USIRUHUSU MAPENZI YAUTESE MOYO WAKO!
Kwa bahati mbaya kabisa, kwa sasa mapenzi yamegeuzwa na kuwa kama kitu cha kujaribu au kufanyia biashara na ndiyo maana yanawatesa wengi. Lakini ni kwa nini mapenzi yaendelee kututesa? Au ni kwa...
View ArticleFLORA MBASHA: MUME WANGU AMETISHIA KUNIUA
Mwimba Injili Bongo, Flora Mbasha amefunguka kuhusu kisa cha yeye kumkimbia mumewe, Emmanuel Mbasha ikiwemo kutishiwa kuuawa. Emmanuel anadaiwa kutishia kumuua Flora baada ya tuhuma za kumbaka shemeji...
View ArticleLUCY KOMBA: MIMI NI ZAO LA TYSON
MSANII nguli katika soko la filamu Bongo, Lucy Francis Komba amefunguka kuwa yeye ni zao mojawapo la hayati George Otieno Okumu ‘Tyson’. Msaniinguli katika soko la filamu Bongo, Lucy Francis Komba“Mimi...
View ArticleMWENYE PICHA NA KOMBA AIBUKA....YUPO HAPA
Angel Kissanga, mkazi wa Kinondoni jijini Dar anayedaiwa kupiga picha tata na mheshimiwa Komba.Stori: Mwandishi WetuSIKU chache zimekatika baada ya tukio la kusambaa mitandaoni kwa picha tata zenye...
View ArticlePICHA CHAFU ZA WEMA, DIAMOND ZATINGA BUNGENI
Sakata la mastaa wakiwemo Wema Sepetu na Nasibu Abdul ‘Diamond’ kupiga picha chafu kisha kuzitundika mitandaoni limetinga bungeni baada ya juzikati baadhi ya wabunge kulishupalia. Mastaa Wema Sepetu...
View ArticleWambura ni nouma!
HAKIKA Michael Richard Wambura ni noma, hiyo ni baada ya wajumbe wa Kamati ya Rufani ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuumiza vichwa kupata muafaka juu ya suala lale la kuenguliwa katika...
View ArticleWAMBURA RUKSA KUGOMBEA URAIS SIMBA
Mgombea wa nafasi ya urais klabuni hapo, Michael Wambura.RASMI Kamati ya rufani ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imemrejeha Mgombea wa Urais wa Simba SC, Michael Richard Wambura kwenye mbio za...
View ArticleKANGE LUGOLA ALIVYOTINGA BUNGENI NA BANGO
Mbunge wa Mwibara, Kange Lugola akiomba kura za kuwania nafasi ya Mjumbe wa Tume ya Utumishi Bungeni kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma leo.Mbunge wa Mwibara akivua bango alilokuwa ameva wakati...
View ArticleBREAKING NEWS: MABANDA YA WAMACHINGA SOKO LA KARUME YATEKETEA KWA MOTO
Moto ukiwa unaendelea kuwaka katika soko la Karume 'Mchikichini' ukiendelea kuteketeza mabanda.Hali ilikuwa tete usiku wa kuamkia leo katika mabanda ya Wamachinga eneo la Soko Karume 'Mchikichini',...
View ArticleALLY TIMBULO ATISHIWA KUUAWA
HII ni kali lakini haikuwahi kuandikwa, staa wa Bongo Fleva, Ally Timbulo alinusurika kuuawa baada ya kubainika kuwa anatembea na mke wa mtu na mumewe kumsaka kwa udi na uvumba akiwa na bastola...
View ArticleNAY WA MITEGO AMWAGIWA NDOO YA MAJI KWENYE BETHIDEI
DUNIANI kuna vituko! Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amejikuta katika wakati mgumu baada ya kumwagiwa ndoo nzima ya maji kwenye sherehe yake ya kuzaliwa (bethidei).Staa wa Bongo...
View ArticleBEYOND LOVE- (ZAIDI YA MAPENZI) SEHEMU YA KWANZA MPAKA YA 10
Beyond love- (Zaidi ya Mapenzi -1)Tom aliheshimika na kutisha, hakuna mtu aliyechezea shughuli zake kutokana na uhusiano mzuri aliokuwa nao na viongozi Serikalini, akiwa mdhamini wa Chama Tawala....
View ArticleHILI NDILO KABURI LILILOVUNJA REKODI,MAITI YAWEKEWA KITANDA,TV,VINYWAJI N.K.
Sasa uachane na stori zote za watu maarufu na wasio maarufu, matajiri na masikini waliokufa na kuzikwa ndani ya majeneza mazuri na yaliyo na thamani kubwa, hayo tulikwisha yazoea kitambo sana.Kiboko...
View ArticleMAYWEATHER AMPITA RONALDO KWA MKWANJA
Floyd Mayweather Jnr, akiwa katika gari lake aina ya Bugatti Vevron lenye thamani ya pauni milioni 1.8 ( sh bilioni 5) akiondoka katika Fainali za Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Marekani (NBA) huko...
View Article