Quantcast
Channel: Rogers Linky - Sports Home
Viewing all 12768 articles
Browse latest View live

JUAN MATA AMETAMBULISHWA RASMI SIKU YA JANA

$
0
0
JUAN Mata ametambulishwa rasmi siku ya jana kama mchezaji mpya wa Manchester United na kukabidhiwa jezi namba 8 na kusema ana kiu kubwa ya kucheza sambamba na Wayne Rooney.
 Awali mchezaji huyo wa Hispania alitarajiwa kupewa jezi namba 7 kufuata nyayo za Cristiano Ronaldo, David Beckham, George Best na Eric Cantona lakini kiungo huyo akachagua jezi namba 8 iliyokuwa ikivaliwa na Anderson ambaye kwa sasa anacheza kwa mkopo Fiorentina ya Italia.

Akimzunguzia Rooney Mata alisema mshambuliaji huyo ni moja ya sababu iliyomfanya avutike kujiunga na Manchester United.

“Nashindwa kuwa na subira, nina kiu kubwa ya kucheza naye. Ni mmoja wa wachezaji bora kabisa katika historia ya nchi hii – anaweza kuvunga, anaweza kupika magoli pamoja na kusaidia eneo la kiungo na kupoka mipira.

“Si mchezaji wa kawaida. Nitajitahidi kutafuta nafasi na kuwasaidia washambuliaji,” alisema Mata.
Akizungumzia jezi namba saba, Mata alisema anajua ni jezi yenye historia kubwa katika klabu, lakini ameamua kuchagua namba nane.
Mata amesema kitendo cha yeye kuchukuliwa kama mwokozi au msaada wa kurejesha uhai wa

Manchester United haumpi presha na kwamba hiyo ni kama changamoto kwake ya kufanya vizuri.
Akaongeza kuwa Manchster United ni klabu yenye historia ya kupenya kutoka katika nyakati ngumu hadi kwenda kushinda mataji.
Credit: Saluti 5

KANUNI 10 AMBAZO UKIZIFUATA, MAFANIKIO YATAONEKANA

$
0
0
Ndugu wasomaji, kutokana na tatizo sugu la ajira linalosababisha watu wengi, hususan vijana kujikuta katika lindi la umaskini, tumeona ni jambo la busara kuanzisha safu hii, ambayo inaweza kuwasaidia baadhi ya watu kupata mwanga wa mafanikio katika maisha kwa kufanya shughuli mbalimbali za kujiajiri.
Kwa kuanzia, tunaanza kuwaletea kanuni 10 ambazo kama zitafuatwa kwa umakini na usahihi, upo uwezekano mkubwa kwa mtu kufanikiwa katika harakati zake za kusaka maisha.

1. JIAMINI

Watu wengi duniani ni maskini sababu hawajiamini, wamepoteza nguvu na uwezo wa kupambana na changamoto za maisha sababu walivunjwa mioyo na watu waliowaita wajinga na wasioweza kitu! Kama unataka kufanikiwa, kamwe usiache mtu yeyote akuvunje moyo, siku zote amini wewe ni kiumbe cha kipekee na chenye uwezo wa kubadili maisha yako.
Ukifanya hivi kila siku utaifanya akili yako iwe na uwezo wa kuziona fursa ambazo hutaziona kama hujiamini, kutojiamini kutakufanya kipofu wa fursa!
Mimi Eric Shigongo, nilipuuzwa na kudharauliwa sana kwa sababu mimi na familia yangu tulikuwa maskini, matokeo ya kupuuzwa huko, nilijipuuza pia kama watu walivyosema, hii ilinifanya nisifaulu masomo yangu.
Baadaye nilikutana na mtu aliyenifanya nijiamini, tangu hapo nilianza kuona milango mingi ya mafanikio, nikajua kumbe bila kujiamini huwezi kuziona fursa, hivyo msomaji unapaswa kujiamini!
 
2. TAFUTA TATIZO ULISHUGHULIKIE

Watu wengi duniani hubaki kulalamika kila siku juu ya matatizo yanayowazunguka bila kuelewa kuwa matatizo hayo ni fursa za kutajirika kama yatashughulikiwa. Mtu mmoja alikwenda mahali ambako watu walilalamika sana kuhusu kuugua malaria, yeye akagundua malaria husababishwa na kuumwa na mbu, alichokifanya ni kuwaleta vyandarua, ugonjwa wa malaria ukaisha sababu watu hawakuumwa na mbu tena.
 
Lakini alipowapa watu vyandarua wao walimpa fedha kama malipo, akatengeneza utajiri.
Matajiri duniani ni wale wanaotafuta matatizo na kuyafanya fursa, Bill Gates aliona watu wanateseka kuchapa kwa Typewritter akawaleta kompyuta, leo hii ni bilionea.
Wewe pia unaweza kuwa bilionea kama utatafuta tatizo na kulitafutia ufumbuzi, ufumbuzi huo ndiyo uwe ndoto yako, ubunifu wa kitu cha lazima kama unataka kufanikiwa maishani  mwako.

3. LAZIMA UWE NA MPANGO

Ukishapata ndoto au kitu unachotaka kukifikia maishani, ni lazima uwe na mpango, jiulize nitafikaje pale? Huwezi kuingia kwenye safari ya maisha bila kujua unakotaka kwenda!
Hata kama upo shuleni, huwezi kila siku kuwa unakwenda shuleni bila kujua unataka kufika wapi?Kwa nani? mtu wa aina hii ni sawa na mtu anayeendesha gari lake amefumba macho, lazima atapinduka.
Hivyo maishani, tengeneza mpango wa kufikia ndoto yako, ujue utaanzia wapi na utamalizia wapi na baada ya muda gani.

4. TEKELEZA

Pamoja na kujiamini, kuwa na ndoto huwezi kufika popote kama huwezi kutekeleza mpango wako, usiwe miongoni mwa watu ambao kila siku hupanga tu lakini hawatekelezi chochote, hawa ni sawa na wanaozungusha tairi la baiskeli wakati wa kunoa kisu, huwa hawasogei mbele!
Ukitaka kufanikiwa maishani ni lazima ufanye, utende, utekeleze mawazo yako, mfano unataka kuwa daktari ni lazima uende shule, uteseke kwa kusoma wakati mwingine kukesha au unataka kuwa na mafanikio kifedha ni lazima uwe tayari kufanya kazi hata kama ni ngumu na chafu ilimradi kesho uwe tajiri. mafanikio yanawezekana tu kwa watu walio tayari kufanya siyo kuongea bila kutenda.

Itaendelea wiki ijayo.

MIKASA YA MAPENZI: SWALI NA MAJIBU

$
0
0


Nahisi ananichukulia mume wangu
Anko , mimi ni mwanamke nina mtoto na mume. Nina rafiki yangu sina imani naye kwa sababu anapenda sana kuteta na mume wangu. Nimeshawafuma mara nne, wakizungumza   kisiri nahisi anatembea naye, je, nifanyeje?KK.

Jibu: Kwanza kabisa mueleze mumeo kuwa tabia ya kuzungumza na rafiki yako wakiwa sehemu za kificho siyo nzuri. Lakini pia rafiki yako kama kweli ni wa dhati mueleze kero yako bila shaka watajirekenisha. 
Nawashwa sana sehemu nyeti
Anko , naomba msaada wako. Mimi ni msichana nimekuwa nikisumbuliwa sana na kuwashwa sehemu za siri, je huo ni ugonjwa gani? Feibe P.

Jibu: Feibe pole sana kwa matatizo ya kuwashwa sehemu nyeti. Ushauri wangu ni kwamba nenda kwenye hospitali au kituo chochote cha afya wakakupime bila shaka daktari akigundua ugonjwa wako utapewa tiba sahihi. Itakuwa ni kosa kwangu kukuambia huo ni ugonjwa gani kwani kuna maradhi mengi yanayosababisha mtu kuwashwa sehemu hizo.

CHUJI AREJESHWA KUNDINI

$
0
0
Kiungo wa ulinzi wa timu ya Young Africans Athuman Idd Athuman "Chuji" amerejeshwa kundini kuungana na wachezaji wenzake baada ya awali kuwa amesimamishwa na uongozi kutona na kitendo cha utovu wa nidhamu aliouonyesha mwishoni mwa mwaka jana.
Athuman Idd "Chuji" alisimamishwa na uongozi na Young Africans baada ya kuonyesha utovu wa nidhamu na kuamua kuondoka vyumbani kuelekea nyumbani kabla ya mchezo kumalizika kitu ambacho alikiri ni makosa mbele ya uongozi.

Uongozi wa Young Africans ulifikia kumpa barua ya kumsimamisha Chuji ambaye alikiri kufanya kosa hilo na kisha kukiri mbele na kuandika barua ya kuomba msamaha na kuahidi kutorudia tena kitendo hicho au kufanya kitendo kingine chochote cha utovu wa nidhamu.

Baada ya kuandika barua kwa uongozi kuomba msamaha, Chuji alipewa onyo kali na uongozi na kupewa kipindi cha matazamio ambapo kwa kipindi cha mwezi mmoja ameonekana kubadilika na kurejea katika nidhamu ya hali ya juu ndani na nje ya uwanja. 

Chuji ataungana na kikosi cha Young Africans keshokutwa kitakapo rejea jijini Dar es salaam tayari kwa mikikimikiki ya Ligi Kuu pamoja na mashindinao ya Klabu Bingwa Afrika ambayo yanatarajiwa kuanza mwishoni mwa wiki ijayo kwa Young Africans kuanza na timu ya Komoronize ya Visiwa vya Comoro.

LIVERPOOL INATISHA, YAWAFUMUA EVERTON 4-0

$
0
0
LIVERPOOL imefanya kufuru baada ya kuwafumua mabao 4-0 wapinzani wao, Everton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Anfileld.
Mabao ya Liverpool yamefungwa na Steven Gerrard dakika ya 21, Daniel Sturridge dakika ya 33 na 35 na Luis Suarez dakika ya 50.
Ushindi huo, unaifanya Liverpool itimize pointi 46 baada ya kucheza mechi 23 na kuendelea kukaa nafasi ya nne, nyuma ya Chelsea pointi 49, Manchester City pointi 50 na Arsenal pointi 52.
Mkali kweli: Daniel Sturridge (katikati) akishangilia baada ya kufunga mabao mawili katika mechi ya mahasimu wa Merseyside, dhidi ya Everton akiwa na Luis Suarez ambaye pia amefunga

MATA AANZA KUWALIPA MAN UNITED, WAKIUA 2-0

$
0
0
DAKIKA sita zilitosha kwa Juan Mata kuwadhihirishia Manchester United hawakukosea kumsajili, baada ya kutengeneza bao la kwanza la timu hiyo lililofungwa na Robin van Persie katika ushindi wa 2-0 dhidi ya cardiff City Uwanja wa Old Trafford usiku huu.
Katika mchezo huo wa Ligi Kuu ya England, ilibidi kocha David Moyes asuburi hadi dakika ya 59 kujihakikishia ushindi kwa bao zuri la shley Young.
Matokeo hayo yanaifanya United itimize pointi 40 baada ya kucheza mechi 23, ikibaki nafasi ya saba.
Kitu cha uhakika: Juan Mata alitoa pasi ya bao la kwanza la UnitedQuick off the mark: Robin van Persie took just six minutes to put the hosts a goal to the good after his return from injury
Furaha imerejea: Robin van Persie akipongezwa na wenzake baada ya kufunga bao la kwanza akirejea kutoka kwenye majeruhiMuch-maligned: Ashley Young made it 2-0 with a long-range shot
Ashley Young akishangilia bao lake la pili

MAKONDA: LOWASSA HAFAI KUWA RAIS WA TANZANIA WALA MWENYEKITI WA CCM!

$
0
0
Paul Makonda (UVCCM).
TAMKO LA JUMUIYA YA VIJANA KUUNGA MKONO KAZI YA SEKRETARIETI YA CHAMA CHA MAPINDUZI CHINI YA KATIBU MKUU NDUGU ABDULRAHAMAN KINANA
“..Chama Cha Siasa chochote duniani hubomoka kutokana na migongano iliyokithiri ya muda mrefu. Uzoefu wa vyama vikubwa vilivyoporomoka umeonyesha hivyo! Chama lazima kidhibiti uchu wa madaraka wa baadhi ya viongozi wake na ndani ya serikali yake...” – Dr Eginald P. Mihanjo
“..Chama cha siasa ni itikadi. Chama cha siasa ni siasa kwa maana halisi ya neno lenyewe siasa –“siasa”. Ni mahali ambapo watu wenye madhumuni mamoja yaliyoainishwa waziwazi hukutana na kuwa kitu kimoja. Chama cha siasa sio mkusanyiko wa “majini dume yenye tamaa”, - majini ambayo yametanguliza mbele tamaa kufa na kupona-tamaa ya kutengeneza pesa au kupata vyeo kwa gharama yoyote! – Dr Bashir Ally
UTANGULIZI:
Hili ni tamko la vijana makini wa jumuiya ya umoja wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kuunga mkono juhudi na utendaji wa sekretarieti ya halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi ikiongozwa na Katibu Mkuu Komredi Abdulrahaman Kinana.
Maneno ya utangulizi yamebeba dhima ya tamko hili, kufuatia taarifa zilizoripotiwa kwenye baadhi ya vyombo vya habari vikiwanukuu baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi, wakiwatuhumu Viongozi wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM, Katibu Mkuu Ndugu Abdulrahaman Kinana na Katibu wa Itikadi na Uenezi Ndugu Nape Moses Nnauye.

Sisi Vijana tunatambua kuwa tuhuma hizo na maneno hayo ya hovyo yametolewa kwa nia ovu yenye kulenga kuwakatisha tamaa Viongozi hao wa Chama. Tunafahamu kuwa upo mkakati wa kiuhaini ulioandaliwa na kuratibiwa na “mtandao” ndani ya Chama ambao umejipanga kuendesha uhaini huo.

Sisi vijana wa UVCCM tunatambua na kuthamini juhudi za Katibu Mkuu na Sekretarieti yake katika kukijenga na kukiimarisha Chama kwa kuisimamia barabara misingi na shabaha ya kuundwa kwake, katika umri wetu hatukuwahi kuona Chama kikiwa karibu na wananchi kwa kufuatilia, kusikiliza na kushiriki katika utatuzi wa kero, shida na changamoto zao kama ilivyo katika kipindi hiki chini ya Comrade Kinana na timu yake. Juhudi hizi ni za kuungwa mkono na kamwe si za kubezwa na mwanaCCM muadilifu, muaminifu na mwenye mapenzi ya kweli kwa Chama.

Juhudi za kukiimarisha Chama kutoka ngazi za chini, kwa mabalozi ni mkakati bora kuwahi kutekelezwa na Chama, kukirudisha Chama kwa wanachama ni kutimiza lengo la kuundwa kwa Chama hiki, Chama hiki ni cha wanyonge, masikini wa Taifa hili, HAIWEZEKANI matajiri watake kukihodhi na waratibu mikakati ya kukihujumu kwa pesa zao hali sisi vijana tukitazama, tunasema tutakilinda Chama chetu na tutawalinda viongozi wetu waadilifu.

Ni hawa ambao wanabezwa leo ndio wameweza kurudisha Imani ya wananchi kwa Chama, Imani na matumaini ambayo tayari yalishaanza kupotea na Chama kuonekana si tena cha wanyonge, wakulima na wafanyakazi wan chi hii.

Ni Comrade Kinana na timu yake ndio waliozunguka kwenda kukutana na wakulima wa Pamba kule mikoa ya Kanda ya ziwa na kumpeleka balozi wa China na kumshawishi kujenga viwanda ili kuboresha manufaa kwa wakulima.

Ni Comrade Kinana na timu yake ndio waliokwenda Kusini kukutana na wakulima wa Korosho na kushirikiana nao pamoja na bodi kutatua tatizo la Korosho.

Ni Comrade Kinana na timu yake ndio walioibua hoja na kero za wafugaji, walimu na wananchi kwa ujumla, na kuwataka viongozi wa Serikali kuhakikisha wanawajibika kwa wananchi walipa kodi wa Taifa hili.

Kupinga mafanikio ya Ziara hizo ni kupinga utetezi wa wanyonge.

Mtu anayebeza ziara hizo na kuwaita Viongozi waliozifanya waropokaji na wahuni wahuni ni mtu mjinga, mtu wa hovyo,hana maadili, asiyekipenda Chama, mhaini na mzandiki anayepaswa kuchukuliwa hatua kali za kinidhamu ili iwe fundisho kwa wengine.

TAMKO hili limezingatia wosia wa Baba wa Taifa, muasisi wa Chama Cha Mapinduzi Mwl Julius Kambarage Nyerere katika kitabu Chake TUJISAHIHISHE.

“Inapofikia wasimamizi wa Kanuni za Chama wanapigwa vita ya wazi kwa uamuzi wao wa kukisimamia Chama, tafsir yake ni moja tu watu wanaowapiga vita hawakitakii mema chama chetu.”

Imetolewa na Paul Christian Makonda.

Katibu wa Hamasa na Chipukizi.
GLOBAL BREAKING NEWS

MASTAA WAMSENGENYA WEMA

$
0
0
MASTAA wa kike Bongo wamecharuka na kutoa yao ya moyoni baada ya nyota mwenzao, Wema Sepetu kubwagwa na aliyekuwa mpenzi wake, anayetambulika kwa jina moja la Clement na kumnyang’anya vitu alivyompa kama zawadi wakati wa mapenzi yao.
 Wema Sepetu.
Kuhusu Wema kuporwa ofisi yake ya Endless Fame Film Production, kupewa notisi ya nyumba aliyokuwa amepangiwa na kigogo huyo anayeelezwa yupo serikalini na kunyang’anywa magari siyo stori kabisa mjini.
Risasi Mchanganyiko lilifanya mahojiano na mastaa hao wikiendi iliyopita, kwa njia ya simu na kuwahoji kuhusu kitendo alichofanyiwa mwenzao ambapo walifunguka bila wasiwasi wowote.
USENGENYAJI
Wakali hao, waliopata kuzungumza na waandishi wetu kwa nyakati tofauti, baadhi wamemponda Wema kwa kutokuwa makini wakati akiwa kwenye uhusiano na kigogo huyo kwa kutaka kukabidhiwa hati za vitu alivyopewa.
Wa kwanza kuzungumza ni Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ ambaye alisema: “Mimi namshukuru Mungu kwa sababu sijapangiwa nyumba na mwanaume.  Naishi maisha yangu simpo ya furaha na amani, sipendi kuigiza maisha. Hao wasanii wanaopenda mambo makubwa wakati hawana uwezo,  nawashauri wafanye kazi, filamu zinalipa sana. Wasipende vitu vya haraka, maana siku zote vizuri huja taratibu.”
ZUWENA MOHAMED ‘SHILOLE’
“Mastaa tusijiachie sana kwa wanaume, kama ukipewa gari, upewe na kadi... tusidanganyike na tusipende kuhongwa, tutafute vya kwetu. Kama mtu anakupenda na anakusaidia kwa mapenzi mema, sawa mheshimu.”
WASTARA JUMA
“Inabidi tujitambue jamani, maana kuna watu wanatembea na mastaa makusudi ili wajulikane au kwa manufaa yao wenyewe. Tuache kuishi kwa kutegemea migongo ya wengine. Wengi hawana mapenzi ya kweli. Hata kama mmeachana, sasa kuna sababu gani ya kumnyang’anya mtu vitu ulivyompa?”
NURU NASSOR ‘NORA’
“Mimi najisikia vibaya sana... kama mtu unajiamini una kipaji, kwa nini usifanye kazi?  Mastaa tuache kujitangaza, kwa sababu tunatumika kama vyombo vya starehe tu.  Tutafute ndoa, tusitumie ustaa kufanya ufuska kwa sababu mali zinapita na mwisho wa siku tunaharibu maisha yetu.”
TAMRINA POSH ‘AMANDA’
“Utapeli ni mwingi, haya mambo ya kupewa vitu siyo vizuri kabisa, tuache.  Wanawake tuna akili fupi sana na tunajisahau tunapokuwa na wanaume wakati wenyewe wana kitu moyoni mwao, akishapata anachotaka anaanza matatizo.
“Bora nitembelee taksi au Bajaj kuliko kudhalilishwa... wanawake ni wajinga na huwa tunajidanganya kwa vitu visivyo vyetu, mwisho wa siku tunaumbuka. Tuache sifa za kijinga.”

WEMA,DIAMOND WAFUNGIWA KAZI!

$
0
0

HABARI mpya! Mama wa Miss Tanzania 2006/07, Wema Isaac Sepetu, Mariam Sepetu anadaiwa kuingia rasmi mitaani akiwasaka wapenzi, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Wema.
Wema na Diamond wakiwa katika pozi la kimahaba.
Kwa mujibu wa chanzo hicho makini, mama Wema ameamua kuchukua uamuzi huo baada ya kusikia taarifa kutoka kwa watu kwamba, Diamond amekuwa akisambaza maneno mitaani kuwa haogopi vitisho vya mwanamke huyo kufuatia hatua yake ya kumrudia binti yake.
ILIKUWAJE KWANI?
Hivi karibuni, mama Wema alizungumza na gazeti tumbo moja la hili, Ijumaa Wikienda linalotolewa na Kampuni ya Global Publishers Ltd kila siku ya Jumatatu na kusema kitendo cha Diamond kumrudia bintiye hakubaliani nacho.
Aliongeza kuwa, kufuatia hatua hiyo iko siku ataingia mtaani kumsaka Diamond na popote pale atakapomnasa, atamkata na panga.
Mama Wema, Mariam Sepetu anayewasaka wapenzi hao.
TURUDI KWA CHANZO
“Jamani si mnakumbuka juzikati mama Wema alisema atamsaka Diamond? Sasa amesikia Diamond anatangaza mitaani kwamba, hatishiki na tamko la mama mkwe wake huyo na watakapokutana watajua nani zaidi.
“Hivi ninavyosema, mama Wema ameingia mtaani kuwasaka. Lengo lake awakute wote wawili ili awaanzishie timbwili la kufa mtu.
“Tangu Ijumaa iliyopita, kila siku anatoka kwenda mitaani kuwasaka, naamini siku akiwakuta pamoja kweli itakuwa vita kubwa,” kilisema chanzo chetu.
Gari la Wema na la Diamond yakiwa yameegeshwa nyumbani kwa Wema.
KWA NINI ASIENDE NYUMBANI?
Chanzo kilipoulizwa kama kweli mama Wema amepania kuwanasa wawili hao, kwa nini asiwafuate nyumbani kwa binti yake, Kijitonyama, Dar ambako wanapika na kupakua, kilijibu:
“Ameweka mtego wake pale, bahati mbaya sana Diamond naye anaishi kwa machale. Kuna siku anakwenda kulala kuna siku haendi. Huenda na yeye (Diamond) ameweka watu wake ndani kwa Wema wa kumpelelezea kama mama Wema atakwenda au ana dalili za kwenda.”
Chanzo kikaendelea: “Siku hizi Diamond anaweza kwenda kwa Wema, akaacha gari lake na kutoka na la Wema na kurudi kwake usiku sana.”
Paparazi wa GPL akiwa nyumbani kwa Diamond.
AMANI LAWASAKA WAHUSIKA
Baada ya kuzinyaka nyeti hizo, Amani liliamua kuutafuta ukweli ambapo Jumanne iliyopita lilimsaka mama Wema kwa njia ya simu lakini iliita bila kupokelewa.
Amani lilitumia simu zake mbili kumpigia mwanamke huyo.
Baada ya dakika tano, mama huyo mwenye ‘machungu’ na mwanaume yeyote anayemchezea bintiye alituma ujumbe mfupi wa maneno (SMS) akisema: Nipo msibani tuma sms. Pia akatuma sms kwenye simu ya pili akisema: Nipo msibani, ulikuwa unasemaje?
Amani lilimtumia madai yote kuhusu yeye kuanza kuwatafuta Wema na Diamond, pia likamjulisha kwamba kama anawatafuta kweli, muda huo, wawili hao walikuwa wapo chumbani kwa Wema hawajaamka.
Hata hivyo, mama Wema hakujibu meseji yoyote kati ya hizo mbili hali iliyotafsiriwa na Amani kuwa, uchungu wa msiba ulimuondolea uwezo wa mawasiliano.
Paparazi wa GPL akiongea na mlinzi wa Wema nyumbani kwake.
NYUMBANI KWA DIAMOND
Mapaparazi wetu walitia timu nyumbani kwa Diamond, Sinza-Mori na kukutana na mtu mmoja aliyedai ni mjomba wa staa huyo ambaye alidai Diamond Platnumz alitoka asubuhi na mama yake, Sanura Kassim kwenda Tegeta, Dar.
NYUMBANI KWA WEMA
Baada ya kutoka nyumbani kwa Diamond huku wakiamini Mbongo Fleva huyo kaenda Tegeta kama alivyosema mjomba mtu, mapaparazi walikwenda nyumbani kwa Wema.
Baada ya kugonga geti kwa dakika moja, alitokea mlinzi na mambo yalikuwa kama ifuatavyo;
Paparazi: Mambo?
Mlinzi: Poa, karibu.
Paparazi: Asante, nina shida na Wema, sijui nimemkuta?
Mlinzi: Wamelala, hawawezi kuamka muda huu.
Paparazi: Wamelala? Nani na nani?
Mlinzi: Madam (Wema) na Diamond.
Diamond.
Paparazi: Ina maana Diamond yumo ndani?
Mlinzi: Si nimekwambia wamelala?
Paparazi wetu alifanikiwa kupenyeza macho kwenye nafasi ya uzio na kuyaona magari ya wote wawili, la Diamond aina ya Toyota Land Cruiser V8 na la Wema, Toyota Lexus Harrier.
Imeandikwa na Musa Mateja na Shakoor Jongo.

CHANZO NI GPL/AMANI

TASWIRA MBALIMBALI ZA OPERESHENI M4C PAMOJA DAIMA

$
0
0

Halima Mdee: Mbunge wa Kawe, Halima Mdee akiwahutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Mtibwa, katika mkutano wa Operesheni M4C Pamoja Daima, uliofanyika jana.
Mbowe na Afande Sele: Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akimtambulisha mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya, Afande Sele, wakati wa mkutano wa Operesheni M4C Pamoja Dama, uliofanyika katika Kata ya Tungi mjini Mororgoro jana.
Afande Sele: Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya, Afande Sele akiwahutubia wananchi wa Kata ya Tungi mjini Morogoro jana, katika mkutano wa hadhara wa Operesheni M4C Pamoj Daima, ambao pia ulihutubiwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe.
Mbowe, Halima wakiondoka Ifakara: Mwenyekiti wa Chama cha Demokreasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee wakiondoka baada ya kuhutubia mkutano wa Operesheni M4C Pamoja Daima, uliofanyika mjini Ifakara jana.
Mkutano Ifakara: Maelefu ya wakazi wa mji wa Ifakara, wakiwa kwenye mkutano wa hadhara wa Operesheni M4C Pamoja Daima, ambao ulihutubiwa na Mweneyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jana.
Mabango Ifakara: Baadhi ya wananchi mji wa Ifakara wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe mbalimbali, wakati wa mkutano wa Operesheni M4C Pamoja Daima, ambao ulihutubiwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe jana.

Wananchi Ifakara: Sehemu ya maedlfu ya wakazi wa mji wa Ifakara, wakitawanyika baada ya mkutano wa Operesheni M4C Pamoja Daima, ambao ulihutubiwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe jana.
(Picha na JF)

AZAM YAPANDA KILELENI LIGI KUU, YANGA YABANWA MKWAKWANI

$
0
0
AZAM FC imepanda kileleni mwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kufuatia ushindi wa bao 1-0 jioni hii dhidi ya Rhino Rangers ya Tabora, Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.

Bao pekee la Azam limefungwa na mshambuliaji kutoka Ivory Coast, Kipre Herman Tchetche dakika ya 31 kwa shuti kali baada ya kuukuta mpira uliozuiwa na mabeki wa Rhino, kufuatia shuti la ndugu yake kutoka nchi moja, Ismael Kone.
 
Azam sasa inafikisha pointi 33 na kupanda kileleni, ikiiteremsha Yanga iliyolazimishwa sare ya bila kufungana na Coastal Union Uwanja wa Mkwakwani, Tanga leo ambyo sasa inakuwa na pointi 32. 

WABUNGE WAPINGA KIINGEREZA SHULENI

$
0
0
MJADALA kuhusu lugha ya kutumia kufundishia shuleni umepamba moto, ambapo baadhi ya wabunge wamejitokeza kupinga Kiingereza kutumika kufundishia shule za msingi mpaka vyuo vikuu. Wakati wabunge hao wakiwa na msimamo huo, jana Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,

Profesa Sifuni Mchome, alisema Serikali haijafikia uamuzi wa kuruhusu Kiingereza kutumkika kuanzia shule za msingi, na hivi sasa inashughulikia changamoto kubwa zaidi.

“Haya yote yanaweza kutatuliwa iwapo sekta hii tutaibadili na kuwa ya kisasa zaidi, katika eneo la vitabu kila mwanafunzi akiwa na kompyuta yake ni rahisi kitabu kuwekwa kwenye CD na wanafunzi wote wakakisoma kupitia kompyuta zao,” alisema Profesa Mchome alipozungumza na gazeti hili.

Watetezi wa Kiswahili Mbunge wa Kibiti, Abdul Malombwa akizungumza jana katika ofisi ndogo za Bunge alipinga matumizi ya Kiingereza badala ya Kiswahili shuleni na kusisitiza kuwa kitendo hicho si tu kitaua Kiswahili bali pia kitaondoa uwezo wa mwanafunzi kuelewa.

“Kwenye ripoti yetu tumeweka wazi kuhusu hili, tunataka lugha ya Kiswahili itumike kufundishia hadi vyuoni, na tumetoa mapendekezo yetu ya namna ya kutekeleza mfumo huu, ikiwamo kuboresha Kiswahili chenyewe ili kiendane na masomo,” alisema Malombwa ambaye pia ni mjumbe wa Jukwaa la Taasisi na Mamlaka za Udhibiti wa Ubora wa Elimu nchini.

Aliongeza kuwa walipendekeza kila mkoa angalau uwe na shule moja ya sekondari ambayo itafanya majaribio ya kufundisha kwa Kiswahili masomo yote na kuona kama itafaa au la.

Mbunge wa Mgogoni, Kombo Khamis Kombo, alisema anasikitishwa na namna Kiswahili kinavyonyimwa kipaumbele katika elimu, kiasi cha nchi jirani ya Kenya kubeba sifa ya ujuzi wa lugha hiyo kimataifa.

“Hii ni lugha yetu lazima tuipe kipaumbele tuijenge, lakini leo nashangaa eti Wakenya ndio wanaonekana wanaijua vizuri na wanapewa kazi za kufundisha mataifa mengine, hatukubali hili lazima libadilike,” alisisitiza.

Mchome “Jukwaa la Taasisi na Mamlaka za Udhibiti wa Ubora wa Elimu nchini limetoa maoni yake kwa Waziri Mkuu juu ya suala hili la matumizi ya lugha ya Kiswahili shuleni, tunasubiri kwanza tuone namna ya kufanya,” alisema Profesa Mchome.

Aliongeza kuwa Serikali inatambua changamoto zote zinazoikabili sekta ya elimu na ndiyo maana ina mikakati ya kuboresha sekta hiyo, ili kukabiliana na changamoto zilizopo. Alisema kwa sasa moja ya changamoto katika sekta hiyo ni pamoja na uhaba wa walimu na vifaa.

Alifafanua kuwa tayari katika nchi zilizoendelea, sekta ya elimu imekua, kiasi cha matatizo kama walimu kuwa historia kwani mwalimu mmoja haijalishi yuko wapi, anaweza kufundisha darasa kokote aliko kwa kutumia mitandao inayomwezesha kuonana ana kwa ana na wanafunzi kupitia kompyuta kubwa.

Kwa muda mrefu tangu uhuru, shule zote za msingi za Serikali zilikuwa zikitumia Kiswahili kufundishia masomo yote isipokuwa somo la Kiingereza.

Baada ya kumaliza shule ya msingi, mwanafunzi akiingia sekondari alikuwa akibadilisha mfumo ghafla na kuanza kufundishwa masomo yote kwa Kiingereza isipokuwa somo la Kiswahili.
Shule za msingi za Serikali ambazo zilikuwa zikitumia Kiingereza kufundisha masomo yote ni shule za msingi za Olympio na Diamond za Dar es Salaam na ya Arusha, jijini Arusha.

Lakini mwaka huu tayari shule ya Oysterbay ya Dar es Salaam, imeanza mchakato wa kuhama kutoka Kiswahili kufundishia masomo yote na Kiingereza kuwa somo la kawaida, mpaka kufundisha masomo yote kwa Kiingereza na Kiswahili kuwa somo la kawaida.

Mbali na shule hiyo, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda, alisema zipo shule zingine Kinondoni, zimeshapeleka maombi kutaka kuhamia mfumo wa kufundisha masomo yote kwa Kiingereza.
CHANZO HABARI LEO

MO plans to build a USD 5 billion empire out of Dar‏

$
0
0

At the age of 38, Mohammed Dewji employs 24,000 people and claims to contribute 3.5% to Tanzania's GDP. Within the next 5 years, he plans to build a $5 billion empire out of Dar es Salaam.
by Kristin Palitza
What most entrepreneurs don’t achieve in a lifetime, he did in just over a decade. Mohammed Dewji single-handedly turned his father’s trading business into Tanzania’s largest import-export group. He grew Mohammed Enterprises Tanzania (MeTL) 30-fold and increased revenues from $30 million to $1.1 billion by diversifying into a multitude of sectors, including manufacturing, distribution, logistics, financial services, real estate, cement, energy and mobile telephony.
It’s not surprising that many people have a hard time imagining the humble beginnings Dewji comes from. His family, which stems from Gujarat state in western India and was blown in the proverbial dhow across the Indian Ocean, started out with very little. His grandmother opened a small trading shop, which she runs out of their home in Singida, a poverty-stricken town in central Tanzania. In this simple house, built from sand and mud, Dewji was born with the help of a traditional midwife.
“That wasn’t very smart. My mother and I almost died because I had the umbilical cord wrapped around my neck,” he recalls. But from then on, his fortunes changed.
His father, Gulam Dewji, who had by the mid-70s turned his mother’s shop into a flourishing import-export business, was able to sent his six children to good schools, first in Tanzania’s third-largest city Arusha and later in capital Dar es Salam. In their free time, Dewji and his siblings played tennis and golf.
“My father spent a lot of money educating us. He also believed sport creates discipline. He didn’t want us to just play a sport for fun. He wanted us to push ourselves. We probably have a thousand trophies at home that we won,” he says.
Until this day, there is almost nothing Dewji undertakes purely as a hobby. He either aims for success, or he doesn’t bother with it. And so he ploughs millions of Dollars into Tanzania’s national soccer team, the Taifa Stars instead of being content watching the odd game or kicking around a ball on a Sunday.
“I have no moderation. My wife always complains. She says, ‘Mohammed, why don’t you do things in the middle?’ It’s either very much or nothing at all,” he laughs.
His favorite sport has always been golf. Dewji spent many afternoons on Dar es Salaam’s golf course, not only because he was good it – he had 3 handicap – but also because he realized from early on that many high-profile business deals are concluded on the world’s 18-hole-lawns.
“I already liked to network as a very young guy. I was told that the golf course is a good place to meet important people. So I started playing golf. At one time, I even wanted to become a golf professional,” he says.
When his father saw that his son showed potential, he enrolled him at the legendary Arnold Palmer Golf Academy in Orlando, Florida, where Dewji also attended Saddlebrook High School. A few years later, when it became clear that Dewji wasn’t going to make the cut as a professional golfer, he decided to study international business and finance with a minor in theology at Georgetown University, an elite tertiary institution in Washington D.C., which has a long list of notable alumni, including former US president Bill Clinton, former Philippines president Gloria Arroyo and Jordan's King Abdullah.
During his time at Georgetown, Dewji learned what he says were key lessons in leadership. “Georgetown really molded me. It took me a step forward. I understood that you need to be dreaming, but not daydreaming. You need to try to dream a reality. Then you have vision,” he explains.
Pietra Rivoli, deputy dean of Georgetown University’s school of business, who taught Dewji in international finance, remembers him as a student whose energy was boundless and whose positive enthusiasm was contagious.
“While other students tried to stay awake through discussions of exchange rates, Mohammed would stay after class to talk about how the readings might pertain to the Tanzanian Schilling, and how Tanzania could address its economic challenges. Even at the age of 20 or so, he was thinking about how to improve life in his country,” she remembers.
Dewji never questioned if he should return to Africa after his graduation in 1998. He joined his father’s business, which had by then become a million Dollar trade and transport group, as chief financial controller. Five years later, at the age of 29, he was promoted to managing director, expanding his father’s business hard and fast. “I went into manufacturing and value-addition. I built a distribution system and created branches,” he says.
Today, MeTL Group is buying and selling more than 200 commodities in east, central and southern Africa, from sugar to rice, salt, fertilizer, second-hand clothing, motorcycles, bubblegum, yeast and ballpoint pens. The group also distributes 50 of its own brands, taking advantage of the fact that Tanzania borders on eight countries and is thereby an ideal import-export gateway.
“The goods that I am mainly dealing in are FMCGs [fast moving consumable goods]. It’s goods that touch people’s lives, that are needed by the common man,” he says.
The distribution of FMCGs is not an easy task in a vast country like Tanzania, which measures a million square kilometers and where 80% of the population lives in remote, rural areas. But with more than a hundred trade outlets countrywide, MeTL Group has managed to undercut multi-national consumer goods giants like Unilever and drive them out of the east African nation.
“I have a big basket of goods. I have warehousing and logistics. I have over a thousand trucks. It’s all complimenting each other. It’s very difficult for people to come from the outside and compete with me,” Dewji explains.
He invests in whatever sector he sees opportunity and growth potential. Or to say it differently: the only two industries Dewji is not involved in are beer and tobacco.
Agriculture is another key sector for MeTL Group, which with a workforce of 24,000 people is also the country’s biggest employer, and with 50,000 hectares of arable land, the largest private landowner. Dewji’s sisal farms, tea gardens and cashew fields are the drivers of his FMCG export business. A good 99% of the cashew kernels he produces, for example, are shipped to the United States.
Always thinking two steps ahead, Dewji has been making plans for how to profit most from his land, while helping to solve the challenges of Dar es Salaam’s rapid urbanization, a city of 4.4 million people. He is busy turning a 17,000 acre plot he bought cheaply several years ago, just 25 kilometers outside of the capital, into a dry-port with an internal container depot and a railway connection that will feed into Dar es Salaam’s massive, natural harbor, which is slowly but surely running out of space. It will, of course, also generate huge profits.
Since MeTL Group already contributes 3.5% of Tanzania’s GDP, it is fast outgrowing national boundaries.
“If you compare, for example, Tata and the MeTL Group, we are like Mickey Mouse. But if you look at their contribution to India, vis-à-vis my contribution to Tanzania, mine is bigger. You end up competing with everybody in your own country, and I don’t think that’s healthy. It’s a risk area. It’s a good time for us to replicate what we are doing in Tanzania in other countries,” he explains his expansion plans.
A workaholic at heart, Dewji never thinks small. “Slowly, slowly, I am planning to take on the whole continent. I am very bullish,” he says about himself. His five-year-plan is to turn MeTL Group into a $5 billion empire.
“We have to constantly revisit our visions, because we are outgrowing them so quickly. Who would have thought we could turn our business from $30 million to $1.1 billion in only 12 years? I believe that by 2018, we will be a $5bn business. Easy. It’s a no-brainer. If you look at the business we are in and the growth potential that there is, it’s amazing. My philosophy as a businessman is not to be satisfied with what I have got, but to always work harder to achieve more,” he says.
It’s been quite some years now that MeTL Group, under Dewji’s helm, has expanded so drastically that it has outgrown the loan potential of Tanzania’s banks. Dewji has found a solution to this problem, too. He goes to one of the continent’s powerhouses, South Africa, to finance new ventures. Most recently, he secured a $100 million syndicated loan through a grouping of banks.
“If I think of a top African businessman, Mohammed comes to mind. He works very long hours, is always on the move, has an eye for opportunity and a very good business sense. He is levelheaded and pays extremely close attention to detail,” says Helmut Engelbrecht, head of Investment banking in Africa at Standard Bank, one of the financial institutions that has been working closely with MeTL Group.
Whatever venture Dewji pursues links closely into his country’s national policy framework. When Tanzania’s government launched a national strategy for economic growth and poverty reduction in 2005 that was geared, among other things, towards boosting entrepreneurship to achieve value addition and employment creation, Dewji immediately saw opportunity.
“I bought a lot of sick industries, including soap production, grain milling, rice and sugar blending. I also went into the edible oil business and the textile industry,” he says.
He first expanded MeTL Group’s edible oil refining capacity from 60 to 600 tons. This year, Dewji almost quadrupled the business when he purchased an additional 1,650-ton refinery, increasing his total output to 2,250 tons of edible oil. It comes as little surprise that he has caught the attention of some of Africa’s wealthiest investors.
“I am being approached by many big boys, by multi-national companies that want to partner with me or buy me out. But I am not ready to sell yet. I can see so much more opportunity for growth. I don’t want to be paid based on what I am earning today, because I can see the tremendous potential. I am always looking five, ten years ahead,” he explains.
Another ailing sector Dewji rescued is Tanzania’s textile industry. Knowing that the east African nation is the continent’s third largest cotton producer, he decided to buy and refurbish four run-down mills, three in Tanzania and one in Mozambique. His next step will be to move into Zambia and Malawi, he says, considering Ethiopia as a potential fifth standpoint.
“We were quite lucky. Tanzania’s previous, socialist government had invested hundreds of millions of Dollars in infrastructure to build textile mills. But under socialism everything collapsed. So we were able to acquire these industries very cheaply. Obviously the machinery was all run-down, the technology obsolete. We had to rehabilitate the mills by investing in top European and American machinery,” says Dewji.
He has turned MeTL Group into sub-Sahara Africa’s largest textile player, integrating the entire value-addition chain from ginning to spinning, weaving, processing and printing.
“This year, we are going to produce more than a hundred million meters of cloth. That is more than 2,500 times the circumference of the earth,” Dewji says with pride.
Due to his entrepreneurial vigor, Tanzania is able to compete with the world’s largest and cheapest textile producer, China – at least within its own borders where government policies, including import tariffs on textiles and a standard value added tax (VAT) of 18% help protect the industry.
“Today, overall textile production is cheaper in Tanzania than in China. Labor is competitive in terms of pricing. Tanzania’s big advantage is that we have cotton, while China has to import cotton. So they cannot compete with me in my market,” Dewji explains.
His success speaks for itself. This year alone, he will earn at least $85 million after taxes, he says. But he is far too humble to take credit for the entirety of his achievement.
“People often ask me: ‘Who is smarter, you or your father?’ I ask them back: ‘Is the person who goes from zero to ten smarter, or someone who goes from ten to a thousand?’ Obviously, it’s much easier to go from ten to a thousand than to start from zero. So I believe that my father is much smarter than me,” he says.
Nothing could be further from his mind than taking it easy, or even early retirement.
“People in Tanzania look at my wealth and think I must be sunbathing and playing golf all day. But I work really hard. I put in a hundred hours a week. It’s a never stopping game. You can never say, ‘I’ve worked hard enough now’,” says Dewji, who has 60 divisional board meetings every month, or two per day.
Every morning, Dewji, who lives in with his wife, daughter and two sons in one of Dar es Salaam’s best neighborhoods, starts work at 6AM, spending the first hour responding to emails and reading commodity reports. He then runs meetings until lunch, by which time he has already put in almost seven hours of work.
“When I feel my energy levels starting to drop, I drive to the gym near my house. Every day, I run three kilometers and lift weights. I like to keep fit,” says Dewji, who is of slender built and the proud owner of a ‘six-pack’.
After gym, he goes home for lunch and to play 15 minutes with his three children before he returns to the office until late at night. The only days he takes off are Sundays, he says, when he spends time with his family and totally shuts off from work.
“Until about four years ago, I also used to work on Sundays, until my wife almost divorced me,” he jokes.
Dewji is not only growing his own empire. He is putting Tanzania on the map, making sure the east African nation – which boasts the continent’s third largest gold reserves, recently discovered uranium and gas reserves as well as a flourishing tourism industry combined with long-term political stability – will become one of sub-Sahara Africa’s big economic players, together with South Africa, Nigeria, Ghana and Kenya.
Already, Dar es Salaam is the second fastest growing African city after Lagos. And Tanzania, which boasts an average of 7% national economic growth over the past decade, has become one of the fastest growing economies in the world. According to World Bank, Tanzania’s per capita GDP more than doubled from $730 in 2000 to $1,500 in 2012.
“There’s no doubt that the country’s purchasing power is increasing,” notes Dewji, who believes the whole of sub-Saharan Africa, which currently has an overall growth rate of 4.8%, could achieve double-digit growth figures if countries are well-governed, politically stable and create conducive environments to attract investment.
As if Dewji didn’t already have enough on his plate, he is also in politics. The decision was made when he visited Singida, the town and district he grew up in, after returning from the US. As he walked the city’s streets, he encountered an old man who was scooping yellowish water out of a dirty puddle. It was his family’s only access to drinking water.
“A lot of people die from water-born diseases in rural Tanzania. But every life has the same value. So I decided to run in the next elections to change the dire situation these people live in. I was 24 years old. My parents thought I was crazy,” he remembers.
Whatever Dewji sets his mind to, he turns into a success. In 2005, he was elected as a Member of Parliament in the National Assembly of Tanzania. Five years later, he was re-elected in a landslide victory with 80% of votes. Not being a fan of ‘politicking’, Dewji, who is fluent in both English and Kiswahili, says he decided to put his own spin on the role of an MP.
“I don’t really have time for politics. I don’t go to parliament, and I don’t get involved in national politics, because I don’t want it to conflict with my business interests. All I do is serve my constituency because I believe people see hope in me,” he explains.
He puts his money where his mouth is. Every year, he donates half a million Dollars of his own money to help the people of Singida, with focus on three areas: education, health care and water. And with tangible success. In years Dewji has been representing the central Tanzanian district, access to clean water has jumped from 23% to 75%, while the number of secondary schools increased from two to 18.
“I studied theology as a minor because I feel that religion is complimenting me. It makes you strive to become a better person. I am very conscious of everything I do. If you get too engrossed in making money, you lose focus on life. Life is very short. I don’t want to die with all this money,” he explains.
Even though he makes millions, he has little interest in living a life of utter luxury, employing only a driver, a butler and private security.
“You have to live well, but you don’t have to live lavishly to the extreme. You need to be humble. I could buy a plane, a Rolls Royce or a Bentley. But I don’t. If drilling a borehole costs $20,000, you tell me to buy a watch for $20,000? To make a decision that has an impact on people’s lives is a one-second decision for me. If you get too egocentric, you lose your vision. It deceives you.”

DAVINA: KULEA KUMENIKOSESHA DILI

$
0
0
STAA wa Bongo Movie, Halima Yahaya ‘Davina’ amefunguka kuwa mwaka 2013 aliutumia zaidi kwa kulea mimba hadi kujifungua hivyo kukosa madili ya kazi za uigizaji.
Halima Yahaya ‘Davina’.
Akizungumza na paparazi wetu, Davina alisema mwaka huu amejipanga kurejea upya katika sanaa kwani amegundua kuwa mashabiki wake walikuwa wamemmisi hivyo lazima apambane kutetea taito yake katika sanaa.
“Nimejipanga zaidi mwaka huu, nimedhamiria kufanya mapinduzi makubwa katika sanaa tofauti na kipindi cha nyuma, kulea siyo mchezo ilibidi sanaa ikae pembeni kidogo,” alisema Davina ambaye sasa ni mama wa mtoto mmoja, Fazal.

USAJILI EPL IMEBAKI SIKU MOJA DIRISHA KUFUNGWA

$
0
0
 
ARSENAL
WALIOSAJILIWA
Hakuna
WALIOONDOKA
Chuba Akpom (Brentford, mkopo), Anthony Jeffrey (Wycombe, mkopo)
ASTON VILLA
WALIOSAJILIWA
Grant Holt (Wigan, mkopo)
WALIOONDOKA
Stephen Ireland (Stoke, huru), Michael Drennen (Carlisle, mkopo)
CARDIFF
WALIOSAJILIWA
Magnus Wolff Eikrem (Heerenveen, £2m), Mats Moller Daehli (Mold,ada haikutajwa),
Jo Inge Berget (Molde, ada haikutajwa), Kenwyne Jones (Stoke, mabadilishano)
WALIOONDOKA
Rudy Gestede (Blackburn, ada haikutajwa), Filip Kiss (Ross County, mkopo), Nicky Maynard (Wigan, mkopo), John Brayford (Sheffield Utd,mkopo), Peter Odemwingie (Stoke, mabadilishano)
CHELSEA
WALIOSAJILIWA
Bertrand Traore (Association Jeunes Espoirs De Bobo-Dioulasso, ada haikutajwa), Nemanja Matic (Benfica, £21m), Mohamed Salah (Basel £11m)
WALIOONDOKA
Bertrand Traore (Vitesse Arnhem, mkopo), Kevin de Bruyne (Wolfsburg, £17m), Josh McEachran (Wigan, mkopo), Michael Essien (AC Milan, ada haikutajwa), Sam Walker (Colchester, mkopo), Nathaniel Chalobah (MIddlesbrough, mkopo)
CRYSTAL PALACE
WALIOSAJILIWA
Hakuna
WALIOONDOKA
Jason Banton (Plymouth, huru), Jimmy Kebe (Leeds, mkopo), Kwesi Appiah (Notts County, mkopo), Matt Parsons (Plymouth, ada haikutajwa)
EVERTON
WALIOSAJILIWA
Aiden McGeady (Spartak Moscow, ada haikutajwa), Lacina Traore (Monaco, mkopo)
WALIOONDOKA
Nikica Jelavic (Hull, ada haikutajwa) 
FULHAM
WALIOSAJILIWA
Clint Dempsey (Seattle Sounders, mkopo)
WALIOONDOKA
Bryan Ruiz (PSV, mkopo)

HULL
WALIOSAJILIWA
Nikica Jelavic (Everton, ada haikutajwa), Elliott Kebbie (Atletico Madrid, mkopo), Shane Long (West Brom, £6m)
WALIOONDOKA
Tom Cairney (Blackburn, £500,000), Conor Townsend (Carlisle, mkopo), Eldin Jakupovic (Leyton Orient, mkopo), Cameron Stewart (Leeds, mkopo), Nick Proschwitz (Barnsley, mkopo).

LIVERPOOL
WALIOSAJILIWA
Hakuna
WALIOONDOKA
Adam Morgan (Yeovil, huru), Tiago Ilori (Granada, mkopo) 

MANCHESTER CITY
WALIOSAJILIWA
Hakuna
WALIOONDOKA
John Guidetti (Stoke, mkopo), Albert Rusnak (Birmingham, mkopo)

MANCHESTER UNITED
WALIOSAJILIWA
Juan Mata (Chelsea, £37.1m)
WALIOONDOKA
Jack Barmby (Hartlepool, mkopo), Anderson (Fiorentina)

NEWCASTLE
WALIOSAJILIWA
Luuk de Jong (Borussia Monchengladbach, mkopo)
WALIOONDOKA
Yohan Cabaye (Paris-Saint Germain, £23m), Jonas Gutierrez (Norwich, mkopo)

NORWICH
WALIOSAJILIWA
Jonas Gutierrez (Newcastle, mkopo)
WALIOONDOKA
Daniel Ayala (Middlesbrough, £350k)
SOUTHAMPTON  
WALIOSAJILIWA
Hakuna
WALIOONDOKA
Lee Barnard (Southend, mkopo)
STOKE CITY
WALIOSAJILIWA
John Guidetti (Man City, mkopo), Stephen Ireland (Aston Villa, huru), Juan Agudelo (New England Revolution, huru)
WALIOONDOKA
Brek Shea (Barnsley, mkopo), Jamie Ness (Leyton Orient, mkopo), Juan Agudelo (FC Utrecht, mkopo)

SUNDERLAND
WALIOSAJILIWA
Marcos Alonso (Fiorentina, mkopo), Santiago Vergini (Estudiantes, mkopo), Oscar Ustari (Almeria, huru)
WALIOONDOKA
Mikael Mandron (Fleetwood, mkopo), Ji Dong-won (Ausburg, ada haikutajwa), Billy Knot (Port Vale, mkopo)

SWANSEA
WALIOSAJILIWA
Hakuna
WALIOONDOKA
Alan Tate (Aberdeen, mkopo)

TOTTENHAM 
WALIOSAJILIWA
Hakuna
WALIOONDOKA
Jermain Defoe (Toronto, £6m), Simon Dawkins (Derby, ada haikutajwa), Shaquile Coulthirst (Leyton Orient, mkopo), Jon Obika (Brighton, mkopo), Ryan Fredericks (Millwall, mkopo)

WEST BROMWICH ALBION
WALIOSAJILIWA
Hakuna
WALIOONDOKA
Lee Camp (Bournemouth, huru)

WEST HAM
WALIOSAJILIWA
Roger Johnson (Wolves, mkopo), Antonio Nocerino (Milan, mkopo), Marco Borrielo (Roma, mkopo) 
WALIOONDOKA
Blair Turgott (Rotherham, mkopo)

Kuhusu Helkopta ya CHADEMA Kupotea Angani ikiwa na Viongozi wa Chama

$
0
0
HELIKOPTA ya Chadema maarufu kama Chopa, juzi ilipotea angani na kusababisha viongozi wa chama hicho kushindwa kufanya mkutano katika Kijiji cha Mpwayungu wilayani Chamwino, kama ilivyokuwa imepangwa kwenye ratiba.
Kwa mujibu wa ratiba iliyokuwa imepangwa, viongozi wa kitaifa ambao ni Mwanasheria Mkuu wa chama hicho, Tundu Lissu na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana (BAVICHA), walikuwa wafanye mkutano katika kijiji hicho saa 4 asubuhi.

Akizungumza na MTANZANIA, Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Dodoma, Steven Massawe alikiri kupotea kwa helikopta hiyo na kukanusha kwamba hakuna njama zozote zilizofanywa na CCM kutokana na kupotea kwa helikopta hiyo.

Kijiji cha Mpwayungu kipo katika Kata ya Mpwayungu, ambayo nafasi ya udiwani ipo wazi na vyama vya Chadema na CCM vyote vimesimamisha wagombea.

“Sababu kubwa ya kupotea kwa helikopta ni tatizo la mawasiliano kama mnavyojua Kijiji cha Mpwayungu hakina mawasiliano. Helikopta ilikuwa ifike katika Kijiji cha Mpwayungu saa nne asubuhi, lakini Kapteni alipotea na kusababisha kukaa angani kwa saa moja na dakika arobaini na akatua Kijiji cha Chipogolo.

“Alipofika Chipogolo akaambiwa sio kijiji hicho chenye mkutano na akatakiwa kurudi nyuma kwa upande wa magharibi kwa kilometa 40, hata hivyo hakufanikiwa ikabidi arudi mjini kujaza mafuta,” alisema Massawe.

Alisema baada ya kujaza mafuta, viongozi hao hawakwenda tena kufanya mkutano Mpwayungu badala yake wakaenda Mpwapwa ambapo kulikuwa na mkutano mwingine saa 7 mchana kwa mujibu wa ratiba.

“Leo (jana) hii viongozi hao kwa kutumia helikopta wamekwenda tena Mpwayungu na kufanikiwa kufanya mkutano majira ya saa nne asubuni na baada ya hapo waliekea Kijiji cha Segala Wilaya ya Chamwino, baadaye wataenda Kiteto na Moshi,” alisema.

Alisema sio kweli kwamba CCM walifanya njama helikopta ya Chadema ipotee ili isifanye mkutano katika kijiji hicho na kwamba Chadema na CCM vyote vilishafanya uzinduzi wa kapteni katika kata hiyo.

“Chadema ilifanya uzinduzi wake wa kampeni katika Kata ya Mwayungu, Januari 26 mwaka huu na CCM walifanya uzinduzi wao Januari 20,” alisema Massawe.
Naye Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, amesema iwapo Serikali ya CCM haitaweka mazingira ya haki kwa makundi mbalimbali ndani ya jamii kwa ajili ya amani ya kudumu, migogoro ya ardhi italitumbukiza taifa katika sintofahamu na hatari kubwa nchini.

Dk. Slaa aliyasema hayo kwenye mikutano ya M4C Pamoja Daima, jana alipokuwa akiwahutubia wananchi wa maeneo ya Iselamagazi, Kishapu, Mhunze, Itilima, Lugulu na Bariadi.
Alisema ni haki kwa wananchi kuwa na matumaini, kwani ndiyo misingi wa amani ya kweli ambayo haihitaji kuhubiriwa jukwaani.

MAPENZI YA FEDHA; NDANI HAKUKALIKI MPAKA MUME AWENAZO

$
0
0
NAWASALIMU wasomaji wote wa  safu hii, nina hakika wote wazima na mnaendelea vema na maisha.
Kuna baadhi ya wanawake wana tabia kwamba kama mume ana fedha basi mapenzi huwa motomoto na anatamani amuogeshe lakini akiwa hana, ndoa inayumba.
 
Nawaambia wanawake wenye tabia hiyo kuwa kwani wazazi, kungwi na  majirani hawakukufunda kuwa ndoa inahitaji uvumilivu?

Hukufundwa kuwa mume kama hana fedha fanya biashara halali? Inaruhusiwa, mbaya ni kutoka nje ya ndoa lakini kujituma kwa ujasiriamali ili kumsaidia mumeo inawezekana.
 
Mumeo kama hana fedha na amefukuzwa kazi msaidiane kutafuta fedha kihalali kwa kuwa wajasiriamali.
 
Nikija upande wa pili, kuna baadhi ya wanaume wanapenda kulelewa, ukumbuke kuwa mwanaume ni wajibu wako kumtunza mkeo.

Wapo baadhi ya wanaume wanakuwa na fedha lakini wanatumia na nyumba ndogo na nyumbani anataka ahudumie mkewe hasa akijua kuwa ana fedha!
Wengine hudiriki kutelekeza watoto na kumuachia mkewe ahangaike nao.

Akiambiwa anakuwa mkali, huo ni ukatili hasa kama una fedha lakini haijulikani unazitumiaje.
Wapo wanaotegemea biashara za wake zao wao kazi yao ni kujichana na nyumba ndogo, je huo ni uungwana kweli?

Wewe mume tegemezi hiyo si tabia nzuri, mwanamke anataka mapambo, mbona wa wenzio ukiwaona wazuri unawatamani wako unamfuja? Halloo iwaingie akilini wote wenye mapenzi ya pesa!

MAPENZI YA SIMU, USANII MTUPU, ZUBAA UCHEKWE!

$
0
0
MAPENZI yanachukua nafasi kubwa sana katika maisha yetu lakini mapenzi hayahaya yanafikia hatua tya kuwadatisha baadhi ya watu. Wengi wasiojua sarakasi zilizomo kwenye uwanja wa mapenzi wanashindwa kujua mchezo unakwendaje na kujikuta wakilizwa wasipate ile furaha waliyoitarajia.
Naamini tunajua usanii uliopo katika ulimwengu wa sasa wa mapenzi. Wengi wapo kwenye mapenzi ya kitapeli kwa kuingia kwenye uhusiano na watu ambao hawana mapenzi ya dhati bali wanatafuta pesa.


Kutokana na kuwepo kwa mabadiliko ya teknolojia, wapo ambao wamekuwa wakiingia kwenye uhusiano na watu ambao wako mbali. Unakuta msichana yupo Dar, anapata namba za simu za mvulana aliye Arusha na wanaanzisha uhusiano.

Yawezekana kweli watu hawa wakaendeleza uhusiano wao na siku moja wakafunga ndoa na kuweka historia. Hata hivyo, baadhi wamejikuta wakiangukia kwa matapeli huku wakishea penzi na watu wengine bila kujua.

Nasema hivyo kutokana na ushuhuda wa mmoja wa wasomaji wa safu hii aliyejitambulisha kwa jina la Jackson ambaye alinieleza jinsi alivyofanyiwa usanii na binti ambaye alidhani amepata kumbe amepatikana. Hebu msikie uone jinsi mapenzi ya simu yalivyojaa ulaghai;

“Nilionana naye mara moja mjini Arusha, tukapendana. Nikachukua namba yake na yeye akachukua yangu kisha mimi nikarudi Dar.

“Kuanzia hapo tukawa tunawasiliana, alikuwa akinipa maneno matamu sana huku akinionyesha kuwa kwenye moyo wake niko mimi tu. Nikawa najitutumua kwa matunzo, kila wiki lazima nimtumie pesa, vocha za hapa na pale, lengo langu aepukane na vishawishi vya wanaume wakware.

“Nilipoingiza suala la kutaka kwenda kwao ili akanitambulishe kwa wazazi wake hapo ndipo alipoanza kunichenga. Mara simu yake haipatikani, mara haipokelewi na nikituma meseji zikawa hazijibiwi.
 
“Nikaanza kupata wasiwasi, nikalazimika kufunga safari hadi Arusha na nilipofika nikampigia simu, alipopokea na kumwambia niko Arusha akakata na kuanzia hapo sikumpata tena.”

Huyu ni mmoja tu kati ya wengi ambao waliyaamini mapenzi ya simu lakini mwisho wake yakawatokea puani. Hapa ni suala la kujiaminisha tu na huyo mtu wako ambaye mara nyingi mmekuwa mkiwasiliana  kwenye simu. Unachotakiwa kujua ni kwamba, wapenzi wengi wa kwenye ni simu ni walaghai.

Watatumia maneno matamu kukulainisha lakini baadaye wanakugeuza kitega uchumi. Mizinga ya hapa na pale haitakosekana na meseji za ‘bebi sina credit’ kila siku lazima ziwepo, bado hujashtuka tu?
 
Sikia msomaji wangu, sasa hivi wapo wasichana wa namna hii, anaingia kwenye uhusiano na wewe na kuonesha anakupenda sana lakini ukiacha wewe kuna wanaume wengine zaidi ya watatu.

Anachokifanya kila siku asubuhi anawatumia wote meseji kwamba ana shida ya pesa. Katika watatu hao hatakosekana mmoja au wawili ambao watatuma. Wapo wanaoendesha maisha yao kwa njia hiyo.

Sasa kwa nini ukubali kuingia kwenye cheni ya wanaume kibao wanaomhudumia msichana mmoja ambaye anawachukulia nyie kama wajinga wake? Yes, nasema anawachukulia kama wajinga wake kwa kuwa ameweza kuziteka akili zenu na kuhisi mnapendwa kumbe hamna lolote, usanii mtupu!

Nimelazimika kuiandika makala haya ili kujaribu kuwazibua masikio baadhi ya watu si, wanaume tu bali hata wanawake. Wapo ambao sasa hivi wako kwenye mapenzi ya kilaghai huku wakidanganywa na maneno matamu ya kwenye simu.

Ni muda muafaka kwako sasa kuutathmini uhusiano ulionao hasa kwa wewe ambaye uko mbali na mpenzi wako na kuangalia kweli anakupenda au anakulaghai na kukugeuza ATM huku akiwa na wengine? Usizubae katika hili. Hakika wajanja watakucheka!

TP MAZEMBE YATUA KWA MESSI

$
0
0
Kiungo nyota wa Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’.
MAMBO yamekucha kwa kiungo nyota wa Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’ baada ya klabu tajiri ya TP Mazembe ya Lubumbashi, DR Congo kuonyesha wazi kuwa inamtaka.
TP Mazembe tayari imetuma mtu ambaye amekuja nchini kwa ajili ya kumshuhudia Messi akiichezea Simba na ameeleza nia ya klabu hiyo.

Shushu huyo wa usajili wa TP Mazembe alikuwa uwanjani wakati Simba ikicheza na Rhino ya Tabora kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar, Jumapili na kushinda kwa bao 1-0 lililofungwa na Messi.
Habari za uhakika zimeeleza mara baada ya mtu huyo kumshuhudia Messi akifunga bao na pia kukosa penalti amewaeleza viongozi wa Simba kutokana na nia ya klabu hiyo maarufu barani Afrika.

“Jambo hili bado ni siri kubwa, lakini TP Mazembe walimtuma mtu wao, huyo ndiye alitumwa mara ya kwanza kuifanyia umafia Simba kabla ya TP Mazembe kuja hapa kucheza.

“Alipokuja akamuona (Mbwana) Samatta na kuwaambia kuna mchezaji hatari, ndiyo maana uongozi wote wa juu wa TP Mazembe ukaja kuja kushuhudia mechi hiyo na kweli Samatta akafanya vizuri.

“Kutokana na hali hiyo huyo jamaa anaaminiwa sana, akirudi na kusema Messi yuko safi, basi jamaa watakuja kufanya rasmi mazungumzo na Simba,” kilieleza chanzo cha uhakika.

TP Mazembe sasa inamlipa Samatta kitita cha dola 10,000 (Sh milioni 16.5), kwa mwezi. Kama itafanikiwa kumpata Messi, basi huenda akachota kuanzia dola 3,000 hadi 5,000, kwa mwezi.
Messi amekuwa gumzo kuanzia mwanzo wa msimu huu kutokana na kiwango chake kupanda kwa kasi kubwa.
CHANZO CHAMPIONI IJUMAA

Niyonzima, Cannavaro wataka kuchapana makonde uwanjani

$
0
0
WACHEZAJI wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ na Haruna Niyonzima, juzi Jumatano almanusura wachapane makonde uwanjani wakati wa mechi ya Ligi Kuu Bara kati ya Yanga na Coastal Union kwenye Uwanja wa Mkwakwani jijini hapa.
Tukio hilo lilitokea kipindi cha pili cha mchezo huo baada ya Cannavaro kutaka kujifunga alipokuwa kwenye harakati za kuokoa hatari langoni kwake, ndipo Niyonzima akakasirishwa na kitendo hicho.

Mara baada ya Cannavaro kuokoa ndipo Niyonzima akamvaa akimlaumu, kuona hivyo Cannavaro naye akaja juu, ndipo wawili hao walipoanza kuzozana, huku kila mmoja akionekana kupandwa na jazba.
Baada ya kuvutana kwa sekunde kadhaa ndipo kila mmoja akarudi kwenye nafasi yake kuendelea na majukumu lakini wote wakiwa wamekunja ndita.

Alipoulizwa juu mara baada ya kipenga cha mwisho, Cannavaro alisema: “Hakuna mwenye chuki na mwenzake, kilichotokea ni kawaida kwenye soka, japo tulikasirishana kiukweli.”
Viewing all 12768 articles
Browse latest View live