Quantcast
Channel: Rogers Linky - Sports Home
Browsing all 12768 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BRAZIL YATINGA NUSU FAINALI OLIMPIKI, NEYMAR APIGA BAO, AZUA TAFRANI

Neymar amefunga bao na kuisaidia Brazil kuitwanga Colombia kwa mabao 2-0 na kutinga nusu fainali ya Michezo ya Olompiki inayofanyika Rio nchini Brazil.Neymar ambaye ni nanodha wa Brazil alifunga bao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jukwaa la Wahariri lapinga Gazeti la Mseto kufungiwa

 Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limepokea kwa mshituko taarifa za kufungiwa kwa miezi 36 gazeti la Mseto kwa kutumia kifungu cha 25(1) cha Sheria ya Magazeti ya Mwaka 1976.Katika taarifa yake kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

New AUDIO | Barnaba - Lover Boy | Download

DOWNLOAD

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

New AUDIO: Dully Sykes Ft. Harmonize - INDE

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PALE KATI - NAY WAMITEGO {EXPLICIT}

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

New Video: Raymond ft Darasa & Hadii Hardname - Sadaka (Official Music Video)

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kanga Moja Kiunoni... MBENGEMBEGE - 24

 ILIPOISHIA: “Haa! Haa!” mzee Hewa alianza kuonesha uchu wake kabisa. Alimfuata na kumkumbatia kwa kumuweka kifuani mzimamzima. Mama Mei hakutaka kuonesha kwamba, hajakubali kukumbatiwa, akatoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya Agosti 15, 2013

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Spika wa Bunge Job Ndugai Awaalika Wapinzani Kwenye Meza ya Mazungumzo ili...

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai, amekiri bunge hilo kusambaratika na kuwa vipandevipande kutokana na vurugu za mara kwa mara zilizopelekea wabunge wa upinzani kususia vikao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ofisi za Bunge kuhamia Dodoma Septemba mwaka huu

Ofisi za Bunge zilizopo Jijini Dar es salaam zinatarajia kuhamishiwa Dodoma mwezi Septemba mwaka huu, ikiwa ni utekelezaji wa agiza la Rais Magufuli la kuhamishia shughuli za serikali Dodoma.Taarifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZLATAN, ROONEY, MATA WALIVYOCHEKA NA NYAVU NA MAN UNITED KUANZA EPL KWA KUTOA...

Bournemouth (4-3-3): Boruc 5.5; Francis 4.5, A. Smith 6.5, S. Cook 5.5, Daniels 5.5; Surman 5.5, Arter 6, L. Cook 6 (Gradel 82); Ibe 6.5 (Afobe 68, 6), Wilson 5.5 (Grabban 68, 6), King 6.Subs not used:...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVERPOOL YAITOA SHOO ARSENAL KWAO EMIRATES, YAICHAPA KWA MABAO 4-3

Liverpool imeionyesha Arsenal si kitu kwake baada ya kuichapa mabao 4-3 licha ya Arsenal kuwa nyumbani Emirates tena ikianza kufunga.Arsenal ilikuwa ya kwanza kufunga bao kupitia kwa Theo Walcott...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Dkt. Ali Mohamed Shein akitoa taarifa rasmi ya kifo cha Rais Mstaafu wa...

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein, ametoa taarifa rasmi ya Serikali kuhusu kifo cha Rais Mstaafu wa Zanzibar wa Awamu ya Pili, Mheshimiwa Alhaj Aboud...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mavugo, Ajibu waandaliwa kuwapoteza Ngoma, Tambwe

MASTRAIKA wa Simba, Ibrahim Ajib na Laudit Mavugo, wanaandaliwa kuja kuwa wafungaji wazuri kwenye Ligi Kuu Bara huku wakibebeshwa zigo la kuvunja utawala wa mastraika wa Yanga, Amissi Tambwe na Donald...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Masanja Mkandamizaji Afunga Ndoa Picha zipo hapa

 Masanja akimvisha pete mke wake.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Edgar Lungu Anaongoza Kura Zambia, Wapinzani Wapinga!

Rais Edgar Lungu.Lusaka, Zambia.Matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais wa Zambia yaliyotangazwa leo Jumatatu na Tume ya Uchaguzi ya Zambia (ECZ), ambapo asilimia 85 ya majimbo yote yamekwisha hesabiwa,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Omog: Yanga hii moto ...Bado wanaweza kuchukua ubingwa

PAMOJA na kuboronga kwao kwenye michuano ya kimataifa, Kocha wa Simba, Mcameroon, Joseph Omog, anaamini bado Yanga ni timu ambayo itafanya vema msimu ujao kutokana na uwepo wa Mdachi, Hans van Der...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maharusi wa Kichina Wafunga Ndoa Bondeni Kwenye Daraja la Kioo

Si jambo linaloweza kufikiriwa na kila mtu kulitenda wakati wa siku maalum, lakini wapenzi wa kichina walichagua kusherehekea harusi yao huku wakipepea angani katika daraja la kioo.Bibi harusi na bwana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Basata wamfungulia Ney wa Mitego

Katikati ni katibu wa Baraza la sanaa Tanzania, BASATA, Godfrey Mungereza akizungumza na wanahabari wakati wa kutoa tamko la kumfungulia Nay. Kushoto nia msanii Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NDIYO TAARIFA INAYOZAGAA MITANDAONI KUHUSIANA NA YUSUF MANJI KUACHIA...

MANJI (KUSHOTO) AKIWA NA MAKAMU MWENYEKITI WA YANGA, CLEMENT SANGA.Habari za uhakika ambazo tumezipata kutoka katika chanzo cha uhakika ndani ya Yanga zinaonyesha kuwa mwenyekiti wa Yanga Bw Yusuf...

View Article
Browsing all 12768 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>