtoto huyo alisema kuwa aligundua tukio la kubakwa kwa mwanaye tangu Machi mwaka huu na baada ya tukio hilo mumewe alimwomba tena msamaha kwa mara nyingine  na yeye kumsamehe.
Mama huyo alisema kwamba alilazimika kwenda nyumbani kwao baada ya ujauzito aliokuwa nao kuwa mkubwa.
Alisema baada ya kujifungua aliendelea kuishi huko hadi Novemba 28, mwaka huu alipolazimika kurejea na kichanga chake baada ya kupata taarifa za kupotea kwa mtoto wake huyo anayedaiwa kubakwa na baba yake.
Alisema aliporejea nyumbani kwake Kambi ya Fisi alimuuliza mtoto wake mkubwa iwapo baba yake alirudia tabia ya kumbaka mwanaye lakini mtoto huyo hakusema chochote.
Akiwa anatafakari sehemu alipokuwa mwanaye ndipo alipopata taarifa kwamba alikuwa kituo cha polisi alikopelekwa na walimu wake baada ya watoto wenzake kutoa taarifa kwa walimu kuwa mwanafunzi mwenzao amekuwa akibakwa na baba yake mzazi.

SHULENI
Mmoja wa walimu katika shule hiyo alithibitisha kubakwa kwa mwanafunzi huyo baada ya kumhoji na kumkagua na kugundua kwamba ameharibika sehemu nyeti na kuwa kama za mtu mzima.
                                                                                   IGP - Said Mwema.
HOSPITALINI
Mama wa mtoto huyo akisaidiwa na walimu walitoa taarifa kituo cha polisi na kupatiwa hati ya matibabu (PF-3) na kumpeleka Hospitali ya Mount Meru.
Mwalimu wa shule hiyo alisema baada ya vipimo, daktari alithibitsha kwamba mtoto huyo alibakwa na kuharibiwa sehemu zake za siri.
Baada ya taarifa hizo kulifikia jeshi la polisi, vijana wa Inspekta Said Mwema walimtia mbaroni mtuhumiwa huyo na kumfungulia kesi ya ubakaji kwa hati ya mashtaka AR/RB/16064/2013-

UBAKAJI
Uchunguzi wa tukio hilo ukikamilika, mtuhumiwa atafikishwa mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake.

INAUMA SANA!
Hivi karibuni kumeibuka vitendo vingi vya ubakaji na unyanyasaji kwa watoto, hivyo Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba na taasisi nyingine za utetezi wanaombwa kuingilia kati ili kuwanusuru watoto na ukatili huo.

FAMILIA YA MWINYI YAZUA TAFRANI

$
0
0

FAMILIA ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaji Ali Hassan Mwinyi juzikati ilizua tafrani mtaani kufuatia mzozo mkubwa wa nyumba kati ya mjukuu wa Mzee Mwinyi, Abdi Hassan Mwinyi na anayedai ni mmiliki wa kurithi, Edward Francis Bogwe.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaji Ali Hassan Mwinyi.
Tukio hilo lilijiri mwishoni mwa wiki iliyopita, Mwananyamala-Komakoma, Dar ambapo mtoto wa rais mstaafu huyo aitwaye Abas Mwinyi aliongoza sekeseke mtaani.

Ishu ilikuwa hivi; miezi kadhaa iliyopita, Edward alimfikisha Mahakama ya Ardhi chini ya Jaji Kombolwa, Abdi akimtaka ahame kwenye nyumba hiyo ambayo ni mali ya familia, aliachiwa na marehemu baba yake, Francis Bogwe.

Baada ya kusikiliza utetezi wa pande zote mbili, mahakama ikaamuru Abdi ahame kwenye nyumba hiyo kwa vile ni mali ya Francis.
 
Francis akiongozana na madalali alikwenda kumtoa Abdi na vitu vyake, ikiwemo familia na kupiga kufuli milango muhimu ya kuingilia ndani na kuondoka nyumba ikiwa tupu.
Lakini siku mbili mbele, Abas akiwa na ndugu zake wengine pamoja na askari kibao, sambamba na huyo Abdi alifika akiwa na karatasi mkononi yenye maagizo kutoka Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi ikidai kuwa, Abdi aendelee kuishi ndani ya nyumba hiyo hadi keshi ya msingi iliyofunguliwa na Abas ya kupinga kuhamishwa kwa Abdi itakaposikilizwa.
 
Kesi hiyo ilisikilizwa Desemba 2, mwaka huu kwenye mahakama hiyo jijini Dar.

Baada ya kufika kwenye geti la nyumba hiyo na kukuta watoto wa familia ya Bogwe, akiwemo dada wa Francis aitwaye Josephine Bogwe, Abas alisema: “Shida yetu fungueni mlango tuingie ndani hii ni nyumba yetu mambo mengine tutajuana mahakamani.” (huku akionesha hati kutoka Mahakama ya Ardhi).

Baada ya kauli hiyo ndipo tafrani ilipoibuka ambapo Josephine alitoa makaratasi yanayoonesha kuwa, nyumba  hiyo ni haki yao kama familia.
Josephine alimtaka Abas na ndugu zake waoneshe vielelezo vyao vinavyoonesha kuwa nyumba hiyo ni yao.
“Hapa hadi kieleweke mnataka kutudhulumu haki yetu, haiwezekani mahakama itupatie haki nyinyi mnakuja na maaskari kuamuru nyumba ifunguliwe ili muingie ndani,” alisema Josephine.
Hata hivyo, katika kesi iliyofunguliwa na Abas kwenye Mahakama Ardhi, Jaji Mziray alisema Abdi si mmiliki halali wa nyumba hiyo kwa kuwa hana nyaraka zinazoonesha aliuziwa nyumba hiyo na marehemu Francis.
Kwa upande wa Edward, Jaji Mziray alisema kwamba hakutakiwa kumuhamisha Abdi mara ya kwanza bila kupata hati ya hukumu akatakiwa kushughulikia hati hiyo kwanza.

CREDIT: GPL

NELSON MANDELA KUZIKWA DESEMBA 15, 2013 QUNU, AFRIKA KUSINI

$
0
0
Rais Jacob Zuma ametangaza kuwa mazishi ya Nelson Mandela yatafanyika siku ya Jumapili, Desemba 15 mwaka huu kijijini kwake Qunu, katika jimbo la Eastern Cape, Afrika Kusini.
 

Nelson Mandela enzi za uhai.
Rais Zuma pia ametangaza siku 5 za maombolezo kitaifa na bendera zitapeperushwa nusu mlingoti katika muda wote huo. Na ameitangaza siku ya Jumapili ya Desemba 8, 2013 kuwa siku maalumu ya kitaifa ya maombolezo na kumkumbuka Madiba nchi nzima.

Tayari msisimko wa mazishi hayo yanayotarajiwa kuwa ya kihistoria umekamata dunia nzima, ambapo tayari Rais Obama wa Marekani, mstaafu Bill Clinton na Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron ni baadhi tu ya viongozi ambao wamethibitisha kushiriki.
Sala ya mazishi imepangwa kufanyika katika Uwanja wa Taifa wa FNB Desemba 10, 2013 jijini Johanesburg.
 
Mwili wake utawekwa jengo la serikali liitwalo Union Buildings kuanzia Desemba 11 hadi 13, kwa kupewa heshima za mwisho, kabla ya kupelekwa kijijini Qunu kwa

STARS YAIVUA UBINGWA UGANDA, YATINGA NUSU FAINALI CHALENJI

$
0
0
TIMU ya Kilimanjaro Stars imefanikiwa kusonga mbele hatua ya Nusu Fainali baada ya kuwatoa Mabingwa watetezi wa Kombe hilo Uganda kwa ushindi wa changamoto ya penalti 3-2 katika michuano ya kombe la Chalenji inayoendelea jijini Nairobi, nchini Kenya lakini shujaa akiwa kipa Ivo Mapunda .
Katika mchezo huo uliopigwa katika Uwanja wa Manispaa ya mji wa Mombasa nchini Kenya, Uganda ndio waliokuwa wa kwanza kupata bao la kuongoza likifungwa na Daniel Sserunkuma katika dakika ya 16 akimalizia krosi ya Khamis Kiiza, bao ambalo halikudumu sana kabla ya Mrisho Ngassa kuisawazishia Stars kwa shuti kali 18.
 
Baada ya bao hilo Stars walikuja juu na kufanikiwa kupata bao la pili likifungwa na Ngassa kwa mpira wa adhabu uliojaa wavuni katika dakika ya 39, matokeo ambayo yalidumu mpaka mwisho wa kipindi hicho cha kwanza.
 
Kipindi cha pili Stars inayofundishwa na kocha Kim Poulsen, raia wa Denmark, ilipata pigo katikati ya kipindi hicho baada ya kiungo wake Salum Abubakar 'Sure Boy' kutolewa kwa kadi nyekundu baada ya kucheza rafu, ambapo nafasi hiyo iliwapa nguvu Uganda kupata bao la kusawazisha kupitia Martin Mpuga matokeo ambayo yalibaki hivyo mpaka mwisho wa mchezo na kuzipeleka mpaka kwenye matuta.

Katika mikwaju ya penalti Ivo alikuwa shujaa baada ya kucheza penalti mbili za Waganda ya beki  Khalis Alucho na  ile ya mwisho iliyopigwa na Sserunkuma ambayo ndiyo iliyoivusha stars.
Ifuatayo ni orodha ya waliopiga penalti katika mchezo huo.
Stars                                              Uganda
Erasto Nyoni (kosa)                     Godfrey Walusimbi (kosa)
Mbwana Samatta (kosa)             Emanuel Okwi (pata)
 Amri Kiemba (pata)                    Khalis Alucho (kosa
Athuman Idd (pata)                     Hamis Kiiza (pata)
Kelvin Yondani (pata)                  Sserunkuma (kosa)

MARAIS KUINGIA KWA KADI MAZISHI YA MANDELA

$
0
0
TISHIO la vitendo vya kigaidi vinavyotokea kwenye maeneo mbalimbali hapa duniani, vimeifanya Serikali ya Afrika Kusini, kutoa kadi kwa marais na viongozi watakaohudhuria mazishi ya baba wa taifa hilo, Nelson Mandela.

Mandela aliyefariki Desemba 5, atazikwa Desemba 15 kijijini kwake Qunu, eneo alilolichagua kabla ya mauti yake.

Kwa mujibu wa vyombo mbalimbali vya kimataifa, usalama katika miji ya Afrika Kusini, unatarajiwa kuimarishwa zaidi kuliko hata ule unaotumika kwa marais wa Marekani wanapofanya ziara kwenye mataifa mbalimbali.

Taarifa hizo zinabainisha kutokana na idadi kubwa ya watu kuhudhuria mazishi hayo, utawala wa nchi hiyo umebuni mbinu hiyo ya utoaji kadi kwa watu watakaokuwa eneo la maziko wakiamini itasaidia kuimarisha ulinzi.

Mazishi hayo yanatarajiwa kuvunja rekodi ambapo yanalinganishwa na yale ya Papa John Paul II mwaka 2005, ambayo yalihudhuriwa na wafalme watano, malkia sita wa falme mbalimbali na marais wapatao 70 na mawaziri kadhaa, wakiwamo wafuasi wake zaidi ya milioni mbili.

Ratiba ya kutoa heshma za mwisho yatangazwa
Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa jana na Serikali ya Afrika Kusini, mwili wa Mandela utawekwa katika jengo la serikali kwa muda wa siku tatu, kutoa fursa kwa wananchi kutoa heshima zao za mwisho kwa kiongozi waliyempenda.
Meya wa jiji la Cape Town, Patricia de Lille, alisema ibada ya kumuaga Mandela itafanyika Jumanne kwenye uwanja wa mpira mjini Johannesburg.

Jana maelfu ya raia wa Afrika kusini kutoka matabaka yote na rika zote walishiriki katika ibada ya pamoja ya dini mbalimbali, ambayo ilifanyika mjini Cape Town mahali ambako Mandela alitoa hotuba yake ya kwanza baada ya kuachiwa huru kutoka jela.

MKUTANO WA DK SLAA WAVUNJIKA KASULU MJINI

$
0
0

Umati wa wananchi waliokusanyika kumsikiliza Dk. Slaa siku ya jana mjini Kasulu Uwanja wa Kiganamo kabla ya mkutano kuvunjika.
Baadhi ya vijana waliokuwa na mabango wakati wa mkutano wa Dk. Slaa.
Mkutano wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willbroad Slaa uliofanyika Uwanja wa Kiganamo, Kasulu Mjini siku ya jana  umevunjika baada ya polisi kupiga mabomu ya machozi wakikabiliana na vijana waliorusha mawe kupinga mkutano usiendelee. Kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo, vijana hao wanadaiwa kuwa kati ya 10-15 ambao walirusha mawe baada ya wananchi kuwafukuza wakitaka kuwapiga wakipinga kitendo chao cha kupiga kelele ili mkutano usiendelee ndipo polisi walianza kulipua mabomu ya machozi na mkutano kuvunjika.

RIPOTI ZA CAG, KAMATI KUWANG’OA MAWAZIRI?

$
0
0
Dodoma. 
Kuna kila dalili kuwa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na zile za Kamati za Bunge zinazosimamia fedha za umma, huenda zikawang’oa baadhi ya mawaziri.
 “Tutawatumia mawaziri vivuli kuhakikisha mawaziri mizigo wanang’oka nafasi zao kwa masilahi na mustakabali wa maendeleo ya nchi yetu” – John Mnyika (kulia). PICHA | MAKTABA 

Hofu kuu inaonekana kuwakumba baadhi ya mawaziri huku waziri mmoja mwandamizi aliyezungumza na gazeti hili akisema; “Wengi wetu tumeshikwa na kihoro, hatujui nini kitatokea.”

Ni ripoti za aina hiyo zilizowasilishwa bungeni Aprili 2012, zilisababisha kuwapo shinikizo kwa Rais Jakaya Kikwete kupangua baraza lake la mawaziri, Mei 4, 2012 na kuwatupa nje mawaziri hao.

Katika panguapangua hiyo, Rais Kikwete aliwatosa mawaziri sita akiwemo Waziri wa Fedha, Mustafa Mkullo na Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko na Mbunge wa Moshi Vijijini,Dk Cyril Chami.

Wengine waliotoswa kwa shinikizo hilo la wabunge ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige, Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja na Waziri wa Uchukuzi, Omar Nundu.
Pia Naibu Waziri wa Uchukuzi wa wakati huo, Athuman Mfutakamba alitoswa sanjari na Waziri wa Afya, Dk Haji Mponda na Naibu wake, Dk Lucy Nkya.

Katika mkutano huu wa 14 unaoendelea, zipo tetesi kuwa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamejipanga kuwang’oa mawaziri kamili sita na manaibu mawaziri saba kwa kushindwa kuwajibika.

“Hizi siku nne za taarifa za kamati, inawatia kiwewe baadhi ya mawaziri na hakuna ubishi ripoti hizi zinaweza kuchochea kuwapo uamuzi mgumu,” alidokeza mmoja wa mawaziri waandamizi.
Mbunge wa Ubungo na Mkurugenzi wa Habari wa Chadema, John Mnyika, alisema pia kila waziri kivuli wa wizara ambayo imeonekana kuongozwa na waziri mzigo, amepewa maelekezo maalumu.

MANDELA, MANDELA: MAMILIONI WAMLILIA TATA MADIBA

$
0
0
Johannesburg. 
Ratiba inayoonyesha namna siku kumi za maandalizi ya mazishi ya kitaifa ya Rais wa zamani wa Afrika Kusini, marehemu Nelson Mandela atakayezikwa kijijini kwake Qunu, Eastern Cape, imetolewa.


Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma akizungumza na waandishi wa habari juzi, alisema kuwa Desemba 8 itakuwa siku ya sala na kukumbuka mambo aliyoyafanya Mandela.

“Tunawaomba watu wetu wote wakusanyike kwenye kumbi za mikutano, makanisa, misikiti, mahekalu, masinagogi na nyumba zao kwa ajili ya sala na kutafakari kuhusu maisha ya Madiba na mchango wake kwa taifa letu na dunia, “ alisema Zuma.

Kwa mujibu wa CNN, siku hiyo itatumiwa na viongozi wa kitamaduni kukutana, nyumbani kwa Mandela au chumba cha kuhifadhia maiti kwa ajili ya kufanya sherehe ya kimila ijulikanayo kama ‘kufumba macho.’

Viongozi hao watakuwa ‘wakiongea’ na Mandela na mababu zake wakiwaelezea namna mambo yalivyotokea katika kila hatua.

Inaaminika kuwa baada ya sherehe hiyo, mwili wa Mandela utahifadhiwa katika chumba cha maiti kwenye hospitali ya jeshi ya Pretoria.

Ibada rasmi ya kumwombea Mandela itafanyika Jumanne, Desemba 10 katika uwanja wa michezo wa FNB wenye uwezo wa kuchukua watu 95,000 uliopo Soweto, mahali ambapo Madiba alionekana hadharani kwa mara ya mwisho alipokwenda kuangalia Kombe la Dunia Julai 2010.

“Kuanzia tarehe 11 hadi 13 Desemba, mwili wa mpendwa wetu Madiba utapelekwa katika majengo ya Muungano, yaliyopo Pretoria, mahali ambako alifanya kazi kama rais wa kwanza katika demokrasia changa baada ya kuapishwa Mei 10, 1994,” alisema.
Mwili wa Mandela utawekwa kwa siku tatu katika majengo hayo ili watu waweze kutoa heshima za mwisho. Siku ya kwanza imetengwa kwa ajili ya watu mashuhuri pekee.

“Katika kipindi chote hicho, ibada za kumwombea zitakuwa zikiendelea kwenye majimbo na mikoa yote,” alisema.

Maelfu ya waombolezaji wanatarajiwa kujitokeza barabarani Desemba 14 kuanzia Uwanja wa Ndege wa Mithatha kushuhudia wanajeshi wakisafirisha mwili wa Mandela kuelekea Kijiji cha Qunu, mahali atakapozikwa Desemba 15.

Mwili wa Mandela ukifikishwa kijijini kwake, utakabidhiwa kwa familia yake kwa ajili ya taratibu za mazishi, ambapo bendera ya taifa itaondolewa  kwenye jeneza na kufunikwa kwa blanketi la kitamaduni la Xhosa kuashiria kurudi kwa mmojawao.

Viongozi wa ANC, machifu na familia ya Mandela wanatarajiwa kukutana usiku kwenye kikao cha faragha kabla ya kufanyika mazishi siku inayofuata.

Katibu Mkuu wa chama cha African National Congress (ANC), Gwede Mantashe alisema wanachama wa chama hicho nchi nzima watafanya ibada ya kumkumbuka Madiba wakati mwili wake utakapokuwa umelazwa kwenye majengo ya Muungano.

“Tumekubaliana kwamba si kila ibada itakuwa na mwanafamilia wa Mandela, huwezi kutegemea familia hiyo iwe katika ibada zote 54 au kuwa katika majimbo yote 9,” alisema Manteshe.
Alisema kuwa ANC yote itahamia Eastern Cape Desemba 14, kabla ya mazishi ya kitaifa na kwamba Zuma kama mwenyekiti wa chama hicho atahudhuria katika ibada yoyote ya kumkumbuka Madiba.

“Lakini hatuwezi kuzuia majukumu yake kama Rais wa Afrika Kusini.” Alisema.
Waziri katika Ofisi ya Rais, Collins Chabane alisema kuwa taarifa zaidi kuhusu tukio hilo, ikiwa ni pamoja na kuwasili kwa wageni litatangazwa baadaye.

Mandela ambaye alifariki katika nyumba yake mjini Houghton, Johannesburg, Alhamisi usiku wiki iliyopita, akiwa na umri wa miaka 95, anatarajiwa kuzikwa na maelfu ya watu wakiwamo viongozi mbalimbali wakubwa duniani.

Hoteli atakayofikia Obama yajulikana
Rais wa Marekani, Barack Obama na familia yake wanatarajia kulala katika Hoteli ya Radisson Blu iliyopo Sandton, wakatapokwenda kushiriki mazishi ya Mandela Desemba 15, imefahamika.

Itakuwa ni mara ya pili kwa Obama kufikia katika hoteli hiyo, kwani mara ya mwisho alipoitembelea nchi hiyo, alilala chumba namba 2301 katika ghorofa ya 23, wakati wasaidizi wake walichukua vyumba vyote kuanzia ghorofa ya 18 hadi 22.

Kwa mujibu wa gazeti la Independent, walinzi wa Obama wamekwishaondoa mapambo mbalimbali kwenye hoteli hiyo, zikiwamo picha za ukutani, mazulia, vifaa vya vyooni na bafuni.
 
“Pia wamebadilisha vifaa vyetu vya kuzuia risasi zilivyokuwa madirishani,  wameweka vya kwao,” alisema mfanyakazi ambaye hakutaka kutajwa jina.
 
Polisi kadhaa na mbwa wanatarajiwa kwenda kufanya uchunguzi kwenye jengo hilo.

Ulinzi waimarishwa
Polisi jijini Pretoria jana walilazimika kuimarisha ulinzi kwenye majengo ya Muungano baada ya mamia ya waombolezaji kuvamia eneo hilo wakitaka kutoa salamu zao za mwisho kwa Mandela.

Kikosi cha polisi kililazimika kufunga barabara mbili zinazoingia kwenye majengo hayo ya serikali na kufanya ukaguzi kwenye magari yote yaliyokuwa yameegeshwa eneo hilo.
Waombolezaji waliokuwa wameacha maua na kadi za kumkumbuka Mandela, walizuiwa kuingia ndani ya majengo hayo. Kadi moja ilikuwa imeandikwa na Reitumetse Poo: “Mtu ambaye kila mmoja alimwangalia, mtu mtulivu siku zote, alituweka huru kwa kila kitu.”
Milioni nane wamlilia mitandaoni
Wakati huo huo, mwandishi wetu Elizabeth Edward anaripoti toka Dar es Salaam kuwa msiba wa Rais wa kwanza wa Afrika Kusini umeonekana kugusa siyo tu Waafrika bali watu wa mataifa mbalimbali  ulimwenguni.
Hilo limethibitishwa na maoni ambayo yamekuwa yakitolewa katika mitandao ya kijamii kuhusiana na msiba huo ulionekana kutikisa dunia.

Mpaka kufikia jana mtandao wa Twitter ulikuwa na maoni zaidi ya milioni nane yakiwa na neno ‘Mandela’ hiyo ikijumuisha salamu za rambirambi na kueleza namna ambavyo walimfahamu Mandela.

Uchunguzi uliofanywa na gazeti la Daily Dispatch la Afrika Kusini, ulibaini tangu kutangazwa kwa taarifa za msiba maoni zaidi 185,000  kwa saa yamekuwa yakitumwa katika mitandao ya kijamii.

Maoni hayo pia yalionekana kwenye  mitandao mingine ya kijamii kama vile Facebook na Instragram katika  lugha mbalimbali kulingana na lugha anayoifahamu  mtumaji.
Mtaalamu wa masuala ya mtandao nchini Afrika Kusini, Gus Silber alisema kuwa taarifa kuhusiana na kifo cha Mandela zimeonekana kutawala zaidi kwenye mtandao kuliko ilivyowahi kutokea kwa matukio mengine.

“Maoni yamekuwa mengi mno sidhani hata kama kuna uchaguzi wa Marekani ambao umewahi kuteka hisia za watu na kutawala katika mitandao ya kijamii kama msiba huu,” alisema Silber na kuongeza:
 “Nadhani baada ya Kombe la Dunia la mwaka 2010 hakujawahi kutokea tukio lingine lililotawala katika mitandao ya kijamii kama msiba wa Madiba.”
Kwa mujibu wa Silber maoni mengi yamekuwa yakizungumzia sifa za shujaa huyo wa Afrika aliyesimama kidete kusaka uhuru wa Afrika Kusini na kupinga utawala wa kibaguzi barani Afrika.
Hoteli Afrika Kusini zajaa
Wakati Afrika Kusini ikifanya maandalizi kwa ajili ya mazishi ya Rais wa zamani wa nchi hiyo, Nelson Mandela, hoteli zote katika Jimbo la Gauteng zimeshajaa, imefahamika.

Akizungumza na vyombo vya habari nchini humo jana, Meneja Mkuu wa Corporate Traveller, Eric Sakawsky, alisema kuwa hatua hiyo imetokana na idadi kubwa ya viongozi kutoka sehemu mbalimbali duniani kutaka kuhudhuria msiba wa Mandela.
Sakawsky alisema kuwa: “Kutokana na hali hiyo, kutakuwa na upungufu wa sehemu za malazi Johannesburg na Pretoria.

“Tumepewa taarifa kwamba kutokana na shughuli mbalimbali za Serikali na kidiplomasia, hoteli zote katika Mji wa Gauteng zitashikiliwa kuanzia Desemba 6 hadi 25.”
Aliongeza kuwa kampuni zote za magari ya kukodisha katika mji huo, pia hazitaruhusiwa kutumika kwa watu wengine.
Hata hivyo, alisema kuwa uamuzi huo hautawaathiri wateja ambao walikuwa wameshatoa oda zao au kulipia vyumba kabla ya tangazo hilo.
Vigogo watarajiwa Qunu
Rais wa Marekani, Barack Obama na mkewe, Michelle ni miongoni mwa viongozi wakubwa wanaotarajiwa kwenda Afrika Kusini ‘kumpumzisha’ Madiba.
 
Katika safari yake, Obama anatarajiwa kuambatana na marais wa zamani wa Marekani, George W Bush, Bill Clinton, ambaye alikuwa madarakani wakati Mandela akiapishwa kuwa Rais. Viongozi hao wataambatana na familia zao.

Katibu wa Idara ya Habari Ikulu ya Marekani, Jay Carney alisema Obama atahudhuria kwenye ibada ya kumkumbuka Mandela, lakini hakuwa tayari kutoa taarifa zaidi.
Vyombo vya habari vya Brazil vimesema kuwa Rais wa nchi hiyo, Dilma Rousseff anatarajiwa kwenda Afrika Kusini kutoa salamu zake za mwisho kwa Mandela.
CREDIT MWANANCHI JUMAPILI
Viewing all 12768 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>