Quantcast
Channel: Rogers Linky - Sports Home
Viewing all articles
Browse latest Browse all 12768

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Awasili Lusaka, Zambia, Kwenye Mkutano Wa Benki Ya Maendeleo Ya Afrika

$
0
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Naibu Waziri wa Ulinzi wa Zambia, Christopher Mulenga baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Keneth Kaunda uliopo Lusaka Mei 23, may 2016 ambako leo atamwakilisha Rais John Magufuli kwenye mkutano wa Benki ya Maendeleo ya Afrika ADB. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na baadhi ya Watanzania bada ya kuwasili kwenye hoteli ya Intercontinental iliyopo Lusaka baada ya kuwsili Mei 23, 2016 amabako leo atamwakilisha Rais John Magufuli kwenye mkutano wa Benki ya Maendeleo ya Afrika ADB.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 12768

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>