Quantcast
Channel: Rogers Linky - Sports Home
Browsing all 12768 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maazimio ya Baraza Kuu la CUF Lililokutana Leo Zanzibar

Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif.Baraza kuu la Uongozi la Taifa la CUF ijumaa ya Julai, 28 limekutana kujadili mambo mbalimbali ambayo yanahusu chama hicho ikiwa ni pamoja na kujadili uamuzi wa CUF ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OKWI: NIPO NJIANI NAENDA SAUZI KAMBINI KUJIUNGA NA SIMBA - BREAKING NEWS

Mshambuliaji Emmanuel Okwi raia wa Uganda.Mshambuliaji Emmanuel Okwi raia wa Uganda, amethibitisha kuwa yupo njiani kuelekea nchini Afrika kusini kujiunga na wenzake wa Simba ambao wapo kambini.Okwi...

View Article


Video: Hekaheka Ya Tindu Lissu, Polisi na Wanahabari Mahakamani

 Baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kumpa dhamana mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu upande wa mashtaka umedai upelelezi umekamilika na atasomewa maelezo ya awali Agosti 24....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AHSANTE NI NENO DOGO LAKINI, LINAMAANA KUBWA KATIKA MAPENZI

IJUMAA imewadia, siku nzuri ambayo mimi na wewe tunakutana kwenye ukurasa huu mzuri, kujuzana na kujadiliana mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Hebu jaribu kukumbuka, mara ya mwisho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEYMAR APIGANA MAZOEZINI BARCELONA NA NELSON SEMEDO, ATIMKA

 Mchezaji wa Klabu ya Barcelona, Neymar. Hali ya mambo ndani ya Klabu ya Barcelona inaonekana haipo sawa baada ya mchezaji wa timu hiyo Neymar kukwaruzana na kushikana na mchezaji mwezake wa timu hiyo....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mawaziri 5 watembelea mpaka wa Tanzania na Uganda

Mawaziri watano wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wametembelea mpaka wa Tanzania na Uganda ili kutatua changamoto zinazoukabili mpaka huo na kuuboresha.Mawaziri hao ni Waziri wa Ardhi,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Leo Jumamosi ya Julai 29, 2017

Kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Julai 29, 2017. Ni yale ya Hardnews, Udaku na Michezo.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DONE DEAL: Picha tatu za Simon Msuva akitambulishwa Morocco

Winga mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars aliyekuwa anaichezea Dar es Salaam Young AfricansSimon Msuva ametangazwa kujiunga na club ya Difaa El Jadida ya Morocco.Simon Msuva amejiunga...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ester Bulaya afunguka gharama aliyoitumia kwenye kesi yake na Wasira (Video)

July 28 201 7 Mahakama ya Rufaa ilitupilia  rufani iliyofunguliwa na wapiga kura wa jimbo la Bunda mjini katika kesi ya uchaguzi wa kupinga matokeo yaliyompa ushindi mbunge wa jimbo hilo, Ester...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Live Kutoka Uwanja wa Tanganyika Packers, Shoo Ya Komaa Concert Ya EFM

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUDUMA YA KWANZA KWA MTU ALIYEFUMANIWA

FumaniziKUFUMANIWA ni tatizo kubwa, msaada usipopatikana haraka madhara yanaweza kutokea. Kufumania ni mtego, usipotumia busara kuuvuka,  utaharibu harakati zako zote za maisha. Kwa nini umpige...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond Platnumz Awatolea Majibu Ya Shombo Wanaomshambulia Zari

Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz amewajibu wanaomshambulia zari baada ya kuonekana katika mitandao ya kijimii akijiachia na mpenzi wake huyo. Hii ni kutokana na Zari kufiwa na mama yake mzazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Fatma Karume Amshtaki Polisi Aliyemzogoa Mahakamani, Adai Fidia Bil. 1

Fatma Karume akizozana na polisi.WAKILI wa Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika, Tundu Lissu, Fatma Karume amefungua kesi ya madai Mahakama Kuu ya Tanzania dhdi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barua ya Jamal Malinzi kwa TFF

Barua ya Rais wa TFF, Jamal Malinzi kwenda kwa viongozi wenzake kuhusu uchaguzi mkuu ujao. Stori zinazo husiana na ulizosoma

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simba Wamvua Unahodha Mtanzania na Kumpatia Raia wa Zimbabwe

Simba imemvua kitambaa cha unahodha Mtanzania @jonasmkude20 na Kumpatia Raia wa Zimbabwe Methodi Mwajale

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA JUMAPILI LEO JULY 30, 2017

 Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Julai 30, 2017. Ni yale ya Hardnews, Udaku na Michezo.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Soma Tweets za Magazeti Mbalimbali Kutoka Twitter

Baada ya maelezo na tetesi nyingi, hatimaye mshambuliaji Emmanuel Okwi ametua na kuanza mazoezi katika kikosi cha Simba.Okwi ametua kikosini hapo akitokea Uganda ambapo alikuwa katika majukumu ya timu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEC yatoa ufafanuzi kuhusu uteuzi wa wabunge CUF

 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imefafanua juu ya uteuzi wa wabunge wapya wa Viti Maalumu wa Chama cha Wananchi (CUF).Imesema kuwa imesikitishwa na kushangazwa na taarifa za Baraza Kuu la Taifa la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAFARI YANGU YA KWANZA KUZIMU-06

 NYEMO CHILONGANIILIPOISHIAKwa kuwa walikuwa wakiongea kwa sauti kubwa, watu waliokuwa pembeni waliposikia wakaanza kusogea kule walipokuwa wale watu na hatimaye vita vya maneno kuanza kuzuka mahali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAFARI YANGU YA KWANZA KUZIMU-07

 MTUNZI: NYEMO CHILONGANIMwanamke yule ambaye watoto wake walikuwa ndani ya nyumba ile akaanza kulia, tayari alikwishajua kile kilichokuwa kimetokea ndani ya nyumba ile kwamba watoto wake walikuwa...

View Article
Browsing all 12768 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>