Quantcast
Channel: Rogers Linky - Sports Home
Browsing all 12768 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAFARI YANGU YA KWANZA KUZIMU-08

 MTUNZI: NYEMO CHILONGANIIlikuwa ni mvua kubwa, ilishuka tena kwa kasi kubwa kiasi kwamba kila mmoja akadiriki kusema hakukuwa na mvua kubwa iliyowahi kunyesha kama ile. Radi ziliendelea kupiga, kila...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chadema Yasema Haikutuma Mtu Kuzuia Mwandishi wa TBC

Kuhusu Mwandishi wa TBC kuzongwa /kuzuiliwa kutimiza wajibu wake.  Tumepokea kupitia vyombo vya Habari taarifa za tukio la Mwandishi wa habari wa TBC kushindwa kutimiza wajibu wake Katika Makao Makuu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Uwoya alinitaka mwenyewe" - Msami Baby

Mwanamuziki anayefanya poa na ngoma ya 'So Fine' Msami baby amedai hana mawazo ya mpenzi wake wa zamani, msanii wa bogo movie, Irene Uwoya kutoka kimapenzi na msanii Dogo Janja kwani hakuwahi kumtaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamasha la ‘Komaa Concert 2017’ Latikisa Dar

Msanii wa Hip Hop, Chemical, akiwaburudisha mashabiki.Ruby akifanya yake stejiniMwana- FA naye akiwarusha vilivyo mashabiki wake.Young D akifanya yake.Dogo Aslay akikamua stejini.TAMSHA la “KOMAA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZEE WA SIMBA WALIAMSHA DUDE, WAGOMEA MKUTANO, WAMKATAA MO

Mambo ya umiliki wa Klabu ya Simba pamoja na kubadili mfumo wa uendeshaji wa klabu hiyo bado yanaendelea kupata kipingamizi ambapo wazee wa klabu hiyo wameliamsha dude kwa mara nyingine.Baraza la Wazee...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATIC SAFI AFUZU MAN UNITED, SASA ASUBURI KUSAINI MKATABA

Kiungo Nemanja Matic amefuzu vipimo na muda mchache atatangazwa kuwa mchezaji rasmi wa Man United.Matic anatoka Chelsea kujiunga na Man United kwa mkataba wa thamani ya pauni million 31.Raia huyo wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVE: Taarifa ya Habari ya TBC 1 (Julai 30-USIKU)

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KENYA: Mkurugenzi Tume ya Uchaguzi aliyepotea apatikana akiwa amefariki

Taharuki imetanda nchini Kenya baada ya Kaimu Mkurugenzi wa teknolojia wa Tume Huru ya Uchaguzi nchini humo (IEBC), Christopher Musando aliyepotea hivi karibuni kupatikana akiwa amefariki katika eneo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti Ya Tanzania Leo Jumanne, Agosti 1, 2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEMA: NISIPOPATA MTOTO NAFUNGA KIZAZI -Exclusive!

Wema Abraham Isac Sepetu.Exclusive! Hapo nyuma kumepita matukio mengi yaliyomhusu staa mwenye jina lake kwenye tasnia ya sinema za Kibongo, Wema Abraham Isac Sepetu, lakini mwenyewe hakuwa tayari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Yasema Bado Inamtambua Maalim Seif Kama...

Na Margareth Chambiri, NECTume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekishauri Chama cha Wananchi (CUF) kumaliza mgogoro unaoendelea ndani ya Chama hicho kwani unaweza kusababisha kupoteza nafasi za Udiwani...

View Article

Full Shoo: Harmonize Alivyokinukisha Kwenye Jukwaa La #Komaaconcept Dar

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mr. Blue Feat JR - Siwezi (Official Video)

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEYMAR ANUKIA PSG, BARCELONA YATAKA KUKWEPA KUMLIPA BABA YAKE EURO MILIONI 26

Imeelezwa ndani ya saa 48 kwa asilimia 80 inaonekana Neymar atakuwa mchezaji wa PSG ya Ufaransa.Taarifa zinaeleza, Barcelona iko katika nafasi ya kumuachia Neymar ili kuepuka kumlipa baba mzazi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RASMI SIMBA YATANGAZA KUMSAJILI NIYONZIMA, ATACHEZA SIMBA DAY

[caption id="attachment_149109" align="aligncenter" width="1000"]Mshambuliaji mpya wa Simba, Haruna Niyonzima.Hatimaye Klabu ya Simba imetangaza rasmi kumsajili Haruna Niyonzima ambaye aliichezea Yanga...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KENYA Wapinzani: Serikali Ikubali Wachunguzi wa Nje Mauaji ya Msando

Chris Msando, enzi za uhai wake.MUUNGANO wa upinzani nchini Kenya (NASA) umekubali nia ya serikali za Marekani na Uingereza kusaidia kuchunguza mauaji ya ofisa wa Tume ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli amuapisha Mashiba kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo amemuapisha Mhe. Benedict Martin Mashiba kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi Mhe Benedict Martin Mashiba amechukua nafasi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema Sepetu ashindwa kupokea kadi CHADEMA

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Pwani, Frederick Sumaye, ameahirisha mkutano wa waandishi wa habari ulioandaliwa kwa ajili ya kumkabidhi rasmi kadi ya chama hicho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahazeti ya Leo Jumatano ya August 2, 2017

View Article

Exclusive: Maskini Jini Kabula! Ukimsikia Utalia, Anatia Huruma (Video)

Maskini Jini Kabula! Hali ya kiafya ya msanii wa filamu za Kibongo aliyepata umaarufu kupitia tamthiliya ya Jumba la Dhahabu, Miriam Jolwa 'Jini Kabula', inasikitisha na ukipata bahati ya kukutana naye...

View Article
Browsing all 12768 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>