Quantcast
Channel: Rogers Linky - Sports Home
Viewing all 12768 articles
Browse latest View live

MATUKIO YOTE YA MAZIKO YA NELSON MANDELA KIJIJINI QUNU

$
0
0

Goodbye to an icon: Nelson Mandela's coffin is slowly lowered into the ground in the hills close to where he grew up at the small, private burial today in Qunu as military salute and mourners watch the poignant moment salute and mourners watch the poignant moment
Poignant: Nelson Mandela's coffin was carried to his grave and then the flag of the country he loved so ardently was removed and handed to his widow Graca Machel
Poignant: Nelson Mandela's coffin was carried to his grave and then the flag of the country he loved so ardently was removed and handed to his widow Graca Machel
Last steps: After being carefully taken from his gun carriage, Mandela's coffin was wheeled the final few yards before being placed above his final resting place
Last steps: After being carefully taken from his gun carriage, Mandela's coffin was wheeled the final few yards before being placed above his final resting place
United in grief: Mandela's widow Graca Michel and his ex-wife Winnie Mandela tearfully comforted one another as they sat next to president Jacob Zuma and Mandela's grandson Mandla as he was laid to rest
United in grief: Mandela's widow Graca Michel (centre) and his ex-wife Winnie Mandela (left) tearfully comforted one another as they sat next to president Jacob Zuma and Mandela's grandson Mandla as he was laid to rest

Royal meeting: The Prince of Wales meets the King of the Xhosa tribe Zwelonke Sigcau, head of Mandela's tribe, at the burial in Quno today.
Royal meeting: The Prince of Wales meets the King of the Xhosa tribe Zwelonke Sigcau, head of Mandela's tribe, at the burial in Quno today. Elders will have slaughtered an ox and drank its blood to ensure Mandela's soul is accompanied after burial although dignitaries such as Prince Charles will have been offered the meat
Earlier she arrived at the state ceremony ahead of her husband to honour the tradition of being home to receive his body in a room where his portrait stood above a bank of 95 candles representing each year of his remarkable life.
Historic figure: Thousands of people are paying tribute to South Africa 's first black president
Historic figure: Thousands of people have paid tribute to South Africa's first black president as he was buried today
Around 5,000 guests, including his ex-wife Winnie, the Prince of Wales, Oprah Winfrey, Richard Branson and the American civil rights activist Jesse Jackson, were also at the service.
But the ceremony overran by nearly two hours as political figures gave a series of extended eulogies, meaning that his tribe's tradition that burials should be at noon 'when the sun is at its highest and the shadow at its shortest' had to change.
The current leader of his beloved country, Jacob Zuma, told mourners Madiba, as he was adoringly called, was 'a fountain of wisdom, a pillar of strength and a beacon of hope for all those fighting for a just and equitable world order.
'Today marks the end of extraordinary journey that began 95 years ago, the long walk to freedom has ended'.
‘When people see goodness in a person they respond by reflecting goodnesss back at that person and on their fellow man and women,' Zuma said.
'Thank you for being everything we wanted in a leader during a difficult period in our lives.
'Your long walk to freedom has ended but in a physical sense our journey continues.
'We have to take your legacy forward and in doing so we will continue taking lessons from your very rich and extraordinary life.
He read a Mandela quote: ‘I hate race discrimination most intensely and in all its manifestations. I fought it all through my life. I fight it now and will fight it to the end of my life.’
He said he taught forgiveness and reconciliation.
‘We learned from you that to build a new society, a new SA from the ashes of apartheid and colonialism we had to rise above anger and the human desire for retribution.’
Zuma also spoke of Mandela's dedication to gender equality which led to more women in public life.
He said: ‘We dare not reverse your achievements in this regard.’
‘As you take your final steps, South Africa will continue to rise.’
He said the poor and working class have benefitted from the fruits of democracy.
‘We commit to work more intensely to deal a decisive blow against poverty, inequality.’
In a political eulogy he promised improved utilities, better jobs and working conditions as well as efficient and accountable public service.
‘We will be able to complete this country’s transformation into a global force for social and economic leadership that you believed we were capable of being.
‘Tata as your triumphant journey comes to an end we sincerely thank you.’
‘We sincerely thank you, thank your family for sharing you with us and the world.’
Special tribute: The South African air force fly over Mandela's grave in the hills of Qunu where he grew up, which was accompanied by a 21-gun salute
Special tribute: The South African air force fly over Mandela's grave in the hills of Qunu where he grew up, which was accompanied by a 21-gun salute
A nation in mourning: Three helicopters carrying South African flags fly over the burial site today as a much smaller crowd of mourners watched the great statesman laid to rest after ten days of official mourning
A nation in mourning: Three helicopters carrying South African flags fly over the burial site today as a much smaller crowd of mourners watched the great statesman laid to rest after ten days of official mourning
Air force tribute: A squadron of South African jets flew across the skies above the Eastern Cape hills where Mandela spent his formative years
Air force tribute: A squadron of South African jets flew across the skies above the Eastern Cape hills where Mandela spent his formative years
Ceremonial: The fly-past was accompanied by a 21-gun salute and a solitary trumpeter played the Last Post while his body was lowered into the ground
Ceremonial: The fly-past was accompanied by a 21-gun salute and a solitary trumpeter played the Last Post while his body was lowered into the ground
Burial: The military carry Mandela's body along the pathway to the area where South Africa's beloved son's burial site in Quno
Burial: The military carry Mandela's body along the pathway to the area where South Africa's beloved son's burial site in Qunu
Procession: After the funeral South Africa's military took over and followed Mandela's coffin up the hill to his family plot where he was buried
Procession: After the funeral South Africa's military took over and followed Mandela's coffin up the hill to his family plot where he was buried
Funeral procession: After the four hour memorial service Mandela's body on a gun carriage led by troops and followed by his family in cars
Funeral procession: After the four hour memorial service Mandela's body on a gun carriage led by troops and followed by his family in cars
Final journey: The coffin of former South African President Nelson Mandela is carried by military personnel at the end of his funeral service in his ancestral village of Qunu in the Eastern Cape
[caption
Zuma added that his children must be truly proud today to be ‘brought to this planet by a man so great and humble’.
His casket, transported to the tent on a gun carriage and draped in the national flag, rested on a carpet of cow skins below a lectern where speakers delivered eulogies.
'A great tree has fallen, he is now going home to rest with his forefathers,' said Chief Ngangomhlaba Matanzima, a representative of Mandela's family.
Nandi Mandela said her grandfather went barefoot to school in Qunu when he was boy and eventually became president and a figure of global import.
'It is to each of us to achieve anything you want in life,' she said, recalling kind gestures by Mandela 'that made all those around him also want to do good.'
In the Xhosa language, she referred to her grandfather by his clan name: 'Go well, Madiba. go well to the land of our ancestors, you have run your race.'
Ahmed Kathrada, an anti-apartheid activist who was jailed on Robben Island with Mandela, remembered his old friend's 'abundant reserves' of love, patience and tolerance. He said it was painful when he saw Mandela for the last time, months ago in his hospital bed.
'He tightly held my hand, it was profoundly heartbreaking,' Kathrada said, his voice breaking at times. 'How I wish I never had to confront what I saw. I first met him 67 years ago and I recall the tall, healthy strong man, the boxer, the prisoner who easily wielded the pick and shovel when we couldn't do so.'

Arm in arm: Mandela's second wife Winnie Madikizela Mandela (far right) and the statesman's widow Graca Machel (centre) walk together as he is about to be buried
Arm in arm: Mandela's second wife Winnie Madikizela Mandela (far right) and the statesman's widow Graca Machel (centre) walk together as he is about to be buried

Civil rights campaigner: American Jesse Jackson, a close friend of Mandela's meets Dr Nkosazana Dlamini Zuma, right, and Lindiwe Sisulu, left, at the burial
Civil rights campaigner: American Jesse Jackson, a close friend of Mandela's meets Dr Nkosazana Dlamini Zuma, right, and Lindiwe Sisulu, left, at the burial
Religious movement: Archbishop Desmond Tutu, centre, is surrounded by clergymen at his Christian burial after his state funeral was dominated by political eulogies
Religious movement: Archbishop Desmond Tutu, centre, is surrounded by clergymen at his Christian burial after his state funeral was dominated by political eulogies
Representing the UK: Prince Charles stands alongside Judith Macgregor, British High Commissioner in South Africa as they watch Mandela finally laid to rest
Representing the UK: Prince Charles stands alongside Judith Macgregor, British High Commissioner in South Africa as they watch Mandela finally laid to rest

Gathered to remember Madiba: South Africa's president Jacob Zuma (2nd left), Mandela's ex-wife Winnie Mandela (left), and the widow of Mandela, Graca Machel (3rd left), sit by his coffin
Gathered to remember Madiba: South Africa's president Jacob Zuma (2nd left), Mandela's ex-wife Winnie Mandela (left), and the widow of Mandela, Graca Machel (3rd left), sit by his coffin

Embrace: Archbishop Desmond Tutu, who initially claimed he had not been invited to the funeral, hugs former president Thabo Mbeki
Embrace: Archbishop Desmond Tutu, who initially claimed he had not been invited to the funeral, hugs former president Thabo Mbeki
Respect: Candles are lit under a portrait of Nelson Mandela before his funeral. One for every year of his life
Respect: Candles are lit under a portrait of Nelson Mandela before his funeral. One for every year of his life
Dignitaries: Prince Charles, right, arrives for the state funeral on Sunday
Dignitaries: Prince Charles, right, arrives for the state funeral on Sunday and is greeted by a fellow mourner who welcomed him to the Quno service
Rerpesenting Britain: The Queen sent the Prince of Wales, pictured here speaking to Nkosazana Dlamini-Zuma, a politician and former wife of Jacob Zuma
Representing Britain: The Queen sent the Prince of Wales, pictured here speaking to Nkosazana Dlamini-Zuma, a politician and former wife of Jacob Zuma
Mourners: US talk show host Oprah Winfrey, centre, her husband Stedman Graham, left, and English businessman Richard Branson, right, watching the funeral service
Mourners: US talk show host Oprah Winfrey, centre, her husband Stedman Graham, left, and English businessman Richard Branson, right, watching the state funeral service

Star: British actor Idris Elba, who played Mandela in Long Walk To Freedom, also attended the state funeral - the first in South Africa's democratic history
Star: British actor Idris Elba, who played Mandela in Long Walk To Freedom, also attended the state funeral - the first in South Africa's democratic history
Eulogy: South African President Jacob Zuma told the assembled mourners that 'Madiba' was 'a fountain of wisdom, a pillar of strength and a beacon of hope' for those fighting oppression in his country and around the world
Eulogy: South African President Jacob Zuma told the assembled mourners that 'Madiba' was 'a fountain of wisdom, a pillar of strength and a beacon of hope' for those fighting oppression in his country and around the world

Reading an obituary, Mr Mandela's grandson Ndaba Mandela said the former leader became 'one of the world's greatest icons'.
'It is through Mandela that the world cast its eyes on South Africa and took notice of the severe and organised repression of black South Africans,' he said.
'Yet it was also through Mandela that the world would learn the spirit of endurance, the triumph of forgiveness and the beauty of reconciliation.'
Some mourners wiped away tears as Kathrada spoke, his voice trembling with emotion.
Mandela's widow, Grace Machel, and his second wife, Winnie Madikizela-Mandela, were dressed in black and sat on either side of South African President Jacob Zuma.
Guests included veterans of the military wing of the African National Congress, the liberation movement that became the dominant political force after the end of apartheid, as well as U.S. Ambassador Patrick Gaspard and other foreign envoys.
More than an hour into the service, people were still filling empty seats in parts of the marquee. Soldiers moved in to occupy some chairs.
Loss of an icon: A mourner weeps as he watches the funeral service for former South African President Nelson Mandela on a large screen television in Cape Town
Loss of an icon: A mourner weeps as he watches the funeral service for former South African President Nelson Mandela on a large screen television in Cape Town

Hard to take: Mourners console each other as they watch a broadcast of the state funeral of former South African President Nelson Mandela, at Orlando Stadium in Johannesburg
Hard to take: Mourners console each other as they watch a broadcast of the state funeral of former South African President Nelson Mandela, at Orlando Stadium in Johannesburg
Hero: An ANC member sobs in Johannesburg this morning as the world said its final goodbye to 'Madiba' on the tenth day of mourning in South Africa
Hero: An ANC member sobs in Johannesburg this morning as the world said its final goodbye to 'Madiba' on the tenth day of mourning in South Africa
Celebration of life: Men in tribal Zulu warrior dress perform ritual dances on the area overlooking the burial ceremony
Celebration of life: Men in tribal Zulu warrior dress perform ritual dances on the area overlooking the burial ceremony
Heroic: Warriors pay a personal tribute to the Nobel Peace Prize winner and revered icon of the anti-apartheid struggle in South Africa who died on December 5 at the age of 95
Heroic: Warriors pay a personal tribute to the Nobel Peace Prize winner and revered icon of the anti-apartheid struggle in South Africa who died on December 5 at the age of 95

The funeral included traditions of Mandela's Thembu clan, as well as a 21-gun salute, brass band and fly over by jets.
Elders were in traditional funeral attire out of respect for Mandela and his family sang old struggle songs as they lined the road to greet the funeral cortege.
The Xhosa people to whom Mandela belonged have a number of hallowed traditions surrounding death - including the ritual slaughter of an ox.
Because the former president died far from his birthplace, his body had to be escorted home so he could be buried near to where he was born.
The Xhosa believe that in order to guide the souls of the dead to their final resting places, their bodies should be constantly talked to so that they know where they are going.
When Mandela was about to be buried, his family will have said to him, 'Madiba, we are now burying you,' according to religious expert Nokuzola Mndende.
Final journey: The coffin carrying former South African President Nelson Mandela is escorted into his state funeral service in Qunu this morning
Final journey: The coffin carrying former South African President Nelson Mandela is escorted into his state funeral service in Qunu this morning
Eulogy: Mandela's granddaughter Nand takes to the podium to pay her tributes to the leader
Eulogy: Mandela's granddaughter Nand takes to the podium to pay her tributes to the leader
Paying their final respects: Nelson Mandela's grandsons Ndaba (left) and Mandla Mandela (centre) look at the coffin as they attend the funeral ceremony of the South African former president today
Paying their final respects: Nelson Mandela's grandsons Ndaba (left) and Mandla Mandela (centre) look at the coffin as they attend the funeral ceremony of the South African former president today
Procession: Military officers accompany the coffin into the funeral as others stand to attention
Procession: Military officers accompany the coffin into the funeral as others stand to attention

Graca Machel
Winnie Mandela Madikizela
Wives: Grace Machel, left, and Winnie Madikizela-Mandela, right, have led South Africa in mourning for the man they were both married to
Speech: Joyce Banda, the president of Malawi, was one of many African leaders to pay tribute to Mandela at the service
Speech: Joyce Banda, the president of Malawi, was one of many African leaders to pay tribute to Mandela at the service
Stage: The speakers delivered their addresses in front of 95 candles, representing every year of Mandela's life
Stage: The speakers delivered their addresses in front of 95 candles, representing every year of Mandela's life

Moved: Mandela's daughter Makaziwe, centre, sits in front of her father's coffin during the ceremony
Moved: Mandela's daughter Makaziwe, centre, sits in front of her father's coffin during the ceremony
Tears: The former president's daughter Zindzi comforts another mourner
Tears: The former president's daughter Zindzi comforts another mourner
Soldiers moved in to fill some of the empty chairs during the funeral service
Packing out the building: Soldiers moved in to fill some of the empty chairs during the funeral service, despite many people complaining about being left off the invite list
Prominent people are traditionally wrapped in an animal skin - kings are covered with the hide of a lion, but because Mandela was a clan chief he will have been wrapped in leopard skin.
One important element of the funeral process is the ritual slaughtering of an ox, whose bellows are believed to be a sign that the ancestors are welcoming the dead man to the spirit world.
A banquet is then traditionally held after the burial service at which guests drink the blood of the sacrificed ox.
It is not known whether this tradition has been respected at Mandela's funeral, but it is likely that foreign guests such as Prince Charles would be offered meat rather than blood.
A year from now, another ox will be slaughtered in commemoration of Mandela, and a year after that the family will hold a ceremony to ensure that his spirit continues to guide and watch over them.
Xhosa tradition dictates that bodies must be buried at noon, 'when the sun is at its highest and the shadow at its shortest' - but this requirement was failed because the funeral service was running late.
In addition, the organisers of the ceremony ignored the tradition that funerals should be open to anyone who wants to attend, with 4,500 hand-picked guests invited and locals barred from the hall.
Professor Zilibele Mtumane, an expert on African languages and culture, told the BBC that the unique nature of Mandela's funeral means that it may not have complied with all traditional practices.
But he added: 'I also think some of the traditional practices might have been conducted last evening already. That is why we don't see much of them here.'



Tradition: Mandela's casket, covered in the nation's flag, was placed on a cattle skin as the service combined elements of traditional and state funerals
Tradition: Mandela's casket, covered in the nation's flag, was placed on a cattle skin as the service combined elements of traditional and state funerals

CHANZO NI DAILY MAILY

MAN UNITED YAZINDUKA, YAITANDIKA ASTON VILLA 3-0

$
0
0
KLABU ya Manchester United imezinduka baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Aston Villa Uwanja katika Ligi Kuu ya England jioni ya jana.
Danny Welbeck (kulia) amefunga mabao mawili Manchester United ikibwaga Aston Villa
Shukrani kwao Danny Welbeck aliyefunga mabao mawili kipindi cha kwanza dakika za 15 na 17 naTom Cleverley aliyefunga la tatu dakika ya 52.
Kocha David Moyes wa Man United aliingia kwenye mechi hiyo akitoka kupoteza mechi tatu mfululizo za Ligi Kuu.
Doubling up: Welbeck slides home to increase United's advantage as they return to winning ways
Doubling up: Welbeck slides home to increase United's advantage as they return to winning ways
Clever boy: Tom Cleverley added gloss to the scoreline with a third United goal in the second half
Clever boy: Tom Cleverley added gloss to the scoreline with a third United goal in the second half
Pleased as punch: Tom Cleverley celebrates wildly after stretching United's lead on Sunday
Pleased as punch: Tom Cleverley celebrates wildly after stretching United's lead on Sunday
Temper, temper: Welbeck (obscured) clashes with Nathan Baker before the pair were booked
Temper, temper: Welbeck (obscured) clashes with Nathan Baker before the pair were booked
Up in the air: Matthew Lowton challenges Wayne Rooney as Villa suffer another defeat at home
Up in the air: Matthew Lowton challenges Wayne Rooney as Villa suffer another defeat at home
Welcome return: Darren Fletcher made his first Premier League appearance since last Boxing Day
Welcome return: Darren Fletcher made his first Premier League appearance since last Boxing Day
Sidelined: Scotland midfielder Fletcher has struggled to overcome a chronic bowel condition
Sidelined: Scotland midfielder Fletcher has struggled to overcome a chronic bowel condition

HOTUBA YA RAIS KIKWETE KATIKA MAZISHI YA MANDELA KIJIJINI QUNU LEO

Zuma appreciates Mandela

OKWI AKISAINI YANGA MIAKA MIWILI NA NUSU

$
0
0

Klabu ya Yanga SC imefanikiwa kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa kutoka nchini Uganda Emmanuel Arnold Okwi ambaye alikua akiichezea klabu ya SC Villa ya Uganda.
 Emmanuel Okwi akiweka alama ya Dole Gumba mbele ya Mjumbe wa Kamati ya Mashindao Musa Katabaro (kushoto) wakati akisaini mkataba wa kuichezea Yanga mpaka mwishoni mwa msimu wa 2015/2016. kulia ni mwanasheria/meneja wa Okwi Bw. Edgar Agaba
 
Yanga SC imempata mshambuliaji huyo msumbufu kwa mabeki wengi kwa mkataba wa miaka miwili na nusu ambapo kwa sasa ataitumika klabu yake mpya ya watoto wa jangwani mpaka mwishoni mwa msimu wa 2015/2016.
 
Dirisha dogo la usajili nchini Tanzania limefungwa usiku wa kuamkia jana  Disemba 15, 2013 saa 6 usiku ambapo mabingwa wa kihistoria  klabu ya Yanga wamekalilisha taratibu zote za usajili ikiwa ni pamoja na kupata hati ya uhamisho wa kimataifa maarufu kama ITC.
 
Usajili wa Emmanuel Okwi unaifanya timu ya Yanga kufikisha idadi ya wachezaji  watano wa kimataifa wakiwemo mganda mwenzake Hamis Kiiza, Haruna Niyonzima, Mbuyu Twite na Didier Kavumbagu.
 
Uongozi wa Yanga unawaomba wanachama, wapenzi na washabiki kuwapa ushirikiano wachezaji wote wa zamani na wapya waliosajiliwa katika dirisha dogo la usajili.
 
Wachezaji wengine waliosajiliwa hivi karibuni katika kuimarisha kikosi cha Yanga ni mlinda mlango Juma Kaseja ambaye alikuwa mchezaji huru na Hassan Dilunga aliyesajiliwa kutoka timu ya Ruvu Shooting.
 
Baraka Kizuguto
 
 Afisa Habari – Young Africans SC
 
Disemba 15, 2013.

(Picha na Yanga).

ALIYEKUWA MWENYEKITI WA CCM MKOA WA MWANZA AUWAWA NA WANANCHI WENYE HASIRA KALI KWA KUPIGWA MAWE

$
0
0
Aliyekuwa mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza ndg CLEMENT MABINA ( pichani juu enzi za uhai wake) ameuwawa na wananchi wenye hasira kali kwa kupigwa mawe huko maeneo ya Kisesa jijini Mwanza.

Chanzo cha kuuwawa ni kwamba mabina aliwanyang'anya ardhi wananchi hao na kesi ikawa mahakamani na jana mchana Mabina bila kibali cha mahakama alikuwa anapanda miti na kujenga msingi wa nyumba ndipo wanachi wakaenda kumhoji iweje anapanda miti na kuweka msingi kwenye viwanja hivyo ilhali kesi ipo mahakamani?

Mabina akaanza kutoa lugha chafu na kurusha risasi hewani.

Kwa mujibu wa Katibu wa CCM ndg Joyce Masunga (maarufu kama Maziwa Fresh) ni kweli kuwa tukio hili limetokea na tunaendelea kufuatilia kupata habari zaidi.

Kutoka kwa wanaomfahamu kwa karibu:

Quote By WABHEJASANAView Post
Clement Mabina:

- Alikuwa miongoni mwa watu ambao wamejijengea umaarufu mkubwa sana katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa hususani ndani ya ziwa Victoria!

- Ni miongoni mwa watu ambao walikuwa wakituhumiwa na ujambazi wa kutumia silaha hasa katika miaka ya 90!

- Ni miongoni mwa watu ambao wanadaiwa kuua wavuvi ndani ya Ziwa Victoria na kuwapora fedha na mali zao nyingine!

- Ni miongoni mwa watu wanaodaiwa kufanya mauaji ndani ya Ziwa yeye na wenzake kadhaa akiwemo DC na Diwani Mmoja!

- Kifo chake pengine ni malipo ya mauaji aliyokuwa akifanya dhidi ya raia wasiokuwa na hatia.

- Ni mtu ambaye alikuwa anaogopwa hadi na maofisa wa Jeshi la Polisi, alitumia vibaya sana madaraka yake ya uenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza!

- Alijaribu kupigana sana kwenye uchaguzi wa CCM mkoa mwaka huu, na ni miongoni mwa mambo yaliyomfanya achanganyikiwe!

PICHA kwa wasiomfahamu:


Clement Mabina akiwa na Rais Kikwete (enzi za uhai wake) CCM Kirumba katika sherehe za kutimiza miaka 35 ya kuzaliwa kwa CCMsherehe hizo za kutimiza miaka 35 ya kuzaliwa kwa CCM

Mwili wa Marehemu
HABARI NA PICHA NA JF

CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) KIMEAMUA KUWATOSA MAWAZIRI SABA WANAOTAJWA KUWA NI MIZIGO

$
0
0
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeamua kuwatosa mawaziri saba wanaotajwa kuwa ni mizigo kwa serikali inayoongozwa na chama hicho.

Hatua hiyo ya kuwatosa mawaziri hao waliohojiwa na Kamati Kuu (CC), iliyokutana juzi mkoani Dodoma, inalenga kukinusuru chama katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwaka 2015.
Mawaziri waliowekwa kwenye kikaango cha kung’olewa ni Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza; Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Shukuru Kawambwa; Waziri wa Utumishi, Celina Kombani na Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia.

Wengine ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Abdallah Kigoda; Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mathayo David Mathayo na Naibu Waziri wa Fedha, Saada Mkuya.

Tanzania Daima Jumapili, imedokezwa kuwa baadhi ya viongozi wa chama hicho wamekuwa wakitaka mawaziri wanaofanya vibaya kwenye wizara zao wawajibishwe kila mara ili kuiepusha serikali kuchukiwa na wananchi.

Inadaiwa wanataka utaratibu uliokuwa ukifanywa miaka ya nyuma na chama chini ya utawala wa Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere wa kuwaita mawaziri na kuwahoji kwenye vikao vya chama urejewe.

Hoja kubwa wanayoijenga ni kuwa chama ndicho kinachopata wakati mgumu katika chaguzi kwa sababu ya watendaji au mawaziri kutowajibika ipasavyo.

Inaelezwa kwa muda mrefu kumekuwa na mipango ya kuwaondoa mawaziri hao, lakini mazingira ya kuwaondoa ndiyo yamekuwa yakikosekana. Lakini hivi sasa mkakati umeshaiva.
Inadaiwa ziara za kuimarisha chama zilizofanywa na viongozi wa CCM katika mikoa ya Ruvuma, Mbeya, Njombe na Mtwara ndizo zimetumika kuandaa mashtaka ya mawaziri hao ambayo waliyajibu walipoitwa kujitetea.
Tanzania Daima Jumapili limedokezwa kuwa licha ya utetezi huo, Kamati Kuu imemtaka Rais Jakaya Kikwete apime hoja zilizotolewa na wajumbe wa CC kama mawaziri hao wanafaa kuendelea na nyadhifa zao.

Uamuzi wa CC

Kikao cha CC kilichoketi juzi, kimemtupia mzigo wa kuwang’oa mawaziri Rais Kikwete ambaye ndiye aliyewateua.

Akizungumza na waandishi wa habari, jana jijini Dar es Salaam, Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alisema CC imetoa mapendekezo kwa Rais Kikwete ambaye ndiye mwenye hatima ya mawaziri hao.

Alisema Rais Kikwete ni mamlaka ya uteuzi wa mawaziri na ndiye atakayeamua kuwaadabisha, kuwasukuma au kuwaondoa madarakani mawaziri mizigo.

“Aliyewaweka ndiye atakayewaondoa, Kamati Kuu haijamwabia awaondoe, inachokifanya ni kushauri tu. Lakini madaraka yote anayo rais aliyewachagua.

“Kwa mfano Waziri wa Chakula, Kilimo na Ushirika hajafika kwa muda wa miaka minne na nusu mkoani Ruvuma ambako ndiko kuna ghala la chakula…, tulipofika Tunduma tulikuta foleni pale mizani eti watumishi wanafanya kazi kwa saa 9, lakini sasa wamebadilisha utaratibu huo wanafanya kwa saa 24 baada ya sisi kwenda,” alisema.

Nape akiwa katika ziara ya siku 26 mikoa mbalimbali, aliwataja mawaziri hao ambao wamekuwa mizigo katika serikali ya Rais Kikwete na kumtaka awatimue.

Hata hivyo Waziri Chiza na Kawambwa walisema kuwa hawafanyi kazi kupitia majukwaa ya siasa na wanasubiri kuitwa na Kamati Kuu, ili waieleze wanavyofanya kazi.
Waziri Kawambwa, alijinasibu kwa kujifafanisha na mti wenye matunda ambao hauishi kupigwa mawe kila kukicha.
Waziri Chiza alimtaka Nape aache kukimbilia kuzungumza hadharani juu ya madai ya wakulima wa korosho na badala yake atafute sababu ya wakulima hao kutolipwa na serikali.
Mabadiliko ya mawaziri
Kama Rais Kikwete ataamua kulifanyia mabadiliko Baraza la Mawaziri itakuwa ni mara ya tatu, ambapo mwaka 2008, alilivunja kutokana na aliyekuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa kujiuzulu kuguswa na kashfa ya kuipa zabuni ya kuzalisha umeme wa dharura Kampuni ya Richmond.

Mabadiliko mengine aliyafanya Mei mwaka jana baada ya wabunge na wadau mbalimbali kushinikiza kuondolewa kwa mawaziri waliodaiwa kutowajibika ipasavyo.

Maagizo mengine ya CC

Kamati Kuu pia imeiagiza serikali iangalie upya upatikanaji wa pembejeo za ruzuku kwa wakulima wa pamba nchini.
“Chama kimeiagiza serikali kutowalazimisha wakulima kutumia mbegu ya Quiton badala yake elimu itumike zaidi badala ya nguvu,” alisema Nape.

Aliongeza kuwa CC imeitaka serikali kuangalia upya urasimu katika uwekezaji wa viwanda nchini hasa vinavyoongeza thamani ya mazao na kutoa ajira nchini.

Nape aliongeza kuwa kuhusu kilimo cha mkataba kwa wakulima wa pamba, serikali imetakiwa kuratibu utaratibu wake ikiwemo kutowalazimisha.

Kuhusu wakulima wa korosho, alisema kuwa kamati hiyo imeisisitiza serikali kujipanga kutatua tatizo la korosho na kuhakikisha inabanguliwa nchini.

“Serikali inatakiwa kuangalia upya orodha ndefu ya makato kwa wakulima, hasa wa korosho na vyama vya msingi au mamlaka zinginezo ili kuondoa makato yasiyo ya lazima na kuongeza kipato cha mkulima.

“Kuhusu pembejeo za ruzuku Kamati Kuu imepokea taarifa ya malalamiko ya wakulima juu ya ufanyaji kazi wa mbolea ya Minjingu na kuagiza wananchi wawe huru kutumia mbolea wanayoitaka badala ya kulazimishwa,” alisema.

Kwa upande wa wakulima wa mahindi, Nape alisema kuwa serikali imetakiwa kumalizia malipo yaliyobaki na kuhakikisha wanakomesha utaratibu wa kuwakopa wananchi mazao yao bila kuwalipa.

“Utaratibu uwekwe wa kufanya tathimini mapema ya mahitaji na uwezo wa kununua mahindi wa serikali ili kuepusha utaratibu wa kuchukua mahindi ya wakulima bila kuwalipa,” alisema.

Nape alisema kwa upande wa madai ya walimu, CC imeiagiza serikali kukamilisha uhakiki wa madai hayo na kuwalipa haki zao ikiwemo kuhakikisha madeni hayazaliwi tena.

Kamati hiyo pia imekemea watendaji wachache wanaojihusisha na ubadhirifu kwenye halmashauri mbalimbali nchini.

“Serikali imeshauriwa kuangalia upya sheria kama zinakidhi mahitaji ya wakati na mazingira ya sasa ili kuongeza uwezo wa udhibiti na kuokoa pesa za walipakodi zinazopotea kwa walafi wachache kwenye halmashauri mbalimbali nchini,” alisema Nape.

Source: Tanzania Daima

MASTAA KUFURIKA... DAR LIVE SIKU YA KRISMASI

$
0
0
 Wema Sepetu.
BURUDANI juu ya burudani! Mastaa mbalimbali wa filamu wanatarajiwa kufurika kwa wingi ndani ya Ukumbi wa Dar Live Mbagala-Zakhem jijini Dar, siku ya Krismasi katika tamasha maalumu lililopewa jina la Mtoko wa Mastaa, likiambatana na shoo ya nguvu yenye mchanganyiko wa Bongo Fleva, Hip Hop na Taarabu kutoka kwa wasanii nguli wa miondoko hiyo.

Siku hiyo, mashabiki watapata nafasi ya kupiga picha mbalimbali na mastaa hao sehemu tofautitofauti ikiwemo kwenye zuria jekundu (red carpet) pamoja na kubadilishana nao mawazo.
Akizungumzia shoo hiyo, Mratibu wa Burudani wa Ukumbi wa Dar Live, Abdallah Mrisho ‘Abby Cool’, alisema kwa upande wa muziki, wasanii watakaopanda stejini kuangusha shoo kali na ya kipekee ni pamoja na Profesa Jay, Joh Makini, huku Kassim Mganga ‘Tajiri wa Mahaba’, akitarajiwa kuangusha shoo kali kwa upande wa Bongo Fleva.
Jackline Wolper.
Aidha, Abby Cool alisema kwa upande wa Taarabu, mfalme wa nyimbo hizo za mwambao, Mzee Yusuf, atalipamba jukwaa kwa staili ya aina yake pamoja na Bendi ya Jahazi Modern Taarabu.

“Siku hiyo kutakuwa na mastaa mbalimbali wa filamu, ambapo mashabiki watapata fursa ya kupiga nao picha sehemu mbalimbali ikiwemo red carpet.

“Hakika itakuwa ni shoo ya aina yake. Kutakuwa na mchanganyiko wa Bongo Fleva, Hip Hop na Taarabu ili kuwaburudisha wadau na wapenzi wa burudani,” alisema Abby Cool.
Mbali na burudani hiyo, Abby Cool alisema kutakuwa na michezo mbalimbali kwa watoto kama kuogelea, bembea za kisasa kabisa pamoja na mazingaombwe kutoka kwa mtaalamu Profesa Karabash.

KUFURU, NDEGE YA WATU 150, MALKIA WA NYUKI APANDA PEKE YAKE

$
0
0
MLEZI wa Simba, Rahma Al Kharoosi, ametua jijini Dar es Salaam akiwa kwenye ndege kubwa yenye uwezo wa kubeba watu 150, lakini yeye akiwa ndiye abiria pekee ndani ya ndege hiyo.
 
Rahma, maarufu kama Malkia wa Nyuki, ametua na ndege hiyo aina ya Airbus 320 inayomilikiwa na Serikali ya Oman na anaitumia yeye kupitia cheo chake cha Balozi wa Heshima wa Oman nchini Morocco.
 
Ndege hiyo ilikuwa imebeba watu 17, kati ya hao 16 ni wafanyakazi ndani ya ndege ambao ni daktari mmoja, walinzi wanne, waliobaki ni marubani na wahudumu.
 
Akizungumza dakika chache kabla ya kuondoka nchini jana, saa 10 alfajiri, Malkia wa Nyuki alisema alishuka nchini kwa ajili ya mapumziko ya siku moja, pia kuzungumza na baadhi ya viongozi wa Simba.
“Nimepita tu, tumepumzika kidogo hapa na baada ya hapo ninakwenda Comoro kwa ajili ya kuzungumza na kumchukua Rais wa Comoro.
 
“Lakini wakati wa mapumziko, nimepata nafasi ya kuzungumza na baadhi ya viongozi wa Simba kuhusiana na mwenendo wa timu kwa hivi sasa.
 
“Kwa sasa namaliza majukumu yangu kikazi halafu nitarudi tena safari nyingine nchini kwa ajili ya kuendelea na mazungumzo na viongozi wenzangu wa Simba ili tujue tunaweza kufanya nini kuendelea kurekebisha mambo,” alisema.

Kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Malkia wa Nyuki alisindikizwa na mwanaye Fatma, maarufu kama Nyuki Mtoto na watu wengine wawili.
Baada tu ya yeye kupanda ngazi za ndege hiyo, walinzi na wafanyakazi waliokuwa nje ya ndege hiyo nao waliingia na ikaanza safari kwenda Comoro.

VILLAS-BOAS WA TOTTENHAM ATIMULIWA

$
0
0
KOCHA wa Tottenham Hotspur ya Uingereza, Andre Villas-Boas, amefukuzwa kazi jana kwa kile klabu ilichosema “kwa niaba ya maslahi ya pande zote mbili”  na ambapo mwenyekiti wa klabu hiyo, Levy, anaaminika atamtaja kocha mpya hivi karibuni.

Andre Villas-Boas amefukuzwa baada ya kipigo kutoka Liverpool cha magoli 5-0 kilichofanyika katika dimba la White Hart Lane.

UNIC YAFANYA MAFUNZO YENYE TIJA YA UJASIRIMALI PEMBA‏

$
0
0
DSC_0181
Mshehereshaji Bw. Salum Msellem kutoka Istiqama Radio akitambulisha meza kuu kwa washiriki wa mafunzo ya Ujasiriamali ya siku moja kwa Vijana Visiwani Pemba yaliyofanyika mwishoni mwa juma kwenye ukumbi wa Shule ya Sekondari Madungu.
DSC_0240
Mratibu wa YUNA kisiwani Pemba, Bw. Mohammed Ali, akisoma taarifa ya maendeleo ya vilabu vya Umoja wa Mataifa visiwani humo na changamoto zinazowakabili kwa walezi wa vilabu hivyo.
.Vijana waaswa kujikita katika ujasirimali ili kuondokana na umaskini
Na Mwandishi Wetu
Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), kilifanya mafunzo yenye tija ya ujasirimali kwa vijana katika Mji wa Pemba visiwani, Zanzibar na kupata washiriki wenye kiu ya kutaka kujiajiri na kuondokana na umasikini hapa nchini.
Akizungumza kwenye uzinduzi rasmi wa mafunzo hayo ya siku moja ya ujasirimali kwa vijana hivi karibuni Mjini Pemba, Afisa Habari wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama amesema Umoja wa Mataifa tangu mwaka 2000 walizindua malengo ya milenia ili kusaidia nchi zinazoendelea kuondokana na umaskini.
“malengo manane ya milenia ni pamoja na Afya ya Uzazi kwa kinamama, Elimu, kuondoa umaskini na mambo ya mazingira vile vile kusaidia mikakati mbalimbali ya nchi hizo katika utekelezaji wake mpaka kufikia mwaka 2015,” amesema Bi. Ledama.
DSC_0265
Afisa Vijana - Mshauri kutoka WIZARA ya Ustawi wa Jamii na Maendeleo ya Vijana, Wanawake na Watoto, Bi. Stara Salim akizungumzia jitihadi za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar katika kuwawezesha Vijana kupata mikopo kupitia asasi mbalimbali za fedha ili waweze kujikwamua kimaisha na kuondokana na lindi la umaskini visiwani Pemba.
Amesema kwamba kazi kuu ya Umoja wa Mataifa na taasisi zake ni kusaidia Serikali mbalimbali katika nchi zinazoendelea kufanikisha mikakati na utekelezeji wa malengo ya milenia ikiwemo dhana ya kupunguza umaskini.
Bi.Ledama alilisitiza kwamba katika utekelezaji huo Umoja wa Mataifa inasaidia mikakati hiyo ya kuondoa umaskini kwa kuandaa program mablimbali na kufanya mafunzo ya ujasirimali kwa vijana ili waweze kujiajiri na kuondokana na umasikini.
“Serikali pekee haiwezi kutoa ajira kwa watu wote kwa sababu nafasi ni chache na mahitaji ni makubwa kwa hiyo ndugu zangu kujiajiri na kuajiri wengine katika sekta binafsi kupitia ujasirimali ni nafasi pekee ya kuondokana na umaskini,” aliongeza.
Amesema kwamba asilimia 43 ya wakaazi wa Zanzibar ni vijana kwa hiyo kuna umuhimu mkubwa kwa Umoja wa Mataifa na sekta binafsi kuhamasisha ujasirimali kama njia pekee ya kujiajiri na kuondokana na umaskini wa kipato na wa jumla.
DSC_0278
Afisa Habari wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumzia lengo la kuendesha mafunzo ya Ujasiriamali kwa watu walio nje ya shule ikiwa ni moja ya agenda ya kutekeleza malengo ya milenia ya kupunguza umaskini kwa nchi zinazoendelea.
Bi. Ledama amesema sekta binafsi kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo wanaweza kupunguza tatizo la ajira kwa kusisitiza ujasirimali zaidi katika maeneo mbalimbali ya Bara na Visiwani.
“Haya ni mafunzo ya pili kufanyika bara na visiwani yenye kutoa mafunzo yenye tija juu ya ujasirimali na faida zake katika kupunguza na kupambana umasikini kwenye nchi zinazoendelea,” aliongeza.
Amesema kwamba Shirika la Kazi Duniani (ILO) wana kitengo maalum cha mambo kujenga uwezo kwa vijana na mafunzo ya ujasirimali yenye lengo la kuondoa umasikini miongoni mwa vijana nchini Tanzania.
DSC_0377
Mkufunzi wa mafunzo ya Ujasiriamali kupitia Program ya kazi Nje nje inayolenga kuelemisha Vijana stadi za Ujasiriamali iliyoasisiwa na Shirika la Kazi Duniani (ILO) Bi. Mwanapili Hamad akitoa mada kuhusu dhana nzima ya uongozi katika biashara (Business Management) kwa wajasiriamali Vijana visiwani Pemba ili waweze kuboresha kipato chao.
DSC_0220
Picha juu na chini ni sehemu ya washiriki wa mafunzo ya Ujasiriamali ya siku moja yaliyoratibiwa na Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC).
DSC_0354
DSC_0228
DSC_0466
Mjasiriamali mwenye kipaji cha kuchora ramani za majengo, kutengeneza sampuli za nyumba kwa kutumia maboksi Bw.Steven Timothy Mihale kutoka Temeke Youth Development Network (TEYODEN) akionyesha moja ya kazi zake kwa wajasiriamali wenzake ambayo inampatia kipato na kuweza kuendesha maisha yake.
Bw. Steven Mihale aliwapa moyo wajasiriamali wenzake na kuwataka kuwa na uthubutu na kutokata tamaa mapema.
DSC_0486
Vijana wajasiriamali wakiangalia kazi ya Mjasiriali mwenzao.
DSC_0388
Mmoja wa washiriki wa mafunzo hayo akiuliza swali kwa wakufunzi wa mafunzo ya Ujasiriamali yaliyoratibiwa na Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC).
DSC_0498
Mkufunzi wa mafunzo ya Ujasiriamali Bi. Mgeni Salum akitoa somo la namna ya kuhifadhi hesabu za mauzo na kujua kama biashara ina faida au hasara sanjari na kupata mikopo kupitia taasisi za kifedha.
DSC_0391
Mratibu wa YUNA kisiwani Pemba, Bw. Mohammed Ali akiteta jambo Mkutubi wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC) Bi. Harriet Macha (katikati) wakati wa mafunzo ya Ujasiriamali kwa vijana visiwani Pemba yaliyofanyika kwenye ukumbi wa shule ya Sekondari Madungu.
DSC_0524
Afisa Habari wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama, akifunga mafunzo ya siku moja ya wajasiriamali Visiwani Pemba yaliyoratibiwa na kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC).

PICHA: AZAM TV YAZINDULIWA RASMI SIKU YA JANA

$
0
0
 Mmoja wa watoa huduma kwa wateja akiwa tayari kuwahudumia wateja.
 Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Azam Media, Yusuf Bakhresa (kushoto) akifungua rasmi Azam Tv  mbele ya Mtendaji Mkuu wa Azam Media Rhys Torrington. 
PICHA ZOTE NA 2JIACHIE, DAR
 Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Azam Media, Yusuf Bakhresa
 Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Azam Media, Yusuf Bakhresa ( KUSHOTO) na wasanii wa Bongo movies.
 Wasanii mbalimbali wa Filamu nchini nao walikuwepo kwenye shamrashamra hizo za ufunguzi wa Azam Tv.
 Wateja wakipata huduma muda mfupi baada ya ufunguzi.
Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Azam Media, Yusuf Bakhresa akiongea na wana habari siku ya jana.
PICHA ZOTE NA 2JIACHIE, DAR

BILIONEA DAR AJIUA KWA RISASI

$
0
0
NI jambo lililotoa mshtuko kwa Jeshi la Polisi Wilaya ya Kisarawe, mkoani Pwani ambapo Desemba 10, mwaka huu, walikuta mwili wa binadamu ukiwa ndani ya gari lililopinduka, pembeni mwa Barabara ya Kisarawe - Mwaneromango.

Mbali na mwili, ndani ya gari hilo aina ya Toyota RAV 4 (milango mitatu new model) lenye namba za usajili T 273 AKP kulikutwa bastola moja, risasi 85 na magazini mbili.

Utata ukaanzia hapo, polisi wa wilaya hiyo wakiongozwa na mkuu wao (aliomba jina lisitiriwe kwa sababu si msemaji) wakajiuliza ni nani mtu huyo ambaye alikuwa amefariki dunia? Kumbe alikuwa Suleiman Muhema (42), bilionea kijana mkazi wa jijini Dar es Salaam.

polisi waliuchukua mwili wake na kwenda kuuhifadhi katika Hospitali ya Wilaya mpaka ndugu walipokwenda kuuchukua kwa mazishi.

SULEIMAN MUHEMA NI NANI?
Suleiman Muhema ni mkazi wa jijini Dar, amejenga jumba la kifahari Kijitonyama ambako aliishi na mke wake, Zihji Mvungi (42).

Mpaka kifo chake alikuwa mfanyabiashara wa magari kutoka Japan akiyauza Dar, pia alikuwa na kampuni ya usafirishaji, sifa zote kwa pamoja zinamfanya aitwe bilionea.

MAISHA SIKU CHACHE KABLA YA KIFO
Habari zinadai kuwa, marehemu alikuwa ndani ya mgogoro wa kifedha na mtu ambaye hakutajwa jina lakini ni wa karibu naye.
Inadaiwa kuwa, mgogoro huo ni wa muda mrefu na ulikuwa ukisuluhishwa na Dawati la Jinsia, Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Dar.

SIKU YA TUKIO
Siku ya tukio inadaiwa marehemu alikuwa Magomeni na watu (idadi yao haikujulikana). Baada ya hapo aliondoka  kwenda kusikojulikana lakini baadaye alimpigia  simu ndugu wa karibu na kumwambia kuwa yuko mahali (hakupataja) ametekwa na sauti anayoitoa inaweza kuwa ya mwisho kisha akakata simu.

MAELEZO YA POLISI SASA
Kwa mujibu wa chanzo chetu ndani ya Jeshi la Polisi Wilaya ya Kisarawe, Desemba 10, mwaka huu,  usiku wa saa nane,  marehemu alionekana akiwa ndani ya gari jeusi umbali wa kilomita saba kutoka Kisarawe Mjini lakini aliondoka baada ya kuliona gari la ‘patroo’ ya polisi.

Chanzo hicho kikasema kuwa dakika chache mbele polisi waliokuwa katika shughuli za ulinzi usiku huo waliliona gari hilo likienda pembezoni mwa barabara na kupinduka.

“Tulilifuatilia, tukalikuta limepinduka, ndani ya gari tulimkuta mtu amekufa kwa kujipiga risasi kwani sehemu ya kidevuni na kwenye utosi kulikuwa na tundu la risasi,” kilisema chanzo hicho.

MAREHEMU ALIDHANIWA MHALIFU
Habari zinasema katika upekuzi wa awali ambapo polisi walimkuta marehemu akiwa na bastola, risasi 85 na  magazini mbili walidhani alikuwa mhalifu aliyetaka kutekeleza uhalifu mahali ndani ya walaya hiyo.

NDUGU WA MAREHEMU WANA NENO
Kwa upande wao ndugu wa marehemu ambao waliomba majina yao yawekwe pembeni, walisema kuna mkanganyiko mkubwa kuhusu kifo cha ndugu yao huyo kwa sababu hata kifo chake hawakielewielewi.
Akizungumza kwa hisia ya uchungu, ndugu mmoja alisema katika maisha ya jijini Dar, yeye ndiye baba wa marehemu lakini hakuna alichojua toka kifo hadi kuzikwa.

Alisema hata mazishi ya marehemu alishtukizwa  kwamba anazikwa siku hiyo jambo lililompa wakati mgumu kufikiria.
 “Sisi kama ndugu wa marehemu, tulipenda akazikwe nyumbani, Makete   (Njombe), lakini ghafla tukaambiwa anazikwa hapahapa Dar tena siku hiyohiyo tuliyopewa taarifa,” alisema ndugu huyo.

MKE WA MAREHEMU NAYE
Kwa upande wake mke wa marehemu Zihji alipoulizwa na mapaparazi wetu juzi kuhusu sakata la kifo cha mumewe alijibu kuwa kila mtu anaweza kuongea jambo lolote.

Aliongeza kusema anachojua yeye ni kwamba kifo cha mumewe kilitokea kama ambavyo mtu mwingine angeweza kufa.

KAMANDA WA POLISI ANASEMAJE?
Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, ACP Ulrich Matei amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa marehemu alikutwa akiwa na jeraha la risasi moja hali ambayo ilionesha alijipiga risasi mwenyewe pengine kutokana na mambo yaliyokuwa yakimsonga kichwani.

BILIONEA AZIKWA DAR
Marehemu Muhema alizikwa Desemba 11, mwaka huu kwenye Makaburi ya Sinza jijini Dar. Ameacha mke na watoto watatu wa kike. Mungu ailaze pema peponi roho yake. Amina.

MASWALI TATA
Kifo cha Muhema kina maswali tata mengi. Kwanza, kama kweli alipanga kujiua kwanini alikwenda mbali na Jiji la Dar es Salaam?

Pili, kwa nini damu ndani ya gari ilikuwa kidogo wakati uzoefu unaonesha kuwa, mtu anayepigwa risasi ndani ya gari huacha damu nyingi?

Tatu, ndugu mmoja wa marehemu alikiri kuwa, Muhema alinunua bastola mwaka huu ili kujilinda, sawa kabisa. Je, kwa nini akutwe na risasi nyingi kiasi hicho kama alikuwa anakwenda kufanya uhalifu?

Nne, ilidaiwa alimpigia simu ndugu mmoja akidai ametekwa na huenda asisikike tena. Polisi walikuta simu kwenye gari lake, kwa nini waseme alijipiga risasi mwenyewe?

CREDIT: GPL

TASWIRA ZA KIJIJI CHA QUNU ALIKOZIKWA MZEE NELSO MANDELA JUMAPILI DESEMBA 15, 201‏3

$
0
0
Qunu ni kijiji kidogo katika jimbo la Eastern Cape la Afrika Kusini, kilomita 32 Kusini-Magharibi ya mji wa Mthatha, katika barabara ya Butterworth na Mthata. 
Kijiji cha Mvezo, pembezoni mwa mto Mbashe, ni jirani ya mahali ambapo Mzee Nelson Mandela alizaliwa. Hapo Qunu ndipo alipokulia na aliweka nadhiri ya kurejea. 
Kijiji cha Qunu ndipo baba yake Mandela alipohamia baada ya kuvuliwa Uchifu wa Mvezo. Katika kitabu chake cha ‘Long Walk to Freedom’ Mzee Mandela amekitaja kijiji hicho kuwa ndipo alipoishi maisha ya furaha wakati wa utotoni. 
Jumapili ya Desemba 15, 2013 Mzee Mandela alizikwa kijijini Qunu katika mazishi ya Kitaifa yaliyoshuhudiwa dunia nzima. Alizikwa kwa heshima zote za kiongozi wa Taifa katika sehemu aliyochagua mwenyewe kuwa nyumba yake ya milele.
 Daraja la waendao kwa miguu likipita juu ya barabara mpya ya lami inayojengwa kuelekea kijijini Qunu.
Siku ya mazishi barabara ya kuelekea Qunu ilifungwa na ni magari yaliyokuwa na kibali tu ndiyo yaliyoruhusiwa kupita
Ulinzi ulikuwa mkali kila sehemu kijijini Qunu
Wageni wakiwa katika geti kuu la nyumba ya Mzee Mandela hapo Qunu
Nyumba ya Mzee Mandela
Nyumbani kwa Madiba kijijini Qunu
Hema maalumu zilikofanyika shuguli zote za mazishi. Kaburi lake liko nje ya hema upande wa kushoto
Hali ilivyokuwa saa kumi na moja alfajiri siku ya Jumapili
Nyumbani kwa Madiba kumejaa magari hata kabla ya jua kupanda angani
Sehemu ya kijiji cha Qunu. Mahema mbele ya nyumba ni ya wanahabari wa kimataifa waliopiga kambi hapo
Mandhari ya Qunu
Mandhari ya Qunu
Ni kijiji chenye mandhari nzuri. Wakati wa majira ya baridi barafu huanguka hapa
Qunu
Kila engo Qunu inapendeza
Kijiji cha Qunu
Bango linalotangaza kijiji cha Qunu kuwa cha urithi
Ulinzi ulikuwa si wa kawaida siku ya mazishi
Foleni ilikuwa ya kufa mtu
Wana Afrika Kusini toka kila kona walitembea umbali mrefu kwa miguu kuhudhuria mazishi
Nyimbo na ngoma vilitawala
Mdau aklipoza koo baada ya kutembea kwa muda mrefu
Sehemu ya mji wa Mthatha, kilomita kama 32 kutoka Qunu
Magari yalizuiwa kwa muda wakati mwili wa Mzee Madiba uliopowasili uwanja wa Mthatha na kupelekwa Qunu
Sehemu ya foleni ya magari ikikaribia mji wa Mthatha na hapa wakisubiri msafara wa mwili wa Mzee Mandela upite

PICHA KALI NA MPYA ZA MASTAA WA BONGO, ZIPITIE HAPA


MASKINI WEMA JEURI YA FEDHA KWISHA

$
0
0
Wema Isaac Sepetu.
Stori: Oscar Ndauka na Richard Manyota/GPL
NI kweli hakuna marefu yasiyokuwa na ncha? Kama ni kweli, basi ile jeuri ya fedha ya Miss Tanzania mwaka 2006 ambaye pia hufanya vyema kwenye gemu la sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu inadaiwa imefikia nchani,

Baadhi ya magari anayomiliki Wema.
Kwa mujibu wa chanzo makini, hali ya kifedha ya staa huyo si nzuri kiasi kwamba kwa sasa amekuwa mtu wa kushinda ndani kwa kuwa hana mpunga unaomuwezesha kwenda kujirusha kama zamani.

SABABU NI NINI HASA?
Chanzo kilidai kwamba, binadamu aliyekuwa akimmwagia manoti staa huyo aliyetajwa kwa jina moja la Clement ambaye ni mwajiriwa wa Ikulu jijini Dar, yu hoi kwa kipato baada ya kunyofolewa kwenye kitengo kilichokuwa na uwezeshaji mwingi wa fedha.
Wema akiwa ofisini kwake.
Inadaiwa kuwa, baada ya Clement ambaye ni mume wa mtu, kuondolewa kwenye kitengo hicho amepelekwa sehemu nyingine ambayo mchana kutwa ni kupiga miayo mpaka muda wa kutoka kazini.

MKONO WA MKEWE WATAJWA
Katika madai hayo, inasemekana mke wa Clement (jina tunalo) ana mkono wa kile kilichompata mumewe, kuondolewa kwenye kitengo chenye ulaji na pia amekuwa akiwawinda wawili hao ili awafanyie fumanizi kwa sababu Clement ni mumewe wa ndoa.
Wema akiwa ndani ya nyumba aliyodai yake.
KILICHOTOKEA SASA
Chanzo kikaendelea: “Baada ya kuondolewa kwenye sehemu yenye fedha na kutupwa kwenye ukame, jamaa akaanza kupata tabu kwani fedha alizokuwa akimpa Wema zamani zikawa hazipo.
“Hilo likamwathiri na Wema mwenyewe kwani ile jeuri mliyokuwa mnamuona nayo akiifanya kwa rungu la fedha, mara sherehe, mara kumlipia Kajala (Masanja) makahamani (Kisutu), mara kwenda baa na wapambe imekatika ghafla.
“Siku hizi Wema ndani na yeye, yeye na ndani. Naamini hata mkienda kwake muda huu (juzi Jumatatu saa 5 asubuhi) mtamkuta.”

INADAIWA AMEUZA MAGARI MAWILI
Habari zaidi kutoka chanzo hicho, hali ilipozidi kubana sana, Wema aliamua kuuza magari mawili kati ya matatu anayomiliki ili apate fedha za kuendelea kujikimu katika maisha ya kila siku.
Magari hayo mawili yanasemekana ni Toyota Mark II GX 110 na Toyota Harrier na kubakiwa na Audi Q7.

YALIYOMPATA CLEMENT
Habari zinazidi kudai kwamba hali ikazidi kuwa mbaya kwa Clement kiasi kwamba alijikuta akikabwa koo na benki moja ya jijini Dar es Salaam ambayo aliiomba mkopo wa Shilingi mil. 120 akitumia hati ya nyumba ambayo pia si yake.
Benki hiyo ilipozidi kumbana, mkewe (sasa wametengana) ambaye naye anadaiwa kuwa ‘mzuri’ kwenye fedha alikwenda kulipa fedha hizo benki ili nyumba ya watu isinadiwe na benki hiyo iliyokuwa haitaki mambo ya utani kwenye marejesho.
Madai mengine ambayo hayajathibitishwa yanasema kuwa, mtikisiko huo wa kifedha kwa Clement umesababisha awe ‘choka mbaya’ kiasi cha sasa kuanza kupiga mizinga kwa rafiki zake.

WEMA ASAKWA ASEME UKWELI WAKE
Baada ya kupokea ishu hiyo, Risasi Mchanganyiko liliamua kumsaka Wema ili aseme lolote kuhusiana na tuhuma hizo.
Saa 4:32 Wema alipigiwa simu yake ya mkononi ambayo iliita kwa muda mrefu bila kupokelewa hata pale iliporudiwa tena na tena.
Baada ya jitihada hizo kugonga mwamba, gazeti hili liliamua kumwendea hewani meneja wake Martin Kadinda ambaye naye hakupokea simu licha ya kupigiwa zaidi ya mara tatu.
Risasi Mchanganyiko halikukata tamaa, kwani ni haki ya msingi kwa Wema kuongelea suala hilo. Likampigia msaidizi wake wa karibu anayeitwa Pat Man, yeye alipokea, akaulizwa kuhusu bosi wake huyo, akasema:
“Wema anaumwa (hakutaja ugonjwa), ametoka hospitali sasa hivi  (hakusema hospitali gani) yuko nyumbani.”
Mapaparazi wetu wakafunga safari kutoka Bamaga – Mwenge, Dar yalipo Makao Makuu ya Nyumba ya Magazeti Pendwa Bongo, Global Publishers hadi nyumbani kwa Wema - Makumbusho (lakini ni Kijitonyama).
Getini alikutwa mlinzi mahiri kwa mwonekano ambapo alipoombwa kumwita Wema au kumwambia kuna waandishi wa Global wapo nje, alisema:
“Mh! Kwa kweli si rahisi kutoka, amelala anaumwa... alikwenda hospitali amerudi muda si mrefu.”
Alipochombezwa kwa maneno ya ‘kisiasa’ kwamba awaambie wasaidizi wake wa ndani wakamwamshe, alikataa akisema litazuka timbwili ambalo yeye hakuwa tayari kuliona.
“Bosi akilala huwa hapendi kuamshwa, hasa kama hayuko sawa. Watu wanaomwamsha ni wale wenye ahadi naye,” alisema mlinzi huyo.

WEMA ATUMIWA MESEJI
Baada ya kuondoka nyumbani kwa Wema, Risasi Mchanganyiko lilimtumia ujumbe mfupi (SMS) ‘mreeefu’ wenye madai yote na ikaonesha ‘delivered’ kwenye simu ya Wema, lakini pia haikujibiwa.

TUNARUDI KWA CLEMENT  
Simu yake haikuwa ikipatikana hewani alipopigiwa ili na yeye apewe nafasi ya kusema lolote kuhusu sakata hilo.

MKE WA CLEMENT AVUNJA UKIMYA
Risasi Mchanganyiko liliamua kumsaka kwa simu ya mkononi mke wa Clement ambapo alipopokea na kusomewa mashitaka ya mumewe na nafasi yake kama shahidi muhimu alikiri hali ya jamaa kuwa tete kimfuko.
“Kuhusu hilo la nyumba ni kweli ilikuwa inadaiwa na benki (aliitaja jina) na walitaka kuinadi ili wapate fedha zao, lakini nikaingilia kati ili kulinda heshima ya familia.
“Unajua ile nyumba kuna mtu alituuzia, kwa hiyo Clement alitoa kiasi cha fedha lakini hakumalizia na akatumia hati ya nyumba kwenda kuombea huo mkopo. Kwa sababu benki walikuja juu nilitafuta mtu akainunua, kiasi cha fedha nikammalizia aliyetuuzia na kulipa benki,” alisema mwanamke huyo.

KUHUSU KUMFANYIA FITINA MUME AKAHAMISHWA KITENGO
Huyu hapa mke wa Clement: “Hilo si kweli bwana. Kwanza mimi ndiyo nilimfikisha pale alipofika. Sasa mtu nimuinue mwenyewe nitamfanyiaje fitina?
“Kwanza mimi siko naye siku hizi. Nilipoona anachukua magari ya nyumbani na kuyapeleka huko kwa nani sijui (Wema) nikaamua kukaa pembeni na kunyamaza kimya.
“Kama ni mabalaa anayapata hukohuko aliko, nisisingiziwe mimi kwa lolote lile.”
KUHUSU KUMWANDALIA FUMANIZI WEMA
“Aaa wapi! Nimwandalie fumanizi la nini? Yeye ana maisha yake mengine mimi niko na mambo yangu, muda huo sina kabisa, yaani niko bize sana,” alisema mwanamke huyo huku akidai muda huo alikuwa akidraivu.

PRODYUZA WA WEMA ALIJUA HILI?
Wiki mbili zilizopita, gazeti damu moja na hili, Ijumaa Wikienda liliandika katika ukurasa wake wa mbele habari yenye kichwa; MAGARI YA WEMA YAGEUZWA GESTI.
Katika habari hiyo, Wema alidaiwa kumtimua kazi prodyuza wake katika Kampuni ya Endless Fame, Rashid Mohammed ‘Chid Classic’ kwa sababu ya kumtuhumu kufanya ufuska kwenye magari yake maeneo ya Ufukwe wa Coco, Dar.
Siku chache mbele, prodyuza huyo alifunguka katika gazeti lingine pendwa ndani ya mjengo, Amani kuwa, Wema ‘amechoka’ siku hizi, halipi mishahara wafanyakazi wake na alitaka yeye awe kuwadi ndiyo wangeendana jambo ambalo yeye hakuwa tayari.
Baadhi ya habari zilizowahi kuandikwa na magazeti ya GPL kuhusu jeuri ya fedha ya Wema.
HABARI NYINGINE YA MJINI
Yapo madai kuwa, kutokana na maswahibu hayo ya kuwa kwenye wakati mgumu kifedha, kampuni yake imeanza kudoda na mbaya zaidi, marafiki zake anaokuwa nao kwenye raha, wamemkacha na kumwacha akihangaika mwenyewe.
“Msiniandike gazetini lakini ukweli ni kuwa, huu ndiyo wakati wake wa kujifunza kuchagua marafiki. Ona sasa, wale wote aliokuwa akila nao raha, wamekaa pembeni. Ni tatizo sawa, lakini pia ni funzo kwa upande mwingine,” alisema mpambe mmoja anayefanya naye kazi kwa karibu sana.
CREDIT: GPL

POSHO KWA WAWAKILISHI WA WANANCHI NI KIKWAZO CHA MAENDELEO YA TAIFA‏

$
0
0
Na.Mhariri wa MOblog
Ingawaje Tanzania inaitwa nchi masikini pamoja na kwamba wahisani na wadau wa maendeleo wanasema ni nchi inayoendelea lakini kwa ujumla na kwa yeyote anayeijua nchi yetu kwa maana ya hali ya maisha ya wananchi wake, ni jambo la hatari kwa kikundi kidogo cha watu waliokalia ofisi za umma na kujipangia utaratibu fulani wa kujinufaisha.

Kikundi hiki kidogo tena kilichochaguliwa na wananchi kama wawakilishi wao (wabunge) na ndio watunga sheria kujinufaisha kwa jasho la walipa kodi kwa kisingizio cha sheria ambazo wametunga wao wenyewe kwa kujipendelea.

Ni aibu zaidi kusikia kwamba wabunge wengi na hata baadhi ya mawaziri kukejeli juhudi binafsi za baadhi ya wabunge wa Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania wenye kuogopa kodi za wananchi na kutaka mabilioni hayo kuelekezwa katika miradi ya maendeleo ya wananchi kwa maslahi mapana ya taifa.

Tumeamua kusema hayo bila kuficha kwamba ni muhimu kwa Serikali pamoja na Bunge kufikiri upya mtindo huu wa kifisadi wa kulipana posho ya kukaa (Sitting Allowance) wakati wana mishahara mikubwa kuzidi wafanyakazi wenye kufanya kazi usiku na mchana kama vile madaktari wanaosubiri kulipwa posho ya (overtime) ya shilingi elfu kumi ambayo hukaa hadi miezi mitatu mpaka sita haijalipwa.

Tunasema na kusisitiza kuwa ujira wa vikao ambavyo ni kazi halali za ubunge ni mshahara na si posho! Posho ni wizi wa fedha za umma mchana kweupe kwa sababu kazi ya Mbunge ni uwakilishi na pale anapokaa kwenye vikao vya bunge na kamati mbalimbali anatimiza wajibu wake kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi iweje alipwe Posho?

Mwaka juzi kwenda mwaka jana 2011/2012 Serikali ililiomba Bunge kupitisha sh bilioni 987 kwa ajili ya psoho mbalimbali za watumishi wa Serikali wakiwamo wabunge. Hii ni hatari kwa mustakabali wa taifa changa kama Tanzania.

Huu ni kweli kwamba mabilioni ya shilingi zikiwa ni kodi za wananchi kila mwaka wa fedha yanatengwa kwa ajili ya posho tu, na hata mwaka jana Benki ya Dunia na wahisani wa maendeleo walihoji uwepo wa posho za kukaa kwa watumishi wa serikali na wabunge lakini bado tatizo hili la kuzoea posho linaitafuna nchi yetu bila huruma.

Serikali kupitia wizara ya fedha mwaka 2011/2012 iliahidi kwamba posho ambazo hazina tija zitaondolewa kauli iliyoonekana kama mwanzo wa mageuzi ya kweli, lakini leo asubuhi niliposikia kipindi cha tuongee magazeti juu ya Wabunge kutafuna posho ovyo wote wa chama tawala na upinzani ni ishara kwamba serikali ilitaka kauli ile ieleweke kinyume nyume.
Gazeti la kila wiki la Raia Mwema limeongoza leo na habari za wabunge kutafuna posho hovyo hovyo na Mbunge kijana Joshua Nasari amekiri kwamba alichukua posho ya kwenda safari Malaysia lakini ikatokea dharula ya Harambee jimboni kwake akaona ni busara kujumuika na wananchi wake bravo kwake.

Bila kutafuna maneno Tanzania ni nchi maskini, kwani kipato cha mwaka cha mwananchi wa kawaida ni Sh 770,463 hivi, wastani wa kama Sh 2,140 kwa siku, kwa mantiki hiyo Mtanzania wa kawaida kuishi katika maisha ya leo kwa kipato hiko ni kwa kudra za mwenyezi mungu kama si rushwa dogo dogo zinazomwezesha kumaliza mwaka.

Lakini wakati wananchi walio wengi wakiishi katika umaskini wa kutupa, wapo watu waliaomua kusaka nafasi za uongozi katika nchi hii si kwa nia ya kusaidiana na wananchi kutokomeza umaskini ulioelemea taifa hili, ila kujitenga nao kwa kutengeneza utaratibu mbaya na kandamizi wa kujilipa mafao manono kama hizi zinazoitwa posho za vikao za wabunge.

Kwa maelezo yoyote yale, posho hizi si halali hasa zinapolipwa na taifa maskini kama Tanzania ambalo haliwezi hata kujitegemea kwa kuwa na bajeti yake walau kwa mwaka mmoja tu bila kutembeza bakuli kwa wafadhili ili kufanikisha miradi mbalimbali ya maendeleo.

Kwa mtanzania yeyote makini atakubaliana nasi kwamba walioweka utaratibu huu ama walipotea njia kwa ama walitanguliza mbele maslahi binafsi lakini wananchi wameamka na wanajua kinachoendelea na wanawasubiri 2015 kwenye uchaguzi watawaita wabunge wa posho na vitambi vya posho kama si mchemsho na kiti moto na bia kaeni chonjo uchaguzi unakuja!

Na kuna taarifa za kutisha kwamba siku hizi hata kazi ambazo ni wajibu wa watumishi wa umma kuzifanya watu hawafanyi mpaka kuwepo na posho (Bahasha) yaani ofisa wa serikali kukaa kwenye kikao cha kazi ambayo ni wajibu wake, anadai mshiko tumekwisha!
Kwa utaratibu huu watanzania itatuchukua muda mrefu mpaka kuja kupata maendeleo ya kweli na hakuna jambo lolote linalokwamisha uwezo wa serikali kutimiza wajibu wake zaidi ya maposho yasiyo kuwa na kichwa wala miguu ndugu zangu tukafanye kazi tuliotumwa na wananchi tuache rongo rongo za posho zisizo kuwa na tija kwa maslahi ya vizazi vya sasa na vijavyo.
Naomba kuwasilisha !
Damas Makangale
Mhariri Mkuu

MWANAMUZIKI WA BONGO FLEVA, REMMY WILLIAMS ATUA NCHINI

$
0
0
 
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Remmy Williams akiwa na maua baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea nchini Italia.
 
Remmy (kushoto) akiwa na meneja wake wa nchini Italia, Wactor Fizio, walipowasili nchini.
 
Remmy Williams (katikati) akilakiwa na baadhi ya warembo waliojitokeza kumpokea uwanjani.
 
Remmy Williams akiwa ameshikwa mkono na meneja wake wa Tanzania, Mcdennis Mgatha.
MSANII wa Muziki wa Bongo Fleva, Remmy Williams, anayefanya shughuli zake nchini Italia jana ametua jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanya kazi na wasanii wenzake hapa nchini.
Akizungumzia ujio wake mara baada ya kutua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar, alisema kuwa anawapenda wasanii wote wa Tanzania wanavyofanya vema nchini na kazi zao nyingi zinavuka mipaka kwa ajili ya kujitangaza kimataifa.
Hata hivyo yeye amejitokeza kuupaisha muziki huo kwa kushirikiana na wasanii atakaochaguliwa kushirikiana nae.
Akizungumzia ujio wa msanii huyo, meneja wake nchini Tanzania, Mcdennis Mgatha, amesema msanii huyo kaja nchini kwa ajili ya kufanya kolabo na wasanii hapa nchini hivyo wapenzi wa muziki wakae mkao wa kula kwani ana vitu vingi sana alivyowaandalia ikiwemo nyimbo mpya pamoja na kufanya shoo kwa ajili ya kutambulisha nyimbo hizo.
(PICHA ZOTE NA SUPER D)

YANGA, SIMBA JUMAMOSI

$
0
0
Mechi ya "Nani Mtani Jembe" kati ya Yanga SC na timu ya Simba SC itafanyika siku ya jumamosi katika dimba la Uwanja wa Taifa huku maandalizi yote yakiwa yamekamilika na Shirikisho la Mpira Miguu nchini  Tanzania (TFF) likitangaza Viingilio vya mchezo huo bei ya juu ni Tshs 40,000/=.

Akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya shirikisho Kaimu Katibu Mkuu wa TFF Bw. Boniface Wambura amesema wao kama wasimamizi wa mchezo huo wamehakikisha masuala yote yamekamlika kuelekea mchezo huo na sasa kilichobakia ni timu zenyewe kuonyesha uwezo wao dimbani.
Mchezo huo wa jumamosi utachezeshwa na mwamuzi Ramadhani Ibada kutoka visiwani Zanzibar, huku akisaidiwa na washika vibendera Ferdinand Chacha kutoka Bukoba, Charles Simon kutoka Dodoma, mwamuzi wa akiba ni Israel Nkongo kutoka Dar es salaam na mtathimini wa waamuzi ni Soud Abdi.
Kwa upande wa klabu ya Yanga SC, Afisa Habari wake Baraka Kizuguto amesema maandalizi yote yamekamilika kuelekea mchezo huo, wachezaji wako katika hali nzuri kiafya, kifikra na morali ni ya hali ya juu.
"Wachezaji wetu waliokuwa katika timu za Taifa tayari wameshaungana na wenzao kujianda na mchezo huo, kikubwa tunawaomba wapenzi, wanachama na washabiki wa Yanga kwa ujumla na wadau wa soka kujitokeza kwa wingi kuja kuwashuhudia watoto wa Jangwani wanavyoendeleza ubabe dhidi ya Simba SC" alisema Kizuguto. 
Viingilio vya mchezo wa jumamosi ni:
VIP A Tshs 40,000/,
VIP B Tshs 20,000/=
VIP C Tshs 15,000/=
Rangi ya Chungwa Tshs 10,000/= 
Bluu Tshs 7,000/=
Kijani Tshs 5,000/=
Tiketi za mchezo huo zitaanza kuuzwa siku ya ijumaa saa 3 asubuhi katika vituo vifuatavyo:
1. Shule ya Sekondari  Benjamini Mkapa - Uhuru
2. Sokoni - Kariakoo
3. Steers - Samora Posta
4. Kituo cha mafuta - Buguruni
5. Kituo cha mafuta - Ubungo
6. Dar Live - Mbagala
7. Uwanja wa mpira wa Uhuru
8. BM Saloon - Sinza

PICHA:NDEGE YATUA KWA DHARURA ARUSHA

$
0
0
Ndege aina ya Boeing 767 inayosadikiwa kuwa ni ya Shirika la Ndege la Ethiopia imetua kwa dharura majira ya saa tisa alasiri katika kiwanja cha kurushia ndege.

Viewing all 12768 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>